Hivi hata ulaya kuna mercy votesKama akinusurika na hili shambulio, naona akienda kupata kura za huruma kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika hivi karibuni.
Kupitia hili tukio, niseme wamempiga chura teke bila kujua wanamuongezea mwendo.
Putin ni adui wa viongozi wa marekani na si adui wa taifa la marekani,kuna tofauti kubwa sanaKuna ukweli hapo. Trump ni adui wa Taifa kwenye mambo yanyohusu mahusiano ya Russia vs USA.
Sera zake hazina tija kwenye muungano wa NATO na US bali zinazoonekana kumbeba Putin ambaye ni adui wa Taifa la marekani.
Kumbe hata kwenu , mambo ya kihuni yapo? 😎Hawawezi kumshinda kwa kura!
Wamejaribu lawfare, nayo imeshindikana.
Sasa wanataka kumuua!
Democraps.
Haya wale wafia Marekani. Mnaoonaga US ni kama pepo, watakatifu wale...demockrasia kwa 100%. Mnaona sasa...??Kama wanaweza kumtwanga risasi mgombea tena ex president, wanashindwa nini kuiba kura, kudanganya na kuingilia mifumo ya kuhesabu kura??? Evil is everywhere...
Ndio nauliza kama kilichompiga Trump ni glass tu hao "nobody" waliokufa nao walipigwa na chenga chenga za kioo?Hao waliokufa n akina nan hapo USA, tuanzie hapo.
Kama n wapiga kura tuu bc nadhan jibu Tyr unalo n kwann n hao ndio wamekufa
hapo sawa...😃Duniani hakuna usalama wa kuzuia kifo chako tusijidanganye.
So walikufaje sasa hao watu!! Kama kimeua hao wawili means hata Trump kingemuua tu maana ni binadamu kama hao wengine tu. Whatever it was, it killed people so its an assassination plotNa sasa hv kuna taarifa zinatembea kuwa haikuwa risasi, ngoja tusubiri tuone
Gen Z ama 😄Ndiyo hata aliyempiga risasi na kumuua Archduke Franz Ferdinand Carl Ludwig Joseph Maria wa Austria kupelekea vita ya pili ya Dunia alikuwa ni dogo wa miaka 18. Hakuna jipya
itakuwa kweli maana nimesoma komenti yangu sijaona tatizo la r na l itakuwa hoja zimemzidi tu huyu...😃Mi nikiona faza anaandika haya mambo.
Najua kabisa ni ishu ya umri imeanza kumsumbua
Sasa kama tukio limetengenezwa kuwa risasi imkose Trump c lazima watu wangehoji risasi ikaelekea wap wakat kulikuwa na watu wengi hapo, hv kama lengo n kumkosa raia bc n lazima risasi ikampate mwngn.Ndio nauliza kama kilichompiga Trump ni glass tu hao "nobody" waliokufa nao walipigwa na chenga chenga za kioo?
Naona kama kuna propaganda mnaleta kuwa hakuna risasi ilipigwa cha ajabu watu wamekufa!!
Yaaah hayo mambo pia anayo faiza..itakuwa kweli maana nimesoma komenti yangu sijaona tatizo la r na l itakuwa hoja zimemzidi tu huyu...😃
Sio tu kusema rais ajaye pia ni rais atakayeituliza dunia na kuileta kwenye amani. Rais gani wa marekani aliyewahi kuvuka moaka wa South Korea kuingia Nothern Korea kukutana na mhasimu wake?Trump Rais ajaye
Kujifunza kuiba kura na kubeba raia kutoka Shinyanga na Tabora kwenda Katavi kujaza uwanja.Hawa wapuuzi Marekani wanatakiwa kuja kujifunza siasa Tanzania.
Na kuwapa juice kina Mbowe ikulu.Kujifunza kuiba kura na kubeba raia kutoka Shinyanga na Tabora kwenda Katavi kujaza uwanja.