Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Wewe na avatar Yako lazima umkubali, Trump hapaswi kuingia ikulu tena.Isije kuws kiki tu ila nje ya hili tukio huyu mwamba namkubali sana hana unafiki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe na avatar Yako lazima umkubali, Trump hapaswi kuingia ikulu tena.Isije kuws kiki tu ila nje ya hili tukio huyu mwamba namkubali sana hana unafiki.
Wanajua wakimuacha Jamaa atasepa na Kijiji kwa hio lazima kieleweke, first attempt failed just wait for the second attempt inabidi aanze kutembea akiwa amevaa bullets proofHawawezi kumshinda kwa kura!
Wamejaribu lawfare, nayo imeshindikana.
Sasa wanataka kumuua!
Democraps.
US inaweza kuwa wanaotaka roho ya Trump ni wazalendo tu ambao hawataki Rais dictator.Inashangaza kumbe hata US wana mambo ya kiswahili kama sie 🤣
Wakati wa Trump hakukua na Vita za kisengesenge alipoingia huyo Babu yako Ukoo wa Bush na Obama wakakinga ndoo ya Damu sasa Palestine damu zinamwagika Ukraine damu zinamwagikaWewe na avatar Yako lazima umkubali, Trump hapaswi kuingia ikulu tena.
Trump alichochea wapi Vita Msenge wewe?US inaweza kuwa wanaotaka roho ya Trump ni wazalendo tu ambao hawataki Rais dictator.
Yeah Baba that's true wanaona akiingia mwamba ajenda zao zimefeli pakubwa kwa hio lazima wamkalishe hata kwa kutumia MisumaliSio kwamba ni mashoga na wapenda vita ambao wanaona trump anahatarisha ajenda zao
US unaletaje u dictator mkuu? hilo tukio ni mipango ya wakubwa na huyo muuaji ni contract killer sema ndio hivyo Mungu naye ana mipango yake. Issue ni maslahi tu hakuna kingine.US inaweza kuwa wanaotaka roho ya Trump ni wazalendo tu ambao hawataki Rais dictator.
Ndio madhara kuto omba hayo Ibada ya Dominica ya kesho itabidi wamuombee maana hio pia ni dalili ya kuto ombewaKumbe mizungu bado mijinga
hao walinzi wangenikuta nyumbani 🤣Hapo tayari jamaa wa counter-assault walikuwa washafika na wengine tayari walikuwepo kwenye ring of protection!Halafu hao secret service kuna muda walimaucha kichwa kipo wazi, angetokea shooter mwingine si alikuwa anammaliza.
Inside Jo Biden ?INSIDE JOB!
View attachment 3041831
... LOOK AT THE PICTURE AND EXTRACT SOMETHING MY FELLOW TISS!Inside Jo Biden ?
Yah! jamaa wanafahamu vyema kazi yao, ndani ya muda mchache sana walishammaliza muuaji.Hapo tayari jamaa wa counter-assault walikuwa washafika na wengine tayari walikuwepo kwenye ring of protection!
Na hapo tayari lead wa detail alikuwa keshaona kwamba hatari haipo tena.
Si uliwaona jinsi walivyo fasta?
Btw, counter-assault team ni wale wanaovaa magwanda, helmet, na wana yale mabunduki marefu [rifles].