Marealle afungua kesi kutaka bibi yake afukuliwe mahala alipoishi miaka 80

Gusa uone kama hakuna mwenyewe
 
Hawa ni ndugu tena nawajua nini kushindwa kuelewana ? au mmekumbuka kuwa dada yenu alizkwa na dhahabu zake?

Hizi ndizo laana za ukoo, wataacha ukoo unaandamwa na kesi milele.
Nmemkumbuka yule kibo marealle

Ova
 
Sikumaanisha Same na Mwanga. Nilimaanisha Wilaya ya Moshi huko maana ndipo kwetu na ndipo kwenye population pressure
Sasa mbona kesi ni mareale against mareale?
 
Hayo maeneo mengi yanapatikana bure bure Kama enzi hizoo,
pesa pesa ndugu, maeneo yamepanda Bei.
Maeneo yamepanda bei wapi?

Mashamba bwerere yenye rutuba ya kutosha. Ukiiuza hiyo simu yako unanunua ekari 2.
 
Kuweka Mipaka kwa kufukua kaburi la ndugu yenu. Ukoo mmoja.. yaani familia inafukua kaburi la mwanafamilia hiyo hiyo. Wachaga hapa wamezingua
Russia ni ndugu na Ukraine, nini kinaendelea pale Krimea.
China na Hong Kong ni ndugu, nini kinaendelea kwao?
 
Russia na ukraine wanatoka ukoo mmoja?

China na hongkong wanashea mama mdogo mmoja ?
Ni mahawara, case closed.

Russia and Ukraine ni Slavic relatives, tatizo elimu umekataa unabeti muda wote.

Hong Kong ilikuwa koloni la Uingereza hadi 1997 iliporejeshwa kwa Uchina chini ya kanuni inayojulikana kama "nchi moja, mifumo miwili." Mpango huu ulipaswa kuhakikisha kiwango cha juu cha uhuru wa Hong Kong, ikiwa ni pamoja na mifumo yake ya kisheria na kiuchumi, kwa miaka 50 baada ya kukabidhiwa.
 


acha maelezo mareefu ya kuunga unga na viingereza vingi.

jibu maswali yangu kwa lugha nyepesi kama maswali yalivyo.

1 - Russia na ukraine wanatoka ukoo mmoja?

2- China na hongkong wanashea mama mdogo mmoja ?
 
Familia za kiMangi ni problematic mikosi balaa na laana kwa sababu hapo awali walitoa binadamu kama sadaka i.e.kuzika watoto wadogo wakiwa hai "kichuminy"....kufukia mabikira wakiwa hai kwenye vichuguu e.t.c.
 
Hao jamaa na kupenda kurithi [emoji28][emoji28],sijawahi kuona jamii inayopenda mali za urithi kama hiyo na kuna wazee wa kupenda kesi huko Same.
Mkuu tunaishi kutafuta kwa kizazi kijacho , hauwezi kuzaa watoto kama una akili timamu usiwaachie chochote kama unacho.
 
Huwa ninawashangaa hawa ndugu zangu ni kipi haswa kinawafanya kuzozania vipande vidogo vya ardhi ya Kilimanjaro wakati nchi yetu ina maeneo mengi yasiyotumika.

Kilimanjaro pamejaa na ni eneo lenye population pressure kwa sasa.
Wapestina na Israel wanagombea kile kipande kidgo cha jagwa kwa sababu zipi?
 
Mkuu tunaishi kutafuta kwa kizazi kijacho , hauwezi kuzaa watoto kama una akili timamu usiwaachie chochote kama unacho.
Mimi lazima niache urithi yaani kama nitakuwa na Watoto wanne basi nitajenga nyumba nne ,hii kutokana na imani yangu .

Ishu ni kwamba ndugu hampashwi kugombana kwa namna yeyote ile.
 
Mimi lazima niache urithi yaani kama nitakuwa na Watoto wanne basi nitajenga nyumba nne ,hii kutokana na imani yangu .

Ishu ni kwamba ndugu hampashwi kugombana kwa namna yeyote ile.
Ni kwel kbisa ila mara nyingi ndugu wanaanza kuzinguana wakisha kuwa na mke ila hiv hiv sio rahisi.
 
Wakirudi Baraza la Ardhi na Nyumba kwa maombi hayo hayo matatu hilo ombi la pili hilo Baraza halitaweza kutoa na kama likitoa basi wakirudi Mahakama Kuu itatenguliwa tena.

Kwa uelewa na ufahamu wangu hilo ombi limeombwa wakati usio sahihi, mahala pasipo sahihi pia.

Ngoja nisubiri mtanange wao nijionee.
 
Mimi lazima niache urithi yaani kama nitakuwa na Watoto wanne basi nitajenga nyumba nne ,hii kutokana na imani yangu .

Ishu ni kwamba ndugu hampashwi kugombana kwa namna yeyote ile.
Amini atatokea mmoja pasua kichwa atake nyumba zote.

Nafuu la haya ni wosia japo nao unaweza kupingwa na yoyote kati ya uliowaacha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…