Marekani angeivamia Iran halafu asisaidiwe na nchi nyingine, awekewe vikwazo, halafu Urusi, China, nk ziipatie Iran silaha je, angetoboa?

Marekani angeivamia Iran halafu asisaidiwe na nchi nyingine, awekewe vikwazo, halafu Urusi, China, nk ziipatie Iran silaha je, angetoboa?

Lakini NATO wenyewe hawana hamu na Urusi!! Ameweza kupigana na muungano wa nchi zaidi ya 30!! huku akiwa amefungwa kamba ya vikwazo, na bado anapiga usiombe!! Usanii wote wa Zelensky kwishney!! sasa hivi kila akiongea ni kulia lia tu!
Eee kumbe nchi za nato zinapigana na Russia oky
 
Jamaa kauliza swali badala ya kujibiwa, ndo kwanza nae anaulizwa eti tukikosa dola, tukikosa soda, tukikosa middle, tukikosa........... jibuni swali " marekani akipigwa ban za kutosha kama urusi anaweza kushinda vita?
Yupi amuwekee ban US?
 
Marceneries wangetoka Dunia nzima kuja kuipiga USA ,nchi nyingi sana zingeosaidia Iran kuipiga USA, USA ni dhaifu sana ,
Inachukiwa sana, nakuhakikishia Kuna nchi za NATO zingetoa misaada kwa Siri ili kuiadhibu USA.

Na hii ndio sababu kubwa amabyo inapelekea USA kuingia vitani na wapambe.kuogopa aibu ya kupigwa peke yake.
Ona mifano midogo TU

USA ilipelekea askari wake somalia,ilijikuta inadhalililishwa na wababe wa kivita wa Somalia,akina Mohamed Farah Aidiid.Gen Morgan na wenzao.

Askari wa Marekani walipigwa na wasomali,wakauliwa,wakatekwa na baadhi Yao wakafungwa kwenye magari kwa nyuma wakiwa miguu imefungwa kamba na kufungwa kwenye magari,wakawa wanaburuzwa magari yakipita mitaani.

Kitendo hicho kiliibua chuki ya wananchi wa USA dhidi ya Serikali Yao na hatimae Serikali ikatoa agizo majeshi ya USA yaliyoko somalia yaondoke huko.

Na huo ukawa ni ushindi wa makundi hayo ya kisomali.

USA ilishindwa somalia.
Lakin bado walirudi Tena Somalia, had Trump alipojiondo, Biden ameyapereka tena
 
Marekani akiwekewa vikwazo na China maana yake China iache kuuza bidhaa zake Marekani, kwa mwaka China inauza zaidi ya dola bilioni 400 kwa Marekani. Kwa hiyo China wawe vilaza waache kupata bilioni 400 kwa mwaka wabaki kwa Russia kupata dola bilioni 50 kwa mwaka, hii ni 1 ya 8.

Wakati huo China ikose patents zote za Marekani. ZTE ilipigwa sanctions na Marekani mpaka leo hatuoni simu zake, Huawei ilipigwa sanctions mpaka ikafungua biashara ya kufuga nguruwe ili kutosheleza profits. Patents za teknolojia ya simu nyingi ni za makampuni ya Marekani. Hata TCMS wataambiwa hakuna kuuza microchips kwa China wala Russia, Samsung Electronics mnayoona hii Marekani ikitaka ipotee sokoni ndani ya miaka minne inaweza potea. Ukipiga marufuku wasitumie foundry tech ya US kutengeneza chips zao za Exynos, au kufanya outsourcing ya chips kutoka kwa Qualcomm ya Marekani. Kwahiyo Samsung nao watachagua upande wa Marekani kuliko China na Russia.


China akishindwa kuzalisha zaidi kwa ajili ya kuuza Marekani atapunguza mahitaji ya gesi na mafuta kutoka Russia na kwingineko, hapo Russia anapunguza mapato, soko la mafuta duniani linashuka uchumi wa OPEC wote unaporomoka na dunia kwa ujumla inaingia mdororo wa uchumi. Marekani inaweza zalisha mapipa milioni 15 ya mafuta kwa siku ukijifanya unaikomoa, kwa siku inatumia mapipa milioni 19 hizo nne zinazokosa kwenye mlinganyo inatafuta hata Libya inawahonga wanaiuzia extra.

