Marekani hatutakuwa na uwezo wa kumzuia Israel Tena iwapo Iran watashambulia

Marekani hatutakuwa na uwezo wa kumzuia Israel Tena iwapo Iran watashambulia

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Marekani imeionya Iran : “kwakweli hatutakuwa na uwezo wa kuwazuia Israel wasifanye maajabu dhidi ya Iran endapo Iran wakithubutu kulipiza kisasi, tunajua na tunaelewa nini Israel walikuwa wamepanga na haikuwa kazi rahisi kuwazuia wasifanye hivo, wakati huu hatutakuwa na uwezo si tu wa kuwazuia Israel bali hata kuwashauri itakuwa ngumu”
 
Marekani imeionya Iran : “kwakweli hatutakuwa na uwezo wa kuwazuia Israel wasifanye maajabu dhidi ya Iran endapo Iran wakithubutu kulipiza kisasi, tunajua na tunaelewa nini Israel walikuwa wamepanga na haikuwa kazi rahisi kuwazuia wasifanye hivo, wakati huu hatutakuwa na uwezo si tu wa kuwazuia Israel bali hata kuwashauri itakuwa ngumu”
Ayatollah kwisha habari yake
 
marekani ana mambo kweli, si aseme tu anaenda kupigana kwa cover ya israel. iran akijaribu atapigwa mbaya sana.
Kwasasa marekani inachofanya ni kuisaidia Israel na kujifanya haiisaidii ili sifa zote ziende kwa Israel.
Kamwe marekani na uingereza hawawezi kuiacha Israel idhalilike kinachonishangaza ni kwamba kwanini Iran hawalioni hilo
 
Kwasasa marekani inachofanya ni kuisaidia Israel na kujifanya haiisaidii ili sifa zote ziende kwa Israel.
Kamwe marekani na uingereza hawawezi kuiacha Israel idhalilike kinachonishangaza ni kwamba kwanini Iran hawalioni hilo
Hata Israel ikisaidiwa kwa Iran hii vita aliungiaje la siyo kuwasaidia wapalestina na Hamas?

Et we bwana kapu lanyege
 
Kwasasa marekani inachofanya ni kuisaidia Israel na kujifanya haiisaidii ili sifa zote ziende kwa Israel.
Kamwe marekani na uingereza hawawezi kuiacha Israel idhalilike kinachonishangaza ni kwamba kwanini Iran hawalioni hilo
Wanaliona mkuu na huwa wanalizungumza.
 
nyie ndo mnajua kuwa USA ndio anapigana au atapigana wkt Iran alishasema Makamanda wakuu wa jesh la marekani wapo Telaviv na ndio wanaendesha vita kwaniaba ya israel tena kitambo tu mwanzo mwanzo wa vita ya Gaza so Tunaposema Muairan amuogopi mmarekani sijui amuelewi au nyie ndio mnamuogopa mmerekani Iran kashachapa kambi za jeshl marekani kaitwa njoo kwenye vita na mm si wote umu mashaidi Tramp alikimbia vita. Iran kashafanya mengi kuiyatalisha Israel lkn wameufyata Wairan washawapigisha magoti na mikono juu wanajeshi wa marekani akuna nchi nyengine imewai fanya aya IRAN ndio anamtafuta uyo mmarekani lkn marekani akai kwenye mfumo anarukaruka IRAN anajua anapigana nanani ndio icho anakitaka akuna aja kuvaa koti la Israel inafanya waIsrael w mchamba wima leo matumbo joto mana muIran washamjua ni mtendaji mzuli ana maneno yeye ni kuchapa tu so sisi tunajua maumivi ya wapalestina ayaishi adi JOKAA KUUU life kwaiyo anavutwa aje kwani nyinyi amjui kinachoendelea marekani anaepigwa mtungo mchina mrusi muIran iyo Israel chambo tuuu someni vizuli picha. Anaetakiwa ni USA
 
Marekani imeionya Iran : “kwakweli hatutakuwa na uwezo wa kuwazuia Israel wasifanye maajabu dhidi ya Iran endapo Iran wakithubutu kulipiza kisasi, tunajua na tunaelewa nini Israel walikuwa wamepanga na haikuwa kazi rahisi kuwazuia wasifanye hivo, wakati huu hatutakuwa na uwezo si tu wa kuwazuia Israel bali hata kuwashauri itakuwa ngumu”
Wanafik hao, waseme wao hawatajizuia, game lao hilo wanawasukumia mashoga wenzao wa kizayuni wasiojiweza.

Mmerekani aingie yeye akapigane live, asikete unafik wake hapa.
 
Marekani imeionya Iran : “kwakweli hatutakuwa na uwezo wa kuwazuia Israel wasifanye maajabu dhidi ya Iran endapo Iran wakithubutu kulipiza kisasi, tunajua na tunaelewa nini Israel walikuwa wamepanga na haikuwa kazi rahisi kuwazuia wasifanye hivo, wakati huu hatutakuwa na uwezo si tu wa kuwazuia Israel bali hata kuwashauri itakuwa ngumu”
Hivi we kiongozi uliyeandika Uzi huu unafikiria Nini??

Yaani marekan iwazuie Israel kufanya mashambuliz Iran na wawaruhusu kuyafanya Gaza??

Iran sio kama hao wengine, yaan wale ni viburi wenzao na hawaelew Chcht kama unavofikiria ww
 
Marekani imeionya Iran : “kwakweli hatutakuwa na uwezo wa kuwazuia Israel wasifanye maajabu dhidi ya Iran endapo Iran wakithubutu kulipiza kisasi, tunajua na tunaelewa nini Israel walikuwa wamepanga na haikuwa kazi rahisi kuwazuia wasifanye hivo, wakati huu hatutakuwa na uwezo si tu wa kuwazuia Israel bali hata kuwashauri itakuwa ngumu”
Israel bila msaada wa Marekani haiwezi kuishambulia Iran.
 
Wanafik hao, waseme wao hawatajizuia, game lao hilo wanawasukumia mashoga wenzao wa kizayuni wasiojiweza.

Mmerekani aingie yeye akapigane live, asikete unafik wake hapa.
Screenshot_2024-10-24-21-30-27-414_org.mozilla.firefox~2.jpg
Screenshot_2024-10-23-14-48-25-101_com.google.android.googlequicksearchbox~2.jpg
Screenshot_2024-10-18-08-28-31-140_com.google.android.googlequicksearchbox~2.jpg
 
Marekani imeionya Iran : “kwakweli hatutakuwa na uwezo wa kuwazuia Israel wasifanye maajabu dhidi ya Iran endapo Iran wakithubutu kulipiza kisasi, tunajua na tunaelewa nini Israel walikuwa wamepanga na haikuwa kazi rahisi kuwazuia wasifanye hivo, wakati huu hatutakuwa na uwezo si tu wa kuwazuia Israel bali hata kuwashauri itakuwa ngumu”
Walisema hivyo pia kwa israel kabla hao ni wanafiki iran piga kazi ndio kidume wa dunia kwa hivi sasa!
 
Uyo USA Ndio anatafutwa aingie vitani rasmi nayeye aonje ladha ya vita mkiambiwa vita avina mwenyewe ndio huu wakati Marekan anatafutwa nayeye kashtuka kuwa anatafutwa Israel itachapwa nayeye atatoa macho tu kama mjusi.lkn aendi kwenye moto tupo apa. Machale yamemcheza kwasasa atapigania mdomo sio kivitendo
 
Back
Top Bottom