Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhuru 6,173,433
Raila 5,340,546
291/291
mchezo umekwisha!
idadi yote ya kura zilizopigwa ni 12338667 ambazo nusu yake ni 6169333
mkuu hesabu ni kipaji kama nawewe ni mmoja wa walio athilika na ugonjwa wa maths wàchie watu wadadavue nikijumlisha kwa haraka kabisa naona ni zaidi ya 12,3**,*** ulizozisema wewe
Mbona nasikia mshindi lazima afikishe 50% + 1? Je uchaguzi utarudiwa?
Mbona nasikia mshindi lazima afikishe 50% + 1? Je uchaguzi utarudiwa?
Mkuu umepiga nyagi nini ina maana ushindi wa Uhuru huoni
Mkuu, mshindi lazima awe amepata 50% + 1 vote, sasa huyu bwana rais mteule kapata 50.03% which means ni 50% + 0.03%, ukikokotoa hesabu za darasa la tano au sita au la saba utagundua kuwa 0.03% ya kura zote ni zaidi ya kura moja, hivyo, Uhuru Kenyata aanakuwa ameshinda uchaguzi kiulaini.Mbona nasikia mshindi lazima afikishe 50% + 1? Je uchaguzi utarudiwa?
Hapa mshindi siyo Uhuru Kenyatta wala Raila Odinga bali mshindi halali wa uchaguzi huu ni wakenya!
Ahhhhhhhhhh!!!Respect uhuru for Kenya