Kampuni kama Boeing zinaacha kufanya kazi China na Russia. Pia Dell, HP, Apple, Sony, etc. GPS inafungwa wabaki na GLONAS zao na BeiDou ambazo sio reliable na hazina global support. Android system inafungwa na iOS tuone ni Mwafrika gani ataanza kujaribisha systems ambazo hajawahi sikia. Facebook, WhatsApp, Twitter, Instagram zinafungwa kwao na kwa vifaa wanavyotengeneza. Warusi wabaki na VKontakte (ambayo najua 98% ya wabongo hawajawahi hata kuisikia) na Wachina wabaki na kina WeChat, Weibo na TikTok. Ukiachana na TikTok ni nani duniani hapa atataka aache hizo nyingine atumie VKontakte au Weibo na WeChat?

South Korea, Japan, UK, Germany, France, Australia, Italy, Spain, Canada zitasimama na Marekani. Israel na Switzerland wanaweza chagua kuwa neutral, Waarabu vigeugeu kupindukia watasoma upepo ila wengi watakuwa upande wa Marekani. Yani Qatar aache kuwa upande wa Marekani ambako kila giant aliyeko kule anajiweza na gesi hana, aende kushiriki na China ambako Russia anamuuzia gesi kwa fujo?
Umemaliza kila kitu.
 
Hivi Marekani angejichanganya leo akaamua kuivamia Iran kwa kuitumia ardhi ya Iraq lakini asisaidiwe na nchi nyingine, awekewe vikwazo kama alivyowekewa Urusi.

Halafu Iran isaidiwe silaha mfululizo na Urusi, China, India, na nchi zingine za kiarabu, je Marekani angestahimili kwa muda gani? Ujue kupigana ukiwa umewekewa vikwazo ni kama kupigana ukiwa umefungwa pingu!
We jamaa ukishashiba unakuja kujaza seva za watu huku...Huna shughuli za kufanya?
 
Yaani Trump alijitoa WHO, shirika liliyumba maana 2/3 ya hela anatoa US, hao china na Russia wanachangia vihela vya nyanya kwenye UN agencies
Hlf anatibiwa kwa hisani ya watu wa marekani ila yupo humu kubwabwaja mineno , sisi ngoz nyeus ni watu wa kupoteza na kujutia
 
Marceneries wangetoka Dunia nzima kuja kuipiga USA ,nchi nyingi sana zingeosaidia Iran kuipiga USA, USA ni dhaifu sana ,
Inachukiwa sana, nakuhakikishia Kuna nchi za NATO zingetoa misaada kwa Siri ili kuiadhibu USA.

Na hii ndio sababu kubwa amabyo inapelekea USA kuingia vitani na wapambe.kuogopa aibu ya kupigwa peke yake.
Ona mifano midogo TU

USA ilipelekea askari wake somalia,ilijikuta inadhalililishwa na wababe wa kivita wa Somalia,akina Mohamed Farah Aidiid.Gen Morgan na wenzao.

Askari wa Marekani walipigwa na wasomali,wakauliwa,wakatekwa na baadhi Yao wakafungwa kwenye magari kwa nyuma wakiwa miguu imefungwa kamba na kufungwa kwenye magari,wakawa wanaburuzwa magari yakipita mitaani.

Kitendo hicho kiliibua chuki ya wananchi wa USA dhidi ya Serikali Yao na hatimae Serikali ikatoa agizo majeshi ya USA yaliyoko somalia yaondoke huko.

Na huo ukawa ni ushindi wa makundi hayo ya kisomali.

USA ilishindwa somalia.
Israel ambayo huwa inapata misaada ya silaha na bajeti kutoka Marekani inachukiwa na Waarabu. Tangu wameanza kuungana kuipiga walifika wapi?
Waarabu waishindwe Israel waliyokaa nayo jirani waje kuweza Marekani iliyo maelfu ya kilomita kutoka walipo, tena Marekani hii inayosaidia adui yao
 
M
Hivi Marekani angejichanganya leo akaamua kuivamia Iran kwa kuitumia ardhi ya Iraq lakini asisaidiwe na nchi nyingine, awekewe vikwazo kama alivyowekewa Urusi.

