Marekani haamini macho yake: Mrusi anatumia missiles ambazo hazijulikani, zina uwezo wa ku-jam rada hivyo haziwezi kudunguliwa

Marekani haamini macho yake: Mrusi anatumia missiles ambazo hazijulikani, zina uwezo wa ku-jam rada hivyo haziwezi kudunguliwa

Am

Putin ameomba msaada China na North Korea. Wachina wapo njiapanda yaani sitaki nataka lakini Kim kamtolea nje kabisa eti hawezi kuingia vita vya kipuuzi
Story za vijiweni hizi..... Tunasimuliana kama biashara ya maandazi mtaani..... [emoji1787] Weka source...
 
Mkuu ujue sie pia tuna uwezo wa kufikiria,unatuonaje kutuletea hii gahawa siyokuwa na ladha hata kidogo🙂

===
Naona video nyingi zilizokuwa zinaonyesha silaha za Russia Youtube na google wameziblock!
 
Kuna ile drone iliyodondoka croatia na nyingine jana imedondoka nchi mwanachama wa nato....ni drone za zamani sana sema jamaa wanajiuliza zimepitaje anga la nato bila hata kushtukiwa hadi pale zilipoishiwa mafuta na kudondoka hakuna hata system ya usalama wa anga iliyoweza kuzi detect tokea zinaingia kwenye anga lao hadi zinadondoka na hawajui sasa kama ni drone za mrusi ama ni Ukraine maana ni drone za kipindi cha soviet kwa sasa zinamilikiwa na wote Ukraine na urusi
Radar hukamata urefu fulani kutokea ardhini
 
Hawa Pro Putin wameshakuwa waongo kupindukia hadi unasoma comment zao huku unacheka.Sijui wanadhani vita inapiganwa kwenye comment za JF?
Wana hasira kuwa hadi sasa hawajaweza matarajio yao
 

===
Naona video nyingi zilizokuwa zinaonyesha silaha za Russia Youtube na google wameziblock!
Wanabana taarifa za upande wa pili ili wawalishe watu matango pori yao
 
Radar hukamata urefu fulani kutokea ardhini
Radar zao zili detect ....kwahio haikua kwenye urefu ambao radar haziwezi ku detect ......shida walishindwa ku intercept hako ka drone utopolo..........sasa kama drone ya miaka ya 70 hivyo na speed yake hio wanashindwa ku intercept itakuaje yakianza madude ya hypersonic....si nato watakimbiana
Screenshot_20220315-194420_Samsung Internet.jpg
Screenshot_20220315-194456_Samsung Internet.jpg
Screenshot_20220315-194549_Samsung Internet.jpg
 
Kilichowashtua sana Marekani na NATO kwa ujumla ni kushambuliwa kwa mafanikio makubwa kambi ya kijeshi ya Ukraine iliyopo karibu kabisa na mpaka wa Poland.

Hii kambi ilikuwa imewekewa ulinzi wote wa anga maana ilikuwa inatumika kupokelea silaha zinazoingizwa Ukraine toka nchi za magharibi. Na kipindi husika kulikuwa na shehena kubwa ya silaha zikiwa tayari kusafirishwa ili zikatumike.

Kambi hiyo pia ilikuwa inatumika kama chuo cha mafunzo ya kijeshi kwa kutumia wakufunzi wa Nato namnà ya kutumia hizo silaha wanazopewa na NATO.

Siku moja kabla ya shambulizi hilo Urusi ilitoa onyo kuwa misafara ya kupeleka silaha Ukraine tangu Sasa ni "legitimate war target"!

Onyo hilo lilisababisha wakufunzi wa Nato waondoke kwenye kambi hiyo vinginevyo wengi wangeuawa!

Marekani hatimaye wamegundua siri ya jeuri ya Mrusi kuwa makombora (missiles) yake yamefungiwa kifaa maaluma ya kuzizima rada ili yasionekane na hivyo kukwepa kudunguliwa na anti- missile systems!
Bandiko lingine ambalo wamalekani wa tandale wanalipitia kimyakimya
 
Waukraine kwenye miji yao mbalimbali wameweka barricades (Vizuizi) vya kufa mtu kiasi kwamba kifaru kikikaribia lazima kisimame na hapo ndipo kinapokumbana na shambulizi la The US made Javelin anti tank missile na kuteketezwa kabisa.

Na wakisema waache vifaru waingie kwa miguu ndio kabisa wanaingia kwenye midomo ya mamba kwa kupokelewa kwa "Molotov Cocktails" zilizotapakaa kote nchini Ukraine.

Warussia wanapiga mahesabu yanagoma, watawakumbuka sana wale majenerali waliowashauri wasiende vitani.
Unafikili vifaru vinajiendea tu kama jongoo. Kuna jeshi la anga kazi yao ni kusafisha njia kwanza. Hao walioweka vizuizi waambie waombe dua yao ya mwisho kwani hakuna kitu kinachokwenda kumzuia Russia asifikie malengo yake
 
Mrusi ana hali mbaya sana! View attachment 2151196

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Hv vitaarifa vinavyotolewa na viakaunti vya kuonyesha urusi anapotea havina tofauti na kiakaunti cha awamu iliyopita kilichokuwa kinalengo maalum.....

Vita haichagui silaha..👣.....


Toka watengeneze picha mbaya dhidi taliban na leo n wema ......

Wamagharibi sio safi safi
 
Barricades ambazo ni wananchi? Kinachowalinda hadi sasa ni wanajeshi wa ukraine kutumia raia kama ngao zao ....isingekua hivyo wangeshafyekwa mapema kabisa
Steel barricades and not Human barricades and Russian invaders are becoming Increasingly frustrated that's why they're launching relentless attacks on the civilian infrastructure.
 
Radar zao zili detect ....kwahio haikua kwenye urefu ambao radar haziwezi ku detect ......shida walishindwa ku intercept hako ka drone utopolo..........sasa kama drone ya miaka ya 70 hivyo na speed yake hio wanashindwa ku intercept itakuaje yakianza madude ya hypersonic....si nato watakimbianaView attachment 2152019View attachment 2152020View attachment 2152021
Drone ya miaka ya sabini, Drone ya kwanza ilitengenezwa mwaka gani. Walevi wa maharage ni wengi sana humu.
 
Jeshi la Tanzania drones ni muhimu liwe nazo,vita kadhaa za hivi karibuni nimeona drones zilivyo na msaada mkubwa kwenye war scale.
Ukreine drones zimempa msaada sana.

Kwani zinauzwa shilingi ngapi hizi makitu maza avunje kibubu?
 
Back
Top Bottom