Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara

Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara

Kuna ukweli hapo. Trump ni adui wa Taifa kwenye mambo yanyohusu mahusiano ya Russia vs USA.

Sera zake hazina tija kwenye muungano wa NATO na US bali zinazoonekana kumbeba Putin ambaye ni adui wa Taifa la marekani.
Putin ni adui wa viongozi wa marekani na si adui wa taifa la marekani,kuna tofauti kubwa sana
 
Haya wale wafia Marekani. Mnaoonaga US ni kama pepo, watakatifu wale...demockrasia kwa 100%. Mnaona sasa...??Kama wanaweza kumtwanga risasi mgombea tena ex president, wanashindwa nini kuiba kura, kudanganya na kuingilia mifumo ya kuhesabu kura??? Evil is everywhere...
Screenshot_20240714-090922_X.jpg
 
Hao waliokufa n akina nan hapo USA, tuanzie hapo.
Kama n wapiga kura tuu bc nadhan jibu Tyr unalo n kwann n hao ndio wamekufa
Ndio nauliza kama kilichompiga Trump ni glass tu hao "nobody" waliokufa nao walipigwa na chenga chenga za kioo?

Naona kama kuna propaganda mnaleta kuwa hakuna risasi ilipigwa cha ajabu watu wamekufa!!
 
Hawa wapuuzi Marekani wanatakiwa kuja kujifunza siasa Tanzania, Taifa lina miaka zaidi ya 300 bado wanaviaziana kuuwana wakati Tanzania Taifa lina miaka 60 tu Wanasiasa wanakunywa Juice Ikulu.
 
Ndio nauliza kama kilichompiga Trump ni glass tu hao "nobody" waliokufa nao walipigwa na chenga chenga za kioo?

Naona kama kuna propaganda mnaleta kuwa hakuna risasi ilipigwa cha ajabu watu wamekufa!!
Sasa kama tukio limetengenezwa kuwa risasi imkose Trump c lazima watu wangehoji risasi ikaelekea wap wakat kulikuwa na watu wengi hapo, hv kama lengo n kumkosa raia bc n lazima risasi ikampate mwngn.
Ndo mana nkakuuliza je huyo aliyekuwa n nan hapo USA
 
Muda si mrefu tutaona yanayotokea Sudan yanatokea Marekani vita vya wenyewe kwa wenyewe. Wamezoea kupiganisha vita wengine na kuuza silaha.
 
itakuwa kweli maana nimesoma komenti yangu sijaona tatizo la r na l itakuwa hoja zimemzidi tu huyu...😃
Yaaah hayo mambo pia anayo faiza..

Mtu akiona unampangua kwa hoja huwa anakuja na hizo gia...

We inaingia akilini seriously mtu mzima unasoma comment nzima alafu unakuja kutoa makosa ya r na l kama sio ukhanisi ni nini
 
VIPI HII SI NDO ZILE KAZI ZA CIA hata yule john f kennedy seniour ,,,,,,,,,,,, walimwaisha faster faster miaka hilee......................
 
Back
Top Bottom