Marealle afungua kesi kutaka bibi yake afukuliwe mahala alipoishi miaka 80

Marealle afungua kesi kutaka bibi yake afukuliwe mahala alipoishi miaka 80

Nipo km 30 kutoka eneo ambalo linauzwa laki moja na elfu kumi (110,000/=) kwa ekari moja.

Bei sawa na bure. Mtu akizozania vihamba vya Moshi huwa ninamdharau sana.
Hilo ghali sana, hapo Kilindi mliposokomezea wamasai ardhi ni bure au ukitaka kupeleka debe la mahindi unapewa hekari moja , kupanga ni kuchagua.

Kwanini Kiwanja robo eka Masaki-Dar ni bilioni 3 na kiwanja hicho hicho kilometa mbili toka masaki yaani Mwananyamala Msisiri-B ni milioni 40 ? ukipata jibu nitakupa jibu la hao ma-Mangi.
 
Sikumaanisha Same na Mwanga. Nilimaanisha Wilaya ya Moshi huko maana ndipo kwetu na ndipo kwenye population pressure
Sikumaanisha Same na Mwanga. Nilimaanisha Wilaya ya Moshi huko maana ndipo kwetu na ndipo kwenye population pressure
Sasa, wewe kama unauza identity yako uza, wayahudi baada ya miaka 4000 wamerudi kwao, wewe uza utu wako ni uchaguzi.
 
Hilo ghali sana, hapo Kilindi mliposokomezea wamasai ardhi ni bure au ukitaka kupeleka debe la mahindo unapewa hekari moja , kupanga ni kuchagua.

Kwanini Kiwanja robo eka Masaki-Dar ni bilioni 5 na kiwanja hicho hicho kilometa mbili toka masaki yaani Mwananyamala ni milioni 40 ? ukipata jibu nitakupa jibu la hao ma-Mangi.
Pamoja na yote bado hujanishawishi ndugu kuzozania eka mbili hapo Moshi aisee 😀
 
Niuze au ninunue? Unagombaniaje eka 2?

Bora zingekuwa eneo potential basi.
Kwako siyo potensho-huenda unaishi Buza kwa mama kibonge na umeridhika usiku chumba cha jirani wakitengeneza mtoto ile miguno unafurahia, mwenzio hata kwa bilioni atanunua robo heka ili akae kwa utulivu bila interference za majirani wanapokuwa wanatengeneza watoto.
 
Kwako siyo potensho-huenda unaishi Buza kwa mama kibonge na umeridhika usiku chumba cha jirani wakitengeneza mtoto ile miguno unafurahia, mwenzio hata kwa bilioni atanunua robo heka ili akae kwa utulivu bila interference za majirani wanapokuwa wanatengeneza watoto.
Pole sana Karani wa Mahakama.
😀😃.

Umesemaje? 🤣
 
Mpigieni 0768 710 000 awauzie mashamba ya laki 1, 2, 3, 4 na kuendelea.

Facebook: Sangamashamba. Pitia uone.

NB: Hakuna utapeli, na mtafute kwa nia nzuri

Acheni kuzozania mashamba ni laana.
Mashamba ya kwenye fb?

Mkiliwa huko msije kulia lia hapa.
Wizarani penyewe watu wanauziwa double allocation seuze mashamba ya fb.?
Naona mna hela za kuchezea bora mujielekeze huko HANANG
 
Mashamba ya kwenye fb?

Mkiliwa huko msije kulia lia hapa.
Wizarani penyewe watu wanauziwa double allocation seuze mashamba ya fb.?
Naona mna hela za kuchezea bora mujielekeze huko HANANG
Uoga wako umasikini wako. Pamoja na kukaa mahakamani bado unaogopa conveyance?

Sheria ulisoma za nini sasa kama hazikusaidii wewe dada?
 
Unauzoefu wa kesi ngapi?
Mgogoro upi ni mzuri?
Uzoefu wako ni tofauti na wa mwengine.
Akizulumiwa mtu haki yake akae kimya? Jack Mengi akae kimya, Kesi zote mahakamani ziondolewe maana migogoro si mizuri, si ndio?
Kuna ADR. Mbinu za kumaliza mzozo ni pamoja na kujitoa, wote kushinda, kusuluhishana kifamilia nk.

Kuna ukiritimba sana pale Moshi na hata Serikali inawashauri ila bado watu wamekaza mafuvu kuzozania vihamba visivyo na maajabu
 
Kuna ADR. Mbinu za kumaliza mzozo ni pamoja na kujitoa, wote kushinda, kusuluhishana kifamilia nk.

Kuna ukiritimba sana pale Moshi na hata Serikali inawashauri ila bado watu wamekaza mafuvu kuzozania vihamba visivyo na maajabu
ADR na Mediation imeshindikana.

Serikali hiyo yenye kushitaki wananchi wake badala ya yenyewe kuwa mfano wa ADR ndiyo ishauri wananchi kwenda ADR?
 
my friend , its better you go to laundry your Boxer, if at all you use to than trying kunichokonoa!
Hapana, kama huyo Mariale ni nduguyo mshauri tu kwamba wayamalize hayo mambo na waondoe kesi mahamakani then Krismass hii wachinje mnyama wale wanywe na mbege halafu wa kwenda kutafuta ardhi pengine aende.
 
Back
Top Bottom