Marekani imesema inaitambua rasmi Kenya kama Mshirika wake wa karibu Kiusalama ambae sio mwanachama wa NATO

Marekani imesema inaitambua rasmi Kenya kama Mshirika wake wa karibu Kiusalama ambae sio mwanachama wa NATO

Utapata kimaendeleo wakati wakenya wanalia na hali mbaya kiuchumi.wakulima wa miwa west kenya wanalalamika kuongezewa ushuru kwa kila lori linalochukuwa miwa kwa wakulima kwenda viwandani?
Acha ushamba Wenzetu sh 100 unakunywa chai asubuhi na chakula cha Mchana.
Tz asubuhi na mchana unatumia 6000 Kwa chakula hicho hicho Huoni tofauti?
 
Kwahiyo unawaonea Kenya wivu ulitamani Tanzania ndio iitwe na marekani ikapewe "Uchawa " wa Afrika mashariki?
Si wivu. Ni kupewa kuwa kiranja wa kanda
Kwa maslahi ya Marekani. Kuchukua Tahadhari Ni Lazima
Sasa Kenya tumuonee vivu gani...wananchi wa Tanzania Wana maisha Bora Sana Kuliko Kenya. Wanaoenjoy Kenya ni matajiri Tu
Masikini wako Jehanam
 
Acha uongo DFP ni mashirika yasiyo ya kiserikali inaweza kuwa EU , Finland, Sweden, German , Britain nk. hawa ndio donors wakubwa hapa Tanzania
Stop lying. Kenya is headquarter for Ambassadors worldwide. I traveled for visa in Nairobi. Huo mtaa unaitwa Runda Road ni Balozi tu
 
Marekani imesema inaitambua rasmi Kenya kama Mshirika wake wa karibu Kiusalama ambae sio mwanachama wa NATO Ili kukabiliana na Ushawishi wa Russia na China Barani Afrika na hususani Afrika Mashariki.

Kenya anatengenezwa kuwa kibaraka wa West Ili kuiba Mali za Congo na eneo Zima la Afrika Kusini mwa jangwa la Sahara.

thecitizentz

US President Joe Biden is expected to designate Kenya as a major non-North Atlantic Treaty Organisation (Nato) ally during a three-day state visit by Kenyan President William Ruto this week, a source familiar with the plans said.

Kenya would be the first Sub-Saharan African country to receive the designation, reflecting Washington's drive to upgrade its relations with Nairobi at a time of growing Russian and Chinese influence in Africa.

The two leaders will meet in the Oval Office on Thursday, followed by a joint news conference and a state dinner.

Senior administration officials said Biden and Ruto would discuss a range of issues from trade to debt relief and the way forward for Haiti, Ukraine, Sudan, and other areas during their meeting.
View attachment 2997412
My Take
Tusikubali Kenya kuwa na Nguvu kubwa za Kijeshi sebuleni kwetu.Tufanye kama Russia anavyomfanyia Ukraine.

Huu ushirika ni kitisho Cha moja Kwa Moja Cha usalama na maslahi ya Tanzania
Awe kibaraka, au, LA, ni Bora ujenge ushirikiano na wa kubwa kuliko huu U K....., unaofanywa na CCM,
Nchi zote za Afrika, ukiacha SA, ni vibaraka wa, West, wanschokitaka, utakifanya tu, sasa ni wewe tu utafanya ukiwa sham bani l 'field bigger"au, ndani ya mjengo "house bigger"
Pesa, zao, tunapokea, kupitia miradi ya USAID, UN nk, tuache unafiki,katika Afrika, Ruto/Kenya, US wameona ndio Akili kubwa, Uganda yupo fala mmoja anazeekea ikulu, TZ, ni mwendo wa, mipasho, taarab, mabango, hakuna hata sound byte ya, maana kutoka kwa huyu mama wa zenj,kama chama cha siasa tu cha upinzani kinamjambisha mishuzi, siasa, za, dunia hataweza vipi!? Na let be honest aalikwe white house aongee rugha gani! Wakati kizungu hqkipandi!
 
