Marco Chali: Wimbo wa 'Freedom' sio wa Mr. Blue

Marco Chali: Wimbo wa 'Freedom' sio wa Mr. Blue

Watu watamtetea tu Sugu kwa sababu ni mheshimiwa... msanii anapewa ngoma anaifanyia kazi, then ngoma hiyohiyo anapewa mtu mwingine! Anafanya na video kabsa! Is this right kweli? Mi nadhani yuole aliyekuwa wa kwanza kupewa ndiyo mwenye ngoma yake, suala la promo linahusikaje? Posho bungeni ale, mshahara wa ubunge ale, mpaka ngoma za machalii nazo azibake? Wakale wapi sasa...
Doesn't work that way
 
Hayo ni maneno wanaweza kuongea lolote kuhalalisha uovu wao ila kama una akili zinakutosha utaelewa huo wimbo ni wa Mr blue.

Eti tukaona tumpe blue alafu huo wimbo sio wake ni wetu. Sasa kama mlimpa unabakije kuwa wa kwenu na unaendaje kuwa wa sugu...

Wimbo upo mkito. Com mr blue ft sugu.. Jiulize pesa huko mkito anachukua mj records au mr blue.
Kipi kinahalalisha uhalali wa blue kumiliki hyo wimbo?
Biti hajalipi
Idea sio yake
Mixing hajalipia
So kipi hasa
 
Its ok mkuu lakini kwan ukirekodi ngoma studio, hatimiliki inakuwa ya nani? Ya producer au ya msanii? na msanii akiwa chini ya lebo je? Hatimiliki ni yake au record label?
Inategemea mkuu
Makubaliano yakoje
U pay basi ownership ni yako,ukiwa chini ya lebo basi kuna makubaliano tofauti
 
Inategemea mkuu
Makubaliano yakoje
U pay basi ownership ni yako,ukiwa chini ya lebo basi kuna makubaliano tofauti
Makubaliano tofauti ndiyo yepi? Kwamba unarekod ngoma ukishindwa kuifanyia promo anapewa mwingine? lets call a spade by its name, not a big spoon!
 
Watu watamtetea tu Sugu kwa sababu ni mheshimiwa... msanii anapewa ngoma anaifanyia kazi, then ngoma hiyohiyo anapewa mtu mwingine! Anafanya na video kabsa! Is this right kweli? Mi nadhani yuole aliyekuwa wa kwanza kupewa ndiyo mwenye ngoma yake, suala la promo linahusikaje? Posho bungeni ale, mshahara wa ubunge ale, mpaka ngoma za machalii nazo azibake? Wakale wapi sasa...
Umepewa chance unaishia kupeleka nyimbo mkito unatulia tu wakati waliokupa chance wameumiza akili wanataka dunia ione matunda.
Big up Daxo na Marco
 
Its ok mkuu lakini kwan ukirekodi ngoma studio, hatimiliki inakuwa ya nani? Ya producer au ya msanii? na msanii akiwa chini ya lebo je? Hatimiliki ni yake au record label?


Huwezi kumiliki kitu bila kulipia. Nyimbo ni mali ya Daxo Chali, hata mimi nikienda kuingiza vocal nikapandisha Youtube sio Sugu au Mr.Blue kwenye haki ya kunishitaki. Kila kitu kimewekwa wazi hapa ila mnataka kumjaji Sugu kwa sababu zenu binafsi. Blue kaibiwa, utaibiwa vipi mali sio yako?
 
"Kwahiyo jamaa [Blue] akawa ameipenda tukampa
akasema atamshirikisha Mr Two"

Hapa Marco chali kajimaliza mwenyewe mmempa wimbo alafu leo mnasema sio wa kwake. Tunajua mmemgeuka sababu ya pesa ila Sugu ni mwizi na atabaki kuwa hivyo alafu anajifanya mtetezi wa haki za wasanii.

Marco amejibu kama kihiyo..nashangaa anatetewa na wapuuzi hapa...kama umeshampa mtu nyimbo basi ni yake suala la kupeleka radio au ku shoot video yeye linamhusu nini?..yaani kwa kuwa hakuona video ndio akaigawa tena nyimbo?? Unprofessional!!..ndio maana hawawezi kufika popote hawa maproducer mavvi wa kibongo!!
 
Watu watamtetea tu Sugu kwa sababu ni mheshimiwa... msanii anapewa ngoma anaifanyia kazi, then ngoma hiyohiyo anapewa mtu mwingine! Anafanya na video kabsa! Is this right kweli? Mi nadhani yuole aliyekuwa wa kwanza kupewa ndiyo mwenye ngoma yake, suala la promo linahusikaje? Posho bungeni ale, mshahara wa ubunge ale, mpaka ngoma za machalii nazo azibake? Wakale wapi sasa...

Sugu ameonyesha ni namna gani alivyo kihiyo...kama angeenda shule na hadhi yake ya ubunge asingefanya kitu unprofessional kama hicho..sugu kakaa nje na sasa mbunge lkn akili yake imebaki vile vile haikui..ndio maana akikutana na kina ruge anapigwa chenga za kibwege bwege na kuangukia pua!!..
 
Hii ni kick tu ya kumtangaza Daxochali watu wamjue.! Wanatuchukua tu akili zetu hawana jipya
 
Huyo Sugu ametia aibu mbunge mzima kuiba wimbo wa kijana mdogo.


Utetezi wanaotoa hauna ata mashiko.

Kama mashahiri yamemwishia kwani lazima aendelee kuimba.
 
Back
Top Bottom