Marekani imedhamiria kuitoa Huawei sokoni, imeituhumu kuwa ni tawi la jeshi la China

Marekani imedhamiria kuitoa Huawei sokoni, imeituhumu kuwa ni tawi la jeshi la China

Arm sio US based, ni Uk base take
Mkuu siwezi kuandika gazeti, ciz sio mpenzi sana wa kuandika,
But trust me huawei haifi, time will judge
Waulize inakufa lini MKUU [emoji23][emoji23][emoji23]

Pengne tunataka tukanunua share[emoji4][emoji4][emoji4]
 
HUAWEI Haiwezi kufa kwasababu zakipuuzi kama hizi muache mkubwa aruke ruke tu soon ataachia...[emoji12][emoji14][emoji12]

US ilikua zamani kama kijitaifa kidogo tu kama IRAN anaweza kusurvive mbele yavikwazo vyake seuze UCHINA


Akubali tu kaishachelewa mfamaji[emoji12][emoji14][emoji12]
China juu
 
Hivi mkuu unasoma article na kuelewa yote, au unatoa kipengele cha kujustify hoja zako,
Kwenye article yako ya BBC hakuna sehem ARM imetokea, sababu ni pure UK based. Na hapo ishu ni zile amvaxo kwenye operations zao wanahusisha US take
ARM design kwa huawei haiusishi US take
Dah kweli tunatofautiana uelewa na scenario nzima ya mkono mkubwa wa US sanctions.
 
Dah kweli tunatofautiana uelewa na scenario nzima ya mkono mkubwa wa US sanctions.
So huandiki fact, but USA propaganda.
Dah nimetumia kunguvu na resources zangu, nikitegemea tuka kwenye fact na reality, kumbe mwenzangu ni propagandist.
Huo mkono mkubwa mbona haukuwazui wachina kurusha satellite, na waliapa kupitia defense minister wa US wakati huo ikitokea wachina wakarusha, wataitungua?
 
Isizuilike kwa sababu gani? Ile inakufa. Ikipigwa vikwazo vipya imekwisha.
Vikwazo vya US haviwezi kukabiliana nataifa shindani nalenye Ushawishi+Uchumu Imara kama UCHINA kiukweli Kama alishindwa na anashindwa kwa IRAN ataiweza UCHINA

Kuhusiana navikwazo vya HUAWEI vinakaribia mwaka wapili huu ama watatu(niko tayri kusahishishwa)

US ukifuatilia vikwazo vyake vimekua failled kwamataifa makubwa ambayo yanajitambua angalia VENEZUELA tu hapo kashachemka MKUBWA(US) angalia IRAN jamaa anapelekeshwa navikwazo ila mpaka leo anadunda US kachemka ataiweza UCHINA!?

tumuombeni MUNGU atupe uzima tuishuhudie mwisho wahii vita tumjue mshindi na Mshindwa japo siioni HUAWEI akianguka kwasasa wala baadae kwasababu yahivi vikwazo

Sasa hivi mataifa Mengi yanakiuka tu vikwazo vya US kwambaali kabakia na CANADA na EU ila mataifa ambayo yanamaslahi mapana na yana rasilimali watu wakutosha wanapuuza tu vikwazo vya US refer KOREA INDIA UCHINA TURKEY kuhusiana navikwazo vya IRAN hili la HUAWEI ashukuru sababu kuna walau kaushindani na SAMSUNG na EPO lasivyo ingekula kwake fasta AFRIKA ndio kabisaaa wamewaona US wababishaji hasa watawala wanao aminika kwamba nimadikteita
 
Kampuni nyingi tu zinalipana mirahaba. Mirahaba hiyo ni sehemu ndogo sana ya Huawei. Ukisoma hiyo habari Huawei imepokea mrahaba wa $1.4B huku imelipa $6B. Unaweza kuona tofauti.
Sababu huawei ni giant,ndo maana inasource nyingi za kutumia patent,,
Lakini kwa G5 technology,kampuni nyingi za marekani zinategemea tech ya huawei.
 
USA wamechelewa, China haiwezi kudondoka wamejipanga vizuri hii ni vita ya kiuchumi, porojo tu na propaganda kwa sasa. Msimamo wa USA na sera zake zitaonekana baada ya uchaguzi wa November. Nchi za magharibi wameonyesha udhoofu hasa kutokana na haka kaugonjwa kadogo ka Corona ambako kameleta reset button. Huko tuendako ni giza totoro hakuna wa kumtunishia msuli mwenzake kwenye hayo mataifa makubwa.
HAHAA et reset button.....ila ni kweli mbele kuna kiza kwenye hizo nchi za magharibi na ni kama kila mtu kachanganyikiwa.
 
HUAWEI Haiwezi kufa kwasababu zakipuuzi kama hizi muache mkubwa aruke ruke tu soon ataachia...[emoji12][emoji14][emoji12]

US ilikua zamani kama kijitaifa kidogo tu kama IRAN anaweza kusurvive mbele yavikwazo vyake seuze UCHINA


Akubali tu kaishachelewa mfamaji[emoji12][emoji14][emoji12]
Wewe mambo ya kitalaam unaleta siasa?!
 
Huawei ilikua inakuja vizuri sana kwa miaka 3 iliyopita. Ghafla bin vuu mwaka jana ikawekwa kwenye black list ya serikali ya Marekani ikaanza kupambana na vikwazo.

Sasa Huawei imeanza kupoteza hata ile miradi na mikataba iliyokua imepata ya kufunga mitambo ya 5G. Uingereza iliipa Huawei ila sasa imebadilisha msimamo, inategemewa hivyo hivyo kwa Hispania, na nchi kadhaa kubwa Ulaya kujiondoa kwenye mikataba na Huawei.

Uingereza inasema ni kwa sababu ya vikwazo vipya vinavyotegemewa kutangazwa September, Huawei haitakua na uwezo wowote wa hata kuzalisha vifaa vinavyohitajika sio kwa 5G wala kwa simu zake zote kwa sababu haitakua na uwezo wa kutengeneza chip yake ya Krin.

Sababu ni moja kubwa, teknolojia ya kisasa zaidi inayotumika kuzalisha vifaa vya 5G au chip za simu 90% ina mkono wa Marekani. Kwa sasa Huawei hupata baadhi ya teknolojia kwa kibali maalumu cha serikali ya Marekani. Inategemewa kuanzia September hali inaweza kua mbaya zaidi kwa Huawei.

Marekani imebadilisha tuhuma kwa Huawei kua ni tawi la jeshi la China hivyo itakabiliwa na vikwazo vyote vinavyohusu jeshi la China.

Why Huawei's days in the UK could be numbered
Mwezi uliopita huawei imeipiku samsung kama ndio no 1 largest smartphone maker in the world,ila unasahau kwamba huawei ana patent nyingi mno kwenye 5G tech na ndiye anayeongoza.
 
Back
Top Bottom