Sio alikuwa nje ya ring?Shooter kauliwa na Secret Service!
Ila sijui aliwezaje kuvuka rings of protection maana ulinzi wa Trump uko tofauti kidogo na ulinzi wa marais wengine wa zamani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio alikuwa nje ya ring?Shooter kauliwa na Secret Service!
Ila sijui aliwezaje kuvuka rings of protection maana ulinzi wa Trump uko tofauti kidogo na ulinzi wa marais wengine wa zamani.
Nonsense.Ila uhusiano wake na Putin ni janga kwa Dunia Kama akiingia ikulu ya white house na juzi Putin kasema ana mpango wa kuanzisha WW 3 nadhani kakosa company so kwa hili la Trump tuombe Mungu Biden ashinde mengine tuwaachie Us wenyewe
Sawa CIA wa bonyokwaUkute zoezi limepangwa na Trump mwenyewe Ili kuleta attention kwa watu na huruma hiyo itumike kumchagua siasa ni utapeli.
Mkuu comment niliyo quote ilisema angetumia bunduki yenye uwezo mkubwa zaidi kwa maana kwamba atumie automated machine gun ambayo risasi zake zitaweza kupenya miili ya wale Secret Service waliokuwa wamemkinga Trump. Ndio maana nikasema sio rahisi hivyo kwa sababu gauss rifle kama aliyokuwa nayo yule shooter haina uwezo huo, lakini machine guns zenye uwezo ule kwa USA ni prohibited pia.Heavy guns (Rifles) ww unajua ni zipi..? Tuanzie hapo.. au umekariri RPG na madude mengine mnayoona ktk movie za Rambo 😅
Alitakiwa atoe taarifa ya nini kipo nyuma ya paziaBREAKING: ALLEGED SHOOTER IN TRUMP ASSASSINATION ATTEMPT DECEASED
The shooter who attempted to assassinate former Trump at a campaign rally in Pennsylvania today is reported to be deceased, according to law enforcement
Risasi ya iliyompata sikioni bila shaka ililenga kichwa
Katika vitu wabongo tunaviweza sana unafiki na kujipendekeza(uchawa)Binadamu ni mnafiki sana aseeh. Huyu Trump aliyewatukana wa Africa ikawa asilimia kubwa ya watu hawampendi na kumtolea maneno ya shombo kibao. Leo watu wanampenda na kumuombea arudi tena madarakani.
Waliokua nyuma ya Trump, Kuna mmoja kafariki na wawili wapo ICU inakuaje igizo. Angekufa ndio mngeamini ni risasi kweli?Hili tukio hili kama vile sina imani nalo, ht picha unaona kuna namna zimepigwa kimkakati.
Ila namkubali sana Trump
Kawatukana lini na wapi? Zile zilikua fake news za hizo western media. Leta hapa video from credible source yenye hayo matusi kwa "Africa".Binadamu ni mnafiki sana aseeh. Huyu Trump aliyewatukana wa Africa ikawa asilimia kubwa ya watu hawampendi na kumtolea maneno ya shombo kibao. Leo watu wanampenda na kumuombea arudi tena madarakani.
Vipi kwa wale watu watatu waliopigwa risasi na mmoja kufariki nao ilikua kioo? Utter crap
Ila akili za watu wengine bana!
Sasa ina maana hata Secret Service nao walihusuka katika igizo zima na hao waliokufa nao walikubali kufa kwenye hilo igizo?
Hizi social media zimeua kabisa akili za watu.
Kuna wengi sana wanaamini hivyo!Ukute zoezi limepangwa na Trump mwenyewe Ili kuleta attention kwa watu na huruma hiyo itumike kumchagua siasa ni utapeli.
Na sasa hv kuna taarifa zinatembea kuwa haikuwa risasi, ngoja tusubiri tuoneWaliokua nyuma ya Trump, Kuna mmoja kafariki na wawili wapo ICU inakuaje igizo. Angekufa ndio mngeamini ni risasi kweli?
Ndiyo hata aliyempiga risasi na kumuua Archduke Franz Ferdinand Carl Ludwig Joseph Maria wa Austria kupelekea vita ya pili ya Dunia alikuwa ni dogo wa miaka 18. Hakuna jipyaVijana mna shida
Yaani kijana wa miaka 20 ndio aliempiga risasi Trump
Walianza wao Sie tukageza wakatulia sasa wameanza tenaSiasa za Marekani sasa zinaanza kufuata njia za bara la Afrika.
Walitubeza kiasi cha kutosha, nao wanaingia kwenye aibu.
Hao waliokufa n akina nan hapo USA, tuanzie hapo.Vipi kwa wale watu watatu waliopigwa risasi na mmoja kufariki nao ilikua kioo? Utter crap