mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Tumejifunza nini kuhusu Hilo tukio ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itabidi wawe nayo maana hatari ingeweza kuwa kubwa zaidi kama mshambuliaji angeendelea.Marekani hawanaga hiyo miamvuli.
Sijui kwa nini tu!!
Hakuna!Siku zote tunaamini marekani ndo baba wa democrasia duniani.
Niko na trump tangu day one Sasa nataka vipi auwawe au unapenda kuwa huko peke Yako!?Mlitaka kusikia breaking news : D J Trump afariki Dunia kuna Wahuni walishaandaa risala Ila mambo yameenda tofauti
Kumbe TZ kuna uchaguzi?Mbona lisu hamkumpa kura za huruma
USSR
babu unachekesha ati walivyofasta hivi unaujua u fasta wewe..? mtu kapigwa risasi sema tu hakufikia lengo!.. acheni habari za kuwasifia hao washikaji kwa tafsiri yatukio la trump totally walinzi wamechelewa! adui mpaka amepita na siraha aina ya siraha ya moto ni uzembe mkubwa sana!.Hapo tayari jamaa wa counter-assault walikuwa washafika na wengine tayari walikuwepo kwenye ring of protection!
Na hapo tayari lead wa detail alikuwa keshaona kwamba hatari haipo tena.
Si uliwaona jinsi walivyo fasta?
Btw, counter-assault team ni wale wanaovaa magwanda, helmet, na wana yale mabunduki marefu [rifles].
Okay, sawa.babu unachekesha ati walivyofasta hivi unaujua u fasta wewe..? mtu kapigwa risasi sema tu hakufikia lengo!.. acheni habari za kuwasifia hao washikaji kwa tafsiri yatukio la trump totally walinzi wamechelewa! adui mpaka amepita na siraha aina ya siraha ya moto ni uzembe mkubwa sana!.
US inasifika kwa kuwa na ulinzi mkali ila hapa wameyumba sana na hii imeonyesha ktk medani hizi hakuna mkali popote adui anaweza kuingia,pia rejelea tukia la yule jamaa alieingia ikulu white house mpk kwenye uanda wa kuanza kutaka kuingia vyumbani!!.
ulinzi umeanguka sana!
Uliipata ruling ya hivi karibuni ya Supreme Court kuhusu presidential immunity?Sasa Kama walimshinda kwa kura hiyo 2020 hizo lawfare zote za nini?
Hiyo inahusu nini na nilichoandika?Uliipata ruling ya hivi karibuni ya Supreme Court kuhusu presidential immunity?
Aibu sana kwa marekani aiseeHawawezi kumshinda kwa kura!
Wamejaribu lawfare, nayo imeshindikana.
Sasa wanataka kumuua!
Democraps.
Si kweli. Walitaka kuua kabisa.Wamemshindwa kwa mengi.Naamini hili, wametu,a ujumbe
Kabisa, kwa experience yangu ya matukio ya aina hiyo kule Marekani, sijawahi kuskia aliyekoswa na risasi, wote kuanzia enzi za kina 2pac, Notorious BIG...Nafikiri wanajaribu kumtumia ujumbe, wangetaka kumuua wasingeshindwa.
Kwa Marekani sidhani kama siku ya leo itaisha kabla huyo Shooter hajapatikanaHawawezi kumshinda kwa kura!
Wamejaribu lawfare, nayo imeshindikana.
Sasa wanataka kumuua!
Democraps.
Mbona 50 Cents/nickels alipona?Kabisa, kwa experience yangu ya matukio ya aina hiyo kule Marekani, sijawahi kuskia aliyekoswa na risasi, wote kuanzia enzi za kina 2pac, Notorious BIG...
Wote waliuwawa
Inahusu kesi ya Trump inayohusu presidential immunity.Hiyo inahusu nini na nilichoandika?