Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inside Joe Biden... LOOK AT THE PICTURE AND EXTRACT SOMETHING MY FELLOW TISS!
😅
Contract ya kula matoke?Wangenipa mimi hiyo contract,
Mods wangeamka kesho na kubadilisha kichwa cha habari
... kwenye hiyo picha team-Trump wamejikanyaga kama Bongo movie vile!Inside Joe Biden
Kibabu hakitaki kabisa Trump aingie ikulu ya USA kipo tayari kimfyekelee mbali, ule mdahalo wa hapa majuzi Trump alikapiga KO
Shooter kauliwa na Secret Service!Yah! jamaa wanafahamu vyema kazi yao, ndani ya muda mchache sana walishammaliza muuaji.
Jamaa ni professional. Wapo makini ile mbaya.
Nyani Ngabu ebu TOA Neno hapo is it true it was planned & staged like how this maggots say?... kwenye hiyo picha team-Trump wamejikanyaga kama Bongo movie vile!
SIUI UNANIPATA?
😅
... they act like they staged the whole thing!
Askari wa bongo hakuna kitu sema sasa wakimdaka mbuzi wa kafara ni balaaHao askari wapo makini sana, professional, skilled.
kuna yule muuaji Dar aliitwa Hamza, askari wa Tz walichokifanya pale kinatia huruma, yani muuaji huyu hapa na hapa jamaa wanamkosa risasi.
Sasa angalia hao counter-assault na hao secret service walivyofanya kazi chap sana, ingekua bongo hapo askari wangerusha mabomu ya machozi, mara field force wanaingia kuanza kutandika virungu watu, basi ingekua ni tafrani tu na muuaji anatokomea, mnaanza kupigwa search mlangoni ole wako ukutwe na kipisi cha bangi 🤣 utaelezea...
Mi nilifikiri ni hao counter-assault ndio walimfuata wakammaliza, ina maana ulinzi wa Trump ni mkubwa zaidi ama kuna tofauti gani?Shooter kauliwa na Secret Service!
Ila sijui aliwezaje kuvuka rings of protection maana ulinzi wa Trump uko tofauti kidogo na ulinzi wa marais wengine wa zamani.
Hio avatar Mzee Putin alikua anamwangalia Tulia?Askari wa bongo hakuna kitu sema sasa wakimdaka mbuzi wa kafara ni balaa
Wanataka kum-JFK?
Tumeshamkata mtuhumiwa alieanzisha hii sirediAskari wa bongo hakuna kitu sema sasa wakimdaka mbuzi wa kafara ni balaa
Yani mkuu ukihesabu muda ambao Trump alijishika sikio ina maana mlengaji alikuwa hai, halafu wale secret service wakafika alipo kumuwekea ulinzi Trump alipoanguka chini na yule secret service aka confirm kuwaambia wenzake "shooter is down" hiko kitendo hakijafika dakika 1, ni sekunde kadhaa., jamaa wapo faster, bongo hio hawawezi.Askari wa bongo hakuna kitu sema sasa wakimdaka mbuzi wa kafara ni balaa
Hamna mbinu nyingine🫠CCM Ni waungwana Sana, hawatumii risasi. Wanatumia juice, maji, pipi, wanawake warembo etc. Yaani vitu vitamu tu.
Unaambiwa mlengaji kakamatwa 🤣 🤣 🤣
Hao ni wale ndezi wanaoshindana na Mr.Moscovischt🤣Dah …Hatari sana; wanataka kumuua Rais wa Dunia??
Ndiyo, taarifa kutoka CBS zinasema kwamba ni counter assault team ndo waliomuua jamaa.Mi nilifikiri ni hao counter-assault ndio walimfuata wakammaliza, ina maana ulinzi wa Trump ni mkubwa zaidi ama kuna tofauti gani?
Ili ajenda yao ya magasho na Vita iendelee akiingia Mzee Baba Trump anakaa upande wa Putin na Kiduku Ukraine na Israel kwisha habariDah …Hatari sana; wanataka kumuua Rais wa Dunia??