Halafu Iran isaidiwe silaha mfululizo na Urusi, China, India, na nchi zingine za kiarabu, je Marekani angestahimili kwa muda gani? Ujue kupigana ukiwa umewekewa vikwazo ni kama kupigana ukiwa umefungwa pingu!
Mbona alimtandika Saddam pamoja na Russia kuwapiga tafu
 
Hivi Marekani angejichanganya leo akaamua kuivamia Iran kwa kuitumia ardhi ya Iraq lakini asisaidiwe na nchi nyingine, awekewe vikwazo kama alivyowekewa Urusi.

Halafu Iran isaidiwe silaha mfululizo na Urusi, China, India, na nchi zingine za kiarabu, je Marekani angestahimili kwa muda gani? Ujue kupigana ukiwa umewekewa vikwazo ni kama kupigana ukiwa umefungwa pingu!
Hemu tulia kidogo! Marekani uwawekee vikwazo gani labda?
 
Umuwekee vikwazo USA Basi husitumie, Pepsi, Coca-Cola, Colgate,Google, Facebook, watsapp, Tweeter,

Husitumie Dollars, Master card, visacard, paypall, husitumie Boeing, ARV, chanjo za magonjwa. Ulipie 1/3 za mchango kwa UN. Ulipie 2/3 ya bajeti ya WHO

Hudumia kambi za wakimbizi, asa Africa, fafhiri UNHCR, UNO, WFP.

Baada ya hapo muwekee US vikwazo [emoji2][emoji2]
Kudadeki 😲
 
Marekani akiwekewa vikwazo na China maana yake China iache kuuza bidhaa zake Marekani, kwa mwaka China inauza zaidi ya dola bilioni 400 kwa Marekani. Kwa hiyo China wawe vilaza waache kupata bilioni 400 kwa mwaka wabaki kwa Russia kupata dola bilioni 50 kwa mwaka, hii ni 1 ya 8.

Wakati huo China ikose patents zote za Marekani. ZTE ilipigwa sanctions na Marekani mpaka leo hatuoni simu zake, Huawei ilipigwa sanctions mpaka ikafungua biashara ya kufuga nguruwe ili kutosheleza profits. Patents za teknolojia ya simu nyingi ni za makampuni ya Marekani. Hata TCMS wataambiwa hakuna kuuza microchips kwa China wala Russia, Samsung Electronics mnayoona hii Marekani ikitaka ipotee sokoni ndani ya miaka minne inaweza potea. Ukipiga marufuku wasitumie foundry tech ya US kutengeneza chips zao za Exynos, au kufanya outsourcing ya chips kutoka kwa Qualcomm ya Marekani. Kwahiyo Samsung nao watachagua upande wa Marekani kuliko China na Russia.


China akishindwa kuzalisha zaidi kwa ajili ya kuuza Marekani atapunguza mahitaji ya gesi na mafuta kutoka Russia na kwingineko, hapo Russia anapunguza mapato, soko la mafuta duniani linashuka uchumi wa OPEC wote unaporomoka na dunia kwa ujumla inaingia mdororo wa uchumi. Marekani inaweza zalisha mapipa milioni 15 ya mafuta kwa siku ukijifanya unaikomoa, kwa siku inatumia mapipa milioni 19 hizo nne zinazokosa kwenye mlinganyo inatafuta hata Libya inawahonga wanaiuzia extra.

Kampuni kama Boeing zinaacha kufanya kazi China na Russia. Pia Dell, HP, Apple, Sony, etc. GPS inafungwa wabaki na GLONAS zao na BeiDou ambazo sio reliable na hazina global support. Android system inafungwa na iOS tuone ni Mwafrika gani ataanza kujaribisha systems ambazo hajawahi sikia. Facebook, WhatsApp, Twitter, Instagram zinafungwa kwao na kwa vifaa wanavyotengeneza. Warusi wabaki na VKontakte (ambayo najua 98% ya wabongo hawajawahi hata kuisikia) na Wachina wabaki na kina WeChat, Weibo na TikTok. Ukiachana na TikTok ni nani duniani hapa atataka aache hizo nyingine atumie VKontakte au Weibo na WeChat?

