Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nilishasema kwamba chama cha Democrat hakina tofauti kabisa na CCM!Siasa za Marekani sasa zinaanza kufuata njia za bara la Afrika.
Walitubeza kiasi cha kutosha, nao wanaingia kwenye aibu.
Mimi nilishasema kwamba chama cha Democrat hakina tofauti kabisa na CCM!
Hao Democrats walianza na kujaribu kutaka kumwengua Trump kwenye baadhi ya majimbo. Hiyo ikashindikana.
Wakambambikia makesi kibao. Hiyo nayo haijaenda kama walivyotarajia.
Sasa wanatumia risasi. Kwa bahati nzuri, hiyo nayo haijafanikiwa.
Sasa nambie, hizo figisu zao zina tofauti gani na figisu za CCM?
Naamini hili, wametu,a ujumbeNafikiri wanajaribu kumtumia ujumbe, wangetaka kumuua wasingeshindwa.
Acha bange dogo. Kennedy alipigwa risasi akiwa rais, tayari kwenye mamlaka yake. Trump sio rais kwasasa ni mgombea tu. Kwa hivi ameshambuliwa kama mpinzani, ni kama CCM inavyoshambulia wapinzani wake kwa risasiKwani yeye ndio Rais wa kwanza kupigwa risasi huko USA, Kennedy alikuwa mtanzania
USSR
yeye
Kosa la Trump ni lipi mpaka lihalalishe yeye kutaka kuuliwa?Siamini kama tatizo ni democrats, tatizo ni Trump, maana hata republican wanaelewa nini maana ya Urais wanampinga
Juzi nilisikiliza Joe Rogan podicast walisema assassination attempt haipo mbali
Trump hawezi kuwa rais wa US again, kama vile ulivyochukuzwa na Magufuli basi jua wana tabia mojaTrump Rais ajaye
Tatizo hataki kufata wakubwa wanataka nini, Kama uliangalia Mahojiano ya Putin na Turker, Putin aliweka wazi wanaoendesha Marekani wapo sio Biden, hao ndio wanataka nani awe RaisKosa la Trump ni lipi mpaka lihalalishe yeye kutaka kuuliwa?
Hawawezi kumshinda kwa hoja mpaka watumie nguvu?
Acha Stori za kwenye kahawaTatizo hataki kufata wakubwa wanataka nini, Kama uliangalia Mahojiano ya Putin na Turker, Putin aliweka wazi wanaoendesha Marekani wapo sio Biden, hao ndio wanataka nani awe Rais
Mkuu Nyani Ngabu hizo risasi zilizo makosa Trump mbona hazikuwa umiza watu waliokuwa mkutanoni na ukiangalia alivyokuwa amesimama kwa kugeuka imekuwaje aumie sikio la kulia tu .Mimi nilishasema kwamba chama cha Democrat hakina tofauti kabisa na CCM!
Hao Democrats walianza na kujaribu kutaka kumwengua Trump kwenye baadhi ya majimbo. Hiyo ikashindikana.
Wakambambikia makesi kibao. Hiyo nayo haijaenda kama walivyotarajia.
Sasa wanatumia risasi. Kwa bahati nzuri, hiyo nayo haijafanikiwa.
Sasa nambie, hizo figisu zao zina tofauti gani na figisu za CCM?
Kuna mtu mmoja kafa hapo kwneye huo mkutano!Mkuu Nyani Ngabu hizo risasi zilizo makosa Trump mbona hazikuwa umiza watu waliokuwa mkutanoni na ukiangalia alivyokuwa amesimama kwa kugeuka imekuwaje aumie sikio la kulia tu .
USSR
Kwan CCM ilishinda? Si iliiba kura. Unajitoa ufahamu. Unadhani na mwaka kesho mtaacha wizi? Mpate hasara ya kugawa Pikipiki? Thubutu!Mbona lisu hamkumpa kura za huruma
USSR