Hakuna kitu Kingine chochote Cha maendeleo zaidi ya porojo za kipumbavu
Eti wamepewa bilioni 500 za kupambana na rushwa. Aisee hivi waafrika tutakua lini na akili? Nikweli hatujui njia za kupambana na rushwa mpaka upewe msaada wa bilioni 500 yenye masharti ya kupambana na rushwa? Hii misaada ni ya kuwafanya wakenya waendelee kuwa tegemezi, masikini na ombaomba maisha yao yote hawatasimama kwa miguu yao.
 
Si wivu. Ni kupewa kuwa kiranja wa kanda
Kwa maslahi ya Marekani. Kuchukua Tahadhari Ni Lazima
Sasa Kenya tumuonee vivu gani...wananchi wa Tanzania Wana maisha Bora Sana Kuliko Kenya. Wanaoenjoy Kenya ni matajiri Tu
Masikini wako Jehanam
Sasa si ndio kupewa "uchawa" wa marekani . Wewe kwakili yako Kenya atatumbia nini sisi na hicho cheo kipya anachopewa na marekani?
 
Eti wamepewa bilioni 500 za kupambana na rushwa. Aisee hivi waafrika tutakua lini na akili? Nikweli hatujui njia za kupambana na rushwa mpaka upewe msaada wa bilioni 500 yenye masharti ya kupambana na rushwa? Hii misaada ni ya kuwafanya wakenya waendelee kuwa tegemezi, masikini na ombaomba maisha yao yote hawatasimama kwa miguu yao.
Zenyewe zitageuzwa kuwa Rushwa
 
Jamaa anacheza karata vizuri,Mama haliwezi Hilo hata kidogo,Kenya atapokea msaada wa kijeshi na vifaa na kuwa imara Afrika mashariki.Hii itamsaidia kupigana na wasomali na Uganda.

Uganda now ni Tishio La usalama Afrika mashariki wakati Mseven akimuandaa mwanae kutwaa madaraka.
Amecheza yeye au watendaji wao Ujasusi wa uchumi


Tulishakuwa na balozi akina masilingi. ,nilimwangalia akibishana na lisu nikajisemea huyu ndobalozi kweli huko America anasimamia wezake!
 
Marekani imesema inaitambua rasmi Kenya kama Mshirika wake wa karibu Kiusalama ambae sio mwanachama wa NATO Ili kukabiliana na Ushawishi wa Russia na China Barani Afrika na hususani Afrika Mashariki.

Kenya anatengenezwa kuwa kibaraka wa West Ili kuiba Mali za Congo na eneo Zima la Afrika Kusini mwa jangwa la Sahara.

thecitizentz

US President Joe Biden is expected to designate Kenya as a major non-North Atlantic Treaty Organisation (Nato) ally during a three-day state visit by Kenyan President William Ruto this week, a source familiar with the plans said.

Kenya would be the first Sub-Saharan African country to receive the designation, reflecting Washington's drive to upgrade its relations with Nairobi at a time of growing Russian and Chinese influence in Africa.

The two leaders will meet in the Oval Office on Thursday, followed by a joint news conference and a state dinner.

Senior administration officials said Biden and Ruto would discuss a range of issues from trade to debt relief and the way forward for Haiti, Ukraine, Sudan, and other areas during their meeting.
View attachment 2997412
My Take
Tusikubali Kenya kuwa na Nguvu kubwa za Kijeshi sebuleni kwetu.Tufanye kama Russia anavyomfanyia Ukraine.

Huu ushirika ni kitisho Cha moja Kwa Moja Cha usalama na maslahi ya Tanzania

Chawavariable 🤣
 
Wewe toa ushamba wako.Pamoja na USA kuwaeleza Kenya kwamba wao ndio washirika Wakuu wa USA kwenye usalama lakini linapokuja Suala la Mshirika wa Maendeleo wa USA ni Tanzania.

Tanzania ni muhimu zaidi Kwa USA kuliko huyo Kenya.