South Korea, Japan, UK, Germany, France, Australia, Italy, Spain, Canada zitasimama na Marekani. Israel na Switzerland wanaweza chagua kuwa neutral, Waarabu vigeugeu kupindukia watasoma upepo ila wengi watakuwa upande wa Marekani. Yani Qatar aache kuwa upande wa Marekani ambako kila giant aliyeko kule anajiweza na gesi hana, aende kushiriki na China ambako Russia anamuuzia gesi kwa fujo?
Umeshaambiwa ikitokea ikawa hivyo.. Duuh mbona mnakuwa vilaza hivi
 
Umechanganya!! Umoja wa mataifa hauhusiki katika kuiwekea vikwazo Urusi pia hautahuisika kuiwekea vikwazo marekani. Kwa hiyo michango yake UN ataendelea kupeleka! Dola za kazi gani, si makaratasi tu hayo? Akiwekewa vikwazo tunaachana na dola tunakubaliana kutumia kila nchi pesa yake! Wakimbizi wataendelea kuhudumiwa na UN maana yenyewe haitahusika.

Ukweli ni kwamba Marekani atapigwa ka mtoto mdogo!!
Daah! Simple as such? Kama unaishi kwa matumaini wew au ndugu zako( unatumia mbolea au jina jingine ARV) jua huyo ni Mmarekani na sio Urusi wala Iran wala China. Popote ulipo ukiona land cruiser ina plat number ya DFP na ubazuni imeandikwa USAID jua kuwa inafanya kazi kwenye mradi uliofadhiliwa na Marekani. Secondly,itafute nchi inayoweza kuiwekea vikwazo Marekani,Kama ambavyo kawekewa Urusi.
 
Lakini NATO wenyewe hawana hamu na Urusi!! Ameweza kupigana na muungano wa nchi zaidi ya 30!! huku akiwa amefungwa kamba ya vikwazo, na bado anapiga usiombe!! Usanii wote wa Zelensky kwishney!! sasa hivi kila akiongea ni kulia lia tu!
Daah! Kwa hiyo Urusi kapigana na NATO?😲😲😲
 
Daah! Simple as such? Kama unaishi kwa matumaini wew au ndugu zako( unatumia mbolea au jina jingine ARV) jua huyo ni Mmarekani na sio Urusi wala Iran wala China. Popote ulipo ukiona land cruiser ina plat number ya DFP na ubazuni imeandikwa USAID jua kuwa inafanya kazi kwenye mradi uliofadhiliwa na Marekani. Secondly,itafute nchi inayoweza kuiwekea vikwazo Marekani,Kama ambavyo kawekewa Urusi.
Kwamba dunia haiwezi kwenda bila Mmarekani?
 
Nani Sasa atampga hizo ban? Hatuwezi kujadili agenda isiyo tekelezeka.
Jamaa kauliza swali badala ya kujibiwa, ndo kwanza nae anaulizwa eti tukikosa dola, tukikosa soda, tukikosa middle, tukikosa........... jibuni swali " marekani akipigwa ban za kutosha kama urusi anaweza kushinda vita
 
Yaani Trump alijitoa WHO, shirika liliyumba maana 2/3 ya hela anatoa US, hao china na Russia wanachangia vihela vya nyanya kwenye UN agencies
Mimi nawashangaa sana watu humu ujue! Jamii forum ni kokolo tunatofautiana sana uelewa. HAIPO NCHI DUNIANI YA KUIWEKEA MAREKANI VIKWAZO. Teh teh teh kwamba " kwamba tunawawekea vikwazo hatutumii ndege zenu za Boeing"
 
Huna akili ndio maana huwezi elewa. Jibu langu lote limejibu hiyo 'ikitokea' ila ng'ombe kama wewe hata kusoma hujui.

Umejiita Stephen Curry aliyepatia umaarufu Marekani, hujajiita Vladimir wala Jiang
Wewe mwerevu sana, unafikiri huyo Marekani anaweza kuishi bila ya dunia?

Uzi unasema wazi ikitokea Marekani akapigwa vikwanzo ina maana wakubwa wa dunia walikaa chini wakajiuliza hayo yote uliyoyaandika na solutions zake ndio maana wakafikia hilo hitimisho. Sasa wewe mwerevu sana ina maana wewe una akili sana ya kujua vyote hivo kuliko hao superpower ambao wataamua kuweka hivyo vikwazo? Na hivyo vyote ulivyoeleza hapo kwani hakuna mbadala wake? Au ni Marekani pekee ndiye ana watu special wa kutengeneza hizo patents na wengine hawataweza?
 
Back
Top Bottom