hao ni nyongeza tu, wengine wapo kitambo tu4k wachache
Wamarekani unaowaongelea hapa ni waingereza, uingereza Kuna mji wa York,walipofika marekani wakakumbuka kwao na kuipa jina la new York,Kuna miji mingi ya hivi marekani,so kuhusianisha USA na ufaransa na kuitoa uingereza ni blah blah tu za ubishaniFact.
Misingi ya USA ilianzia kwa Wafaransa wa Paris. Unaweza kusema kama sio Mfaransa kumdhoofisha Muingereza basi Mmarekani asingepata Uhuru in mid 1770's
Labda angekuja kupata uhuru miaka tuliopata sisi Waafrika na India tena kwa jasho na damu
Muda gani wewe Muirani wa Kapalamsenga?Kwani hakuwahi kurusha kabla ?
Iran atarusha na israhell hatafanya lolote
Muda utaamua
Naona unatafuta faraja kwa mateka baada ya chui wenu wa karatasi kuwatia aibu kubwa kwa kila mara kugongewa kwake.Israhell imepigana namataifa yote ya kiarabu kwa siku sita ila mwaka sasa wanashindwa kupoa mateka
Naona mungu wao kaacha kuwalinda kawaajiri wamarekani wamlinde
Israhell yakwenye media inamaguvu sana kuliko hii ya asili
Shika Bomu nenda Israel,halafu siku hizi waarabu washajitambua ule upuuzi wa kujitoa muhanga kwa ajili ya upuuzi wa dini hakuna tena. Sasa hivi kama nyie ni Hamas nendeni fronts mwenyewe na sio kuvalisha wanyonge mabomu halafu nyie mpo Qatar mnakula bata.Israhell haielewi meza yamazungumzo daima dawamu mpaka ipigwe
Njia pekee yakudeal na wazayuni wavamizi ni bakora tuuu
Watuoneshe na majeneza yao watakavyoondoka.Muda huu Marekani imetuma Wanajeshi 4,000 nchini Israel
BREAKING: The U.S. has sent 12 warships, including the USS Theodore Roosevelt, with over 4,000 Marines and sailors to the Middle East!
A senior Pentagon official confirms.
Ule muda wa kilio cha wanaua watoto na wanawake umefika 😎
Hujaeleweka, hakuna namna ya kuitoa Uingereza kwasababu ndiyo iliyoitawala USA, na wala sio mji mmoja tu uliotokana na UingerezaWamarekani unaowaongelea hapa ni waingereza, uingereza Kuna mji wa York,walipofika marekani wakakumbuka kwao na kuipa jina la new York,Kuna miji mingi ya hivi marekani,so kuhusianisha USA na ufaransa na kuitoa uingereza ni blah blah tu za ubishani
Native Americans walikuja kujiunga na Waingereza miaka ya 1800 kulinda utamaduni wao na nature ya maisha yao kwasababu wao hawakutaka changesnative americans wakaja kuwekewa zengwe miaka ipi mkuu?
Hata wapiga ramli waarabu bila kuunhana na Iran, Lebanon, Syria, Jordan, Yemen, etc etc ni wepesi sana kila mtu ana haki ya kuwa na mshirika ktk vita. Kinachowafanya waarabu kujiona wana nguvu ni Israel kufuata sheria za vita otherwise, wangetumia style ya Mrusi au ya magaidi waarabu wangefutika duniani.Bila Marekani myahudi ni mwepesi sana
Utaskia, Israeli wamelipua kituo cha watoto yatima 😂Ni muda wa kupata breaking news za kiboya aljazeera
Myahudi anaongoza system za dunia
Skiliza ww bwana utamu mgawa uroda wa magaidi, kuna zaidi ya nchi sita za kigaidi hapo Mashariki ya Kati wanaopambana na mwanaume Israel lkn bado hamjawahi kumshinda labla vikombora vyenu kugusa maeneo kadhaa tuu, ila Israel yeye akifanya jambo lake n lazima mpaka aljazeera wenyewe wanasema kweli hiki kipigo kimeingia vzr ila hatutangazi.Israhell imepigana namataifa yote ya kiarabu kwa siku sita ila mwaka sasa wanashindwa kupoa mateka
Naona mungu wao kaacha kuwalinda kawaajiri wamarekani wamlinde
Israhell yakwenye media inamaguvu sana kuliko hii ya asili
Kwahiyo kaongeza idadi ya marehemuhao ni nyongeza tu, wengine wapo kitambo tu
Kichaa akipewa Rungu hakuna anaye Katiza Anagonga tuuHao ndo wanampa Kiburi Yahudi kuwa kama kichaa mwenye rungu pale.
Pole sana kwa kufiwa vipi mnazika lini?Aaaagh wapi.
Hao wanajeshi buku nne sawa na bei ya kunywea supu ya kuku hawatatisha lolote.
Ile dozi ya makombora 300 itaongezeka,pia kule kaskazini Galilaya Wazayuni hamisheni hadi kuku na bata maana Hizbollah ikishaanua matanga ya msiba kazi mnayo.
Marekani haiwezi tena kubadili hali ya mashariki ya kati.Ina silaha za maangamizi lakini haina wanajeshi makini kupambana na wanamgambo wa mashariki ya kati na hawatoitawala nchi yoyote tena hapo na hawataweza tena kuilinda Israel.Muda huu Marekani imetuma Wanajeshi 4,000 nchini Israel
BREAKING: The U.S. has sent 12 warships, including the USS Theodore Roosevelt, with over 4,000 Marines and sailors to the Middle East!
A senior Pentagon official confirms.
Hao wamarekani ni waingerezaHujaeleweka, hakuna namna ya kuitoa Uingereza kwasababu ndiyo iliyoitawala USA, na wala sio mji mmoja tu uliotokana na Uingereza
Point yangu ni kuwa walioisaidia USA kupata Uhuru kwa mapinduzi ni France kwasababu France walikuwa mahasimu wa kimaslah na Uingereza