Nimejaribu kufuatilia nini Kesha wamepata kutokana na ziara hii ya Ruto nimekuota yafuatayo.

Msaada wa kipesa kwenye sekta za porojo yaani sekta za Huduma za jamii ni kama ifuatavyo;

1. Kshs.10.454bln(Approximately 199Tzs bln)
2.Msaada wa kujengewa Airfield ya Manda Bay-Lamu na kuwa uwanja mkubwa wa ndege (urefu futi 10,000)
3.Msaada wa kutoa mafunzo ya Kijeshi kwenye Vyuo vyao
4.Msaada wa kupatiwa helikopta 8 za Kijeshi
5.Kenya kununua Magari 150(Armoured Vehicles)-Hapa lazima wapigwe Cha Juu.
6.Kenya kuanzisha program ya ukimwi/HIV na malaria kama ambavyo Tanzania inayo ,hapa Kuna Bilioni 900 za Kenya

View: https://twitter.com/Kenyans/status/1793638801241464855?t=ZPctOIx0aChdrvPagjEl3Q&s=19

7.Mkataba wa Ujenzi wa Barabara njia 4-6 kutoka Nairobi-Mombasa ,Trilioni 9.(Huu ndio mradi wa maana ambao nao ni Mkopo)

View: https://twitter.com/BloombergAfrica/status/1793574750469382173?t=DauL1_tAZzXmV7-mc5l8rw&s=19

Wakati Kwa Tanzania Samia alipata mualiko na VP Kamala na pia Kamala akaja Tanzania.

-Tulirejeshwa kwenye mradi wa MCC ambapo Kuna Dola mil.400 za Tanznaia hiyo ni Trilioni 1.
-Marekani itajengwa kiwanda Cha Betri Kahama ,hakuna kuuza Madini yetu kienyeji zaidi ya Bilioni 400
-Miradi mingine ya Maendeleo Kupitia USA Aid Iko kedekede ikiwepo Power Africa,feed the future nk.

Lakini ikumbukwe kabla ya Magufuli kuvurunda,Tanzania ndio Nchi ilikuwa inapata pesa nyingi Kupitia MCCl Kila mwaka kutoka USA kushinda Nchi zote za Afrika.

Pia Tanznaia ndio Nchi ambayo Marekani imetumipa pesa nyingi zaidi kwenye sekta ya Afya kushinda Nchi yoyote ya Afrika via Global Fund,Pepfar ,Maleria na Ukimwi nk

Mwisho kwenye Jeshi pia tuna ushirika ambao sio wazi na juzi tuu hapo walitia magari ya Msaada.

Ukweli ni kwamba Marekani inatumia Sana Tanznaia kutegemea Russia na China badala yake.

Asingekuwa Magufuli siasa za JK ziliegemea Marekani zaidi ndio maana viongozi wote wa Marekani wamewahi tembelea Tanzania except huyu Biden nae alimtuma VP Kamala.

USA anajitahidi kadiri awezavyo kuivuta Tanzania upande wake Marekani yaitahadharisha Tanzania juu ya Uchelewashwaji mradi wa LNG, Wawekezaji mbioni kujitoa

tumerejeshewa ,kwann turejeshewe na tulishapewa

Twambie kwann kwani tulipokuwa tumepewa kwann walichukuwa ndomana wameona Kenya ikosawa
 
tumerejeshewa ,kwann turejeshewe na tulishapewa

Twambie kwann kwani tulipokuwa tumepewa kwann walichukuwa ndomana wameona Kenya ikosawa
Tuwaulize nyie mashabiki wa Mwendazake na Chadomo,Kwa nini mliondolewa awamu ya 5?
 
Tuwaulize nyie mashabiki wa Mwendazake na Chadomo,Kwa nini mliondolewa awamu ya 5?
Mimi nina namba ya utambulisho wa uraia ,kwamana utanzania, vyama sitovichekea wala serikali ,ila rafiki yangu ni mama Tanzania, nikiona serikali inam-baganza mama Tanzania sitakubali
 
Back
Top Bottom