Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Waulize inakufa lini MKUU [emoji23][emoji23][emoji23]Arm sio US based, ni Uk base take
Mkuu siwezi kuandika gazeti, ciz sio mpenzi sana wa kuandika,
But trust me huawei haifi, time will judge
Kwan NOKIA ilikufa kwafigisu ?!Itakuwa kama techno au Nokia sio mda, figisu za trump hazijawahi kumwacha mtu salama
Fitna za kibiasharaFitna za kiutawala
Bonge la pointiHuku uwezo wa kununua vya marekani huna unatumia vya kichina halafu unaponda ama kweli bora ukose mali upate akili!! Wewe huna tu unalolijua china walichokifanya kila mmoja apate kitu kutokana na pesa yake sio kama teknolojia yao haina uwezo kama ulivyokaririshwa wewe na wamagharibi
China juuHUAWEI Haiwezi kufa kwasababu zakipuuzi kama hizi muache mkubwa aruke ruke tu soon ataachia...[emoji12][emoji14][emoji12]
US ilikua zamani kama kijitaifa kidogo tu kama IRAN anaweza kusurvive mbele yavikwazo vyake seuze UCHINA
Akubali tu kaishachelewa mfamaji[emoji12][emoji14][emoji12]
Dah kweli tunatofautiana uelewa na scenario nzima ya mkono mkubwa wa US sanctions.Hivi mkuu unasoma article na kuelewa yote, au unatoa kipengele cha kujustify hoja zako,
Kwenye article yako ya BBC hakuna sehem ARM imetokea, sababu ni pure UK based. Na hapo ishu ni zile amvaxo kwenye operations zao wanahusisha US take
ARM design kwa huawei haiusishi US take
So huandiki fact, but USA propaganda.Dah kweli tunatofautiana uelewa na scenario nzima ya mkono mkubwa wa US sanctions.
Trump and the US gov knows it all
So!?Trump and the US gov knows it all
Isizuilike kwa sababu gani? Ile inakufa. Ikipigwa vikwazo vipya imekwisha.Huawei haizuiliki ile,,
Mawakala wa mabeberu chadema wanashangilia Kama demu wa barMajizi MaCCM yameumia baada ya kuona Mabwana Zao MaChina yanatiwa mtu kati na USA
Kampuni nyingi tu zinalipana mirahaba. Mirahaba hiyo ni sehemu ndogo sana ya Huawei. Ukisoma hiyo habari Huawei imepokea mrahaba wa $1.4B huku imelipa $6B. Unaweza kuona tofauti.
Vikwazo vya US haviwezi kukabiliana nataifa shindani nalenye Ushawishi+Uchumu Imara kama UCHINA kiukweli Kama alishindwa na anashindwa kwa IRAN ataiweza UCHINAIsizuilike kwa sababu gani? Ile inakufa. Ikipigwa vikwazo vipya imekwisha.
Sababu huawei ni giant,ndo maana inasource nyingi za kutumia patent,,Kampuni nyingi tu zinalipana mirahaba. Mirahaba hiyo ni sehemu ndogo sana ya Huawei. Ukisoma hiyo habari Huawei imepokea mrahaba wa $1.4B huku imelipa $6B. Unaweza kuona tofauti.
HAHAA et reset button.....ila ni kweli mbele kuna kiza kwenye hizo nchi za magharibi na ni kama kila mtu kachanganyikiwa.USA wamechelewa, China haiwezi kudondoka wamejipanga vizuri hii ni vita ya kiuchumi, porojo tu na propaganda kwa sasa. Msimamo wa USA na sera zake zitaonekana baada ya uchaguzi wa November. Nchi za magharibi wameonyesha udhoofu hasa kutokana na haka kaugonjwa kadogo ka Corona ambako kameleta reset button. Huko tuendako ni giza totoro hakuna wa kumtunishia msuli mwenzake kwenye hayo mataifa makubwa.
Tulia wewe naona umeanza kulialia baada ya mabwana zako wachina kuguswa!Kuiondoa kwenye soko sio kazi ndogo panaitajika hasara kwa pande zote mbili tuombe uhai marekani wa leo sio wajana ana jaribu kurudisha umri nyumba kitu ambacho hakiwezekani!
Wewe mambo ya kitalaam unaleta siasa?!HUAWEI Haiwezi kufa kwasababu zakipuuzi kama hizi muache mkubwa aruke ruke tu soon ataachia...[emoji12][emoji14][emoji12]
US ilikua zamani kama kijitaifa kidogo tu kama IRAN anaweza kusurvive mbele yavikwazo vyake seuze UCHINA
Akubali tu kaishachelewa mfamaji[emoji12][emoji14][emoji12]
Mwezi uliopita huawei imeipiku samsung kama ndio no 1 largest smartphone maker in the world,ila unasahau kwamba huawei ana patent nyingi mno kwenye 5G tech na ndiye anayeongoza.Huawei ilikua inakuja vizuri sana kwa miaka 3 iliyopita. Ghafla bin vuu mwaka jana ikawekwa kwenye black list ya serikali ya Marekani ikaanza kupambana na vikwazo.
Sasa Huawei imeanza kupoteza hata ile miradi na mikataba iliyokua imepata ya kufunga mitambo ya 5G. Uingereza iliipa Huawei ila sasa imebadilisha msimamo, inategemewa hivyo hivyo kwa Hispania, na nchi kadhaa kubwa Ulaya kujiondoa kwenye mikataba na Huawei.
Uingereza inasema ni kwa sababu ya vikwazo vipya vinavyotegemewa kutangazwa September, Huawei haitakua na uwezo wowote wa hata kuzalisha vifaa vinavyohitajika sio kwa 5G wala kwa simu zake zote kwa sababu haitakua na uwezo wa kutengeneza chip yake ya Krin.
Sababu ni moja kubwa, teknolojia ya kisasa zaidi inayotumika kuzalisha vifaa vya 5G au chip za simu 90% ina mkono wa Marekani. Kwa sasa Huawei hupata baadhi ya teknolojia kwa kibali maalumu cha serikali ya Marekani. Inategemewa kuanzia September hali inaweza kua mbaya zaidi kwa Huawei.
Marekani imebadilisha tuhuma kwa Huawei kua ni tawi la jeshi la China hivyo itakabiliwa na vikwazo vyote vinavyohusu jeshi la China.
Why Huawei's days in the UK could be numbered