Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara

Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara

Mazingira ya siasa za Marekani yamekuwa ya mgawanyiko mkubwa sana(polarized) katika mstari wa vyama viwili kiasi kwamba hata katika matukio ambayo mwanasiasa angeweza kuvuna kura za huruma tu kama hili la kushambuliwa kwa Trump inakuwa vigumu sana kwa jambo hilo.

Tayari inaonekana kundi kubwa la Wamarekani wakikebehi tukio zima kama igizo fulani tu(staged), hivyo ni sahihi kusema mshale wa siasa za uchaguzi hautabadilika sana kuelekea November
View attachment 3041838
Sasa huyu Msenge shoga wa New York si watamtafuta wamfyatulie kwenye kiboga chake anaongea nini maigizo watu kufa maigizo?
 
Unafikiria ni rahisi?
🤡
1720920025488.png


... not quite easy, ... as you can see one loose end is just here! 😅
 
Yeah! Yaani ilikuwa ni inches tu kichwa kingefumuka.
Hata JFK risasi ya kwanza ilimkosa, ya pili ilimpa majeraha akawa ameshtuka kidogo, ile ya tatu ndipo ikafumua nusu ya kichwa chake na yote hayo yalitendeka kwa sekunde 8.

Zile risasi wanazo kosa zinasaidia kutengeneza accuracy zaidi kwa kufahamu ni namna gsni aweze ku adjust silaha kuipata target kwa ufasaha.

Sema ndio hivyo secret serice wamefanya kazi yao, kingine Trump alijiongeza sana kulala chini.
 
Mgombea urais kupitia chama cha republican katika uchaguzi ujao nchi Marekani na Rais wa zamani Donard Trump ameshambuliwa kwa risasi kadhaa akiwa katika mkutano mjini Butler Pennsylvania Leo

Walinzi wake wamezunguka na kumuinua baada ya kuanguka chini huku akionekana kuvuja damu upande wa siko la kulia baada ya milio ya risasi kadhaa kusikika mkutanoni

Bado hajajulika nani alifyatua risasi ,

Updates

mashuhuda wanasema walisikia milio risasi kadhaa kutokea kwenye jengo pembeni na ulipokuwa ukutano na kisha kumuona Trump akianguka chini na kuzukwa na walinzi kwa mtindo wa kuatamia.

Bado haujajulikana kuwa damu zinazo tililika kutoka usoni ni sababu ya risasi au kuanguka chini ameondolewa akiwa mzima huku akiinua mkono kusalimia na kuaga akiwa anavuja damu usoni

Update

Mtu mmoja amefariki baada ya kupigwa risasi zilizomkosa Trump.

Inadaiwa wadunguaji walikuwa wawili kutoka pande mbili tofauti na mmoja amekamatwa huku hali ya Trump ikiendelea kuimarika na amewashukuru walinzi kwa kazi nzuri.

Rais Joe Biden ametaarifiwa na kumtakia Trump apone haraka sana ,huku kukiwa na mwito kutoka maeneo mbalimbali wakimtaka azungumze na taifa

Palina
View attachment 3041758View attachment 3041759
View attachment 3041829
View attachment 3041836

Trump rushed off stage at Pennsylvania rally as shots heard​


Pennsylvania & London
Secret Service agents have rushed former President Donald Trump off stage after what sounded like gunshots rang out at a rally in Pennsylvania.

Footage showed him grimace and raise a hand to his right ear, before ducking as sharp cracks - apparently shots - broke out.
He was quickly swarmed by secret service agents and rushed off stage to a waiting vehicle. He raised a fist as he was bundled into the car.
In a statement Trump's campaign said he was "fine" and was being "checked out" at a local medical facility.

“President Trump thanks law enforcement and first responders for their quick action during this heinous act,” spokesman Steven Cheung said.

The former president appeared to have blood on his ear as protection officers led him away.
Law enforcement sources later told US media that the male suspect and an audience member were dead.

In a statement, the Secret Service said Trump was safe and that measures for his protection had been implemented.
They added that an active investigation was now under way and that further information would be released when available.

The Republican candidate for president had been addressing his supporters in Butler, Pennsylvania - a crucial swing state in November's election.

Multiple bangs rang out as Trump spoke about his successor, President Joe Biden, and his administration.

Several supporters holding placards and standing behind Trump ducked as the apparent shots were heard.
One witness - Greg - told the BBC that he had spotted a suspicious-looking person "bear crawling" on a roof about five minutes before Trump started speaking. He said he pointed the person out to police.
"He had a rifle, we could clearly see him with a rifle," he said. "We’re pointing at him, the police are down there running around on the ground – we’re like ‘hey man there’s a guy on the roof with a rifle’ and the police did not know what was going on."

Another witness, Jason, told the BBC that he heard five shots, which went off in quick succession.

“We see the Secret Service jump on Trump to protect him. Everyone in the crowd dropped down very quickly," he said.
“He shortly thereafter stood up and put his fist up in the air, said a couple of things."

Tim - who was also at the rally - told the BBC that he had heard a "barrage" of shots.

"There was a spray which we initially thought was a fire hose, and then the speaker on the right-hand side started coming down," he said.
"Something must have hit the hydraulic lines [which caused it to fall]. We saw President Trump go to the ground and everyone started dropping to the ground because it was chaos."

In a written statement, President Biden said he was "grateful to hear" that Trump was "safe and doing well".

"There’s no place for this kind of violence in America," he added. "We must unite as one nation to condemn it."
Politicians of both parties joined Mr Biden in condemning the apparent attack.

Former President Barack Obama said there "is absolutely no place for political violence in our democracy" and that he was "relieved that former President Trump wasn’t seriously hurt".

Trump's Vice-President Mike Pence said he and his wife were praying for his former ally, adding that he urged "every American to join us".
And House Minority Leader Hakeem Jeffries said in a statement: “My thoughts and prayers are with former President Trump. I am thankful for the decisive law enforcement response. America is a democracy. Political violence of any kind is never acceptable.”
Hiyo miwani yao myeusi ina kazi gani kama asiye na miwani aliwaona wahalifu
 
Hawakutegemea yangefika huko ni sawa na boat izame alafu huna life jacket unaogelea tu hivyo hivyo
Nadhani wanaziamini hizo tactics zao nyingine.

Sina hakika sana lakini nadhani Marekani ndo nchi inayoongoza kwa kuwa na marais wengi ambao wameuwawa!

Kuanzia 1865 mpaka leo hii.

Secret service wana uzoefu sana na hizi assasinations.

Hata Israel huwa inapeleka watu wake kufunzwa na Secret service namna ya kuwalinda viongozi.

Kama unakumbuka, 1995 Yitzhak Rabin aliuliwa.

Baada ya hapo Israel ikapeleka agents wa Shin Bet kuwa trained na secret service.
 
Back
Top Bottom