Waamuzi wa Tanzania ndio wanachezesha mechi ya shirikisho ambayo imeanza saa nne kamili kati ya RS Belkane vs Stellenbosch.
Mwamuzi wa kati-Ahmed Arajiga
Wasaidizi:
Salimu Mkono Mohamed
Seif Mpanga Kasimu
Nasir Salum Siyah
NB; Wengine hao wasaidizi wametoka Zanzibar sehemu ya Tanzania.
My take:
Hii mechi ntaiangalia mpaka mwisho mana sina usingizi ili nifanye tathmini kuhusu uwezo wa waamuzi wa Tanzania kwa kile wanachokifanya NBCPL na huko kimataifa ili kuona kama huwa kuna makusudi huku NBCPL!
Mwamuzi wa kati-Ahmed Arajiga
Wasaidizi:
Salimu Mkono Mohamed
Seif Mpanga Kasimu
Nasir Salum Siyah
NB; Wengine hao wasaidizi wametoka Zanzibar sehemu ya Tanzania.
My take:
Hii mechi ntaiangalia mpaka mwisho mana sina usingizi ili nifanye tathmini kuhusu uwezo wa waamuzi wa Tanzania kwa kile wanachokifanya NBCPL na huko kimataifa ili kuona kama huwa kuna makusudi huku NBCPL!