Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara

Secret wa US wana act kiboya hivyo! Worst!
Wakibanwa vyema, babu Biden et. all wataropoka kama makamu alivyoropoka kuhusu like tukio la Area C
 
People are tired of his ass
 
Marekani Marais 4 walikufa kwa kupigwa risasi, Marais kuanziab Regan mpaka Obama mwenyewe 2011 alikoswa koswa risasi Leo unashangaa risas marekani.
🇺🇸 List of United States presidential assassination attempts.

Presidents assassinated:

🔴 1865 - Abraham Lincoln
🔴 1881 - James A. Garfield
🔴 1901 - William McKinley
🔵 1963 - John F. Kennedy

Presidents wounded:

🔴 1912 - Theodore Roosevelt*
🔴 1981 - Ronald Reagan
🔴 2024 - Donald Trump*

Note: * former president while campaigning

🔴 - Republican Party
🔵 - Democratic Party
 
Huko tayari wamepatikana waliofanya shambulizi. Vipi Chama chako kinachoongoza Serikali kinaendeleaje na waliomshambulia Lissu? Au ndio huwezi kujikamata?
Watuletee dereva wake tumuoji anajua yote ,baada ya tukio alipotea
 
Hata Obama 2011 alipata shambulizi baada ya mtu mmoja kushambulia eneo alilokuwa kwa risasi.
 
Make America Great Again..
Trump ana bahati sana. Mlenga shabaha alikosea milimita chache sana. Saa hii tungekuwa tunazungumzia habari nyingine. Labda kama ingekuwa kama ile ya SAVITA iliyotokea mdomoni...
Trump atashinda huu uchaguzi kwa uwepsi sana. Haswa ukiangalia afya ya akili ta Mzee Biden.
 
Ni kina nani hao mkuu wanaoamua nani awe kiongozi wa nchi flani? Naomba unipe japo kwa kifupi abc...
Ni mambo nyeti sana ambayo huwa hayazungumzwi hovyo. Najua unanijaribu na kunidodosa... Anyways!

Dunia hii uionavyo kwa nje sivyo ilivyo ndani... Kuna siri nyingi kubwakubwa na za kutisha ambazo siku ukizijua utaomba zako ukajipumzikie, na utaichukia. Ni kama nyumba, inaweza nje ikawa na maduka, vijiwe, pitapita za watu na shangwe za hapa na pale mpaka ukavutiwa na eneo hilo... Ingia ndani uone machozi na damu, migogoro na magomvi. Ndo ule msemo (kuta zinaficha mengi) ni kama huu ulimwengu tunaoishi.

Chakata akili yako.
 
Mkuu una ushaidi na hili!?
Una elimu gani?

Siongei kwa kukurupuka, nasoma sana na nina exposure! Nimesafiri na najuana na watu. Unadhani sisi ni kama nyinyi vijana wa 90 na 2000 kutwa instagram kutazama matako na habari za wasanii wenu wanaoishi maisha fake au YouTube kutazama nyimbo mpya, wenyewe mnaita vichupa 😂

Eti bwamdogo?! Anyways!... Mtafute na umsome mtu anaitwa "Marilyn Monroe"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…