Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara

Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara

Siasa za Marekani sasa zinaanza kufuata njia za bara la Afrika.
Walitubeza kiasi cha kutosha, nao wanaingia kwenye aibu.
Mimi nilishasema kwamba chama cha Democrat hakina tofauti kabisa na CCM!

Hao Democrats walianza na kujaribu kutaka kumwengua Trump kwenye baadhi ya majimbo. Hiyo ikashindikana.

Wakambambikia makesi kibao. Hiyo nayo haijaenda kama walivyotarajia.

Sasa wanatumia risasi. Kwa bahati nzuri, hiyo nayo haijafanikiwa.

Sasa nambie, hizo figisu zao zina tofauti gani na figisu za CCM?
 
Screenshot_20240714-000545_Google.jpg
 
Mimi nilishasema kwamba chama cha Democrat hakina tofauti kabisa na CCM!

Hao Democrats walianza na kujaribu kutaka kumwengua Trump kwenye baadhi ya majimbo. Hiyo ikashindikana.

Wakambambikia makesi kibao. Hiyo nayo haijaenda kama walivyotarajia.

Sasa wanatumia risasi. Kwa bahati nzuri, hiyo nayo haijafanikiwa.

Sasa nambie, hizo figisu zao zina tofauti gani na figisu za CCM?

Siamini kama tatizo ni democrats, tatizo ni Trump, maana hata republican wanaelewa nini maana ya Urais wanampinga

Juzi nilisikiliza Joe Rogan podicast walisema assassination attempt haipo mbali
 
13 July 2024
Butler, Pennsylvania
Marekani

MILIO IPATAYO TISA YA SILAHA YASIKIKA KATIKA MKUTANO WA TRUMP, AJERUHIWA SIKIO KWA RISASI KATIKA JARIBIO LA KUONDOKA UHAI WA MGOMBEA URAIS


View: https://m.youtube.com/watch?v=szm4fJLaQUU
Trump akikunja ngumi hewani baada ya shambulio lililotaka kuondoa uhai wake kushindwa, huku akibebwa mzobe mzobe na walinzi wake baada ya milio ya silaha ya moto kusikika katika mkutano huko Butler, Pennsylvania Marekani.

Umati ulipoona Trump akinyoosha ngumi angani kuwa amenusirika ukaimba wimbo wa kizalendo wa USA! USA! kuashiria umma uliohudhuria mkutano wapo naye bega kwa bega Trump

Shots are fired at former President Trump's campaign rally in Butler, Pennsylvania, and the former President is rushed off stage.


View: https://m.youtube.com/watch?v=XL3D0h5j0Lo

Mara baada ya milio kadhaa ya silaha ya moto kusikika, rais Trump alishika sikio lake kuashiria kitu kimempiga, walinzi wake haraka walimzingira na kumueka katika sakafu ya jukwaa kumlinda huku wakikagua hali ya jeraha lake pia kupanga mipango ya jinsi ya kutoka naye kwa usalama kutoka ktk jukwaa la mkutano alilokuwa amesima akihutubia huko Butler, Pennsylvania Marekani

1720914688561.png

Msemaji wa Kikosi cha Usalama (Secret Service) alisema Bw. Trump alikuwa "salama." Msemaji wa kampeni ya Trump, Steven Cheung, alisema katika taarifa kwamba rais huyo wa zamani "anaendelea vizuri na anachunguzwa katika kituo cha matibabu cha eneo la karibu ."

1720917986982.png

Lawama kwa kushindwa majukumu ya kuhakikisha usalama ya mgombea urais rais mstaafu Trump waelekezwa kwa vyombo vya usalama


MAONI YA WADAU :

'Lack of professionalism': Alex Stein blasts Secret Service after Trump assassination attempt​


View: https://m.youtube.com/watch?v=XVSx08FbOOQ
Commentator Alex Stein has criticised the Secret Service over its handling of the situation following former US President Donald Trump’s assassination attempt during a rally in Pennsylvania.“This is a serious issue for the Secret Service there is only one other roof across the whole entire event that had a shootable lane to the president and they had to wait till he shoots them,” Mr Stein said. “This is a lack of professionalism by the Secret Service that doesn’t care about actually protecting Donald Trump.”
Source Sky news Australia
 
Siamini kama tatizo ni democrats, tatizo ni Trump, maana hata republican wanaelewa nini maana ya Urais wanampinga

Juzi nilisikiliza Joe Rogan podicast walisema assassination attempt haipo mbali
Kosa la Trump ni lipi mpaka lihalalishe yeye kutaka kuuliwa?

Hawawezi kumshinda kwa hoja mpaka watumie nguvu?
 
Mimi nilishasema kwamba chama cha Democrat hakina tofauti kabisa na CCM!

Hao Democrats walianza na kujaribu kutaka kumwengua Trump kwenye baadhi ya majimbo. Hiyo ikashindikana.

Wakambambikia makesi kibao. Hiyo nayo haijaenda kama walivyotarajia.

Sasa wanatumia risasi. Kwa bahati nzuri, hiyo nayo haijafanikiwa.

Sasa nambie, hizo figisu zao zina tofauti gani na figisu za CCM?
Mkuu Nyani Ngabu hizo risasi zilizo makosa Trump mbona hazikuwa umiza watu waliokuwa mkutanoni na ukiangalia alivyokuwa amesimama kwa kugeuka imekuwaje aumie sikio la kulia tu .


USSR
 
Back
Top Bottom