Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Embu washauri basi hao ndugu zako vizuri.ADR na Mediation imeshindikana.
Serikali hiyo yenye kushitaki wananchi wake badala ya yenyewe kuwa mfano wa ADR ndiyo ishauri wananchi kwenda ADR?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Embu washauri basi hao ndugu zako vizuri.ADR na Mediation imeshindikana.
Serikali hiyo yenye kushitaki wananchi wake badala ya yenyewe kuwa mfano wa ADR ndiyo ishauri wananchi kwenda ADR?
Mimi si mchaga,sina undugu na sis hatushauri watu, ni kazi ya mawakili.Hapana, kama huyo Mariale ni nduguyo mshauri tu kwamba wayamalize hayo mambo na waondoe kesi mahamakani then Krismass hii wachinje mnyama wale wanywe na mbege halafu wa kwenda kutafuta ardhi pengine aende.
mapori yote nchi hii yana wenyewe japo kwa ujumla ni mali ya serikali. Kuna ardhi ya kijiji kupata kipande lazima uone baraza la ardhi la kijiji. Ni kweli nchi ina ardhi kubwa sehemu mbalimbali kuipata kuna taratibu zake kutokana na unataka kuitumia ardhi kwa matumizi ganiKuna pori lisilo na mwenyewe?
gusa ungatwe.
SawaMimi si mchaga,sina undugu na sis hatushauri watu, ni kazi ya mawakili.
Kiungwana tu kwa kuwa hao ni ndugu wangeyamaliza tu yaishe. Ya nini kuzozania shamba kiasi cha kufukua kaburi?Asante sana, Kindeena na wenzako pitieni hapa.
Nymbani kwanzaHao jamaa na kupenda kurithi [emoji28][emoji28],sijawahi kuona jamii inayopenda mali za urithi kama hiyo na kuna wazee wa kupenda kesi huko Same.
[emoji1]Huu ujumbe waambie wale wazee wako wanaongangania kuishi kwenye mafuriko jangwani .
Ardhi ya uchagan ni dhahabumapori yote hayo Tanzania hapa mnagombea ardhi, na mwenyewe akifa anawekwa kwenye mbao anafukiwa tu anaacha kila kitu.
Sasa mizozo ya ekari mbili ya nini kiasi cha kutaka kufukua kaburi? 😃Nymbani kwanza
Kwani umeambiwa hawana pesa? Wana pesa za hatari unawajua vzur wewe
Sehemu gani hiyo? Siyo kweli, nikiilinganisha ardhi ya Moshi na sehemu nyingine, bado hiyo ya Moshi inashika mkia.Ardhi ya uchagan ni dhahabu
Moshi huwez kupata kipande kidogo chá ardhi kwa chini ya 5m tena umehangaika,Ila Hyo 5m nikienda nayo mikoani nitanunua mashamba makubwa mnoSehemu gani hiyo? Siyo kweli, nikiilinganisha ardhi ya Moshi na sehemu nyingine, bado hiyo ya Moshi inashika mkia.
Ardhi ya Moshi kwangu haina maajabu.
Pale Boma kuna viwanja vya laki 9-mili 2.Moshi huwez kupata kipande kidogo chá ardhi kwa chini ya 5m tena umehangaika,Ila Hyo 5m nikienda nayo mikoani nitanunua mashamba makubwa mno
😅😅😅Tatizo ni ugomvi wa ndugu ,sio fresh ndgu kugombania mali na kila mtu ana zake.Nymbani kwanza
Kwani umeambiwa hawana pesa? Wana pesa za hatari unawajua vzur wewe
Utajiri uliopindukia ni utajiri wa aina gani. Wachaga kwa sifa za kijinga?Sidhani kama ni mali ila ni ardhi, wana utajiri uliopindukia ila wanalinda ardhi ya familia iliyopo kijijini.
Wizara ya Ardhi haina ardhi inayouzaMashamba ya kwenye fb?
Mkiliwa huko msije kulia lia hapa.
Wizarani penyewe watu wanauziwa double allocation seuze mashamba ya fb.?
Naona mna hela za kuchezea bora mujielekeze huko HANANG
Ndio akili zetu waafirika mkuu sio cha kushangaaMali ya Baba inanitoa roho,....Bora nikae peembeni, niinusuru roho yangu mimi, niinusustu Babaa...oiho yangu mimi......Harunaaaa
Mtu amepumzika kaburini, watoto wanataka kuuana kama vile wao wataishi milele
Sidhani kama ni mali ila ni ardhi, wana utajiri uliopindukia ila wanalinda ardhi ya familia iliyopo kijijini.
WachawiDuh aiseee hio familia ina shida kubwa