Marekani imetwanga maji kwenye kinu: Silaha walizopenyeza Ukraine hivi karibuni zimeteketezwa

Marekani imetwanga maji kwenye kinu: Silaha walizopenyeza Ukraine hivi karibuni zimeteketezwa

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Marekani hoi! Silaha walizojinadi kupeleka Ukraine hivi karibuni na kuzificha kwenye ghala LA silaha lililojengwa kwenye kambi ya jeshi, ghala lililochimbiwa chini (underground), zimeteketezwa zote hata kabla hazijaanza kusambazwa kwa walengwa!!

Iko hivi: Urusi kwa kutumia silaha Kali iitwayo Hypersonic glide missiles, silaha iendayo kasi Mara kumi kuliko kasi ya sauti! Inayoweza kupenya ulinzi wa aina yoyote wa anga, imeshambulia ghala kubwa la maficho ya silaha lililochimbiwa chini sana ya ardhi na kuziharibu kabisa!!

Hiyo ndiyo ya Rais Zelensky kuja na ombi LA kutaka mazungumzo ya amani ya haraka sana na Urusi!! Alivimbishwa kichwa Sasa naona akili imeanza kurudi! Hiyo ndiyo Urusi!! Ukimwona Biden anagoma kujaribu kuweka no fly zone huko Ukraine mweleweni!!
 
Marekani hoi! Silaha walizojinadi kupeleka Ukraine hivi karibuni na kuzificha kwenye ghala LA silaha lililojengwa kwenye kambi ya jeshi, ghala lililochimbiwa chini (underground), zimeteketezwa zote hats kabla hazijaanza kusambazwa kwa walengwa!!
Iko hivi: Urusi kwa kutumia silaha Kali iitwayo Hypersonic glide missiles, silaha iendayo kasi Mara kumi kuliko kasi ya sauti! inayoweza kupenya ulinzi wa aina yoyote wa anga, imeshambulia ghala kubwa la maficho ya silaha lililochimbiwa chini sana ya ardhi na kuziharibu kabisa!! Hiyo ndiyo ya Rais Zelensky kuja na ombi LA kutaka mazungumzo ya amani ya haraka sana na urusi!! Alivimbishwa kichwa Sasa naona akili imeanza kurudi! Hiyo ndiyo Urusi!! Ukimwona Biden anagoma kujaribu kuweka no fly zone huko Ukraine mweleweni!!
Hii sasa fix
 
Ingia
Hii sasa fix
Tovuti ya BBC uitafute habari hii, ila nimekunyofolea hapo kipande kidogo!!

Russia's military has fired a hypersonic ballistic missile and destroyed a big underground arms depot in western Ukraine, the defence ministry in Moscow has said.
Hii habari IPO kina zaidi aljazeera!
 
Marekani hoi! Silaha walizojinadi kupeleka Ukraine hivi karibuni na kuzificha kwenye ghala LA silaha lililojengwa kwenye kambi ya jeshi, ghala lililochimbiwa chini (underground), zimeteketezwa zote hats kabla hazijaanza kusambazwa kwa walengwa!!
Iko hivi: Urusi kwa kutumia silaha Kali iitwayo Hypersonic glide missiles, silaha iendayo kasi Mara kumi kuliko kasi ya sauti! inayoweza kupenya ulinzi wa aina yoyote wa anga, imeshambulia ghala kubwa la maficho ya silaha lililochimbiwa chini sana ya ardhi na kuziharibu kabisa!! Hiyo ndiyo ya Rais Zelensky kuja na ombi LA kutaka mazungumzo ya amani ya haraka sana na urusi!! Alivimbishwa kichwa Sasa naona akili imeanza kurudi! Hiyo ndiyo Urusi!! Ukimwona Biden anagoma kujaribu kuweka no fly zone huko Ukraine mweleweni!!

Source ni wewe mwenyewe mkuu?
 
Marekani hoi! Silaha walizojinadi kupeleka Ukraine hivi karibuni na kuzificha kwenye ghala LA silaha lililojengwa kwenye kambi ya jeshi, ghala lililochimbiwa chini (underground), zimeteketezwa zote hats kabla hazijaanza kusambazwa kwa walengwa!!
Iko hivi: Urusi kwa kutumia silaha Kali iitwayo Hypersonic glide missiles, silaha iendayo kasi Mara kumi kuliko kasi ya sauti! inayoweza kupenya ulinzi wa aina yoyote wa anga, imeshambulia ghala kubwa la maficho ya silaha lililochimbiwa chini sana ya ardhi na kuziharibu kabisa!! Hiyo ndiyo ya Rais Zelensky kuja na ombi LA kutaka mazungumzo ya amani ya haraka sana na urusi!! Alivimbishwa kichwa Sasa naona akili imeanza kurudi! Hiyo ndiyo Urusi!! Ukimwona Biden anagoma kujaribu kuweka no fly zone huko Ukraine mweleweni!!
Kazi iendelee.
 
😝😝😝😝
Hivi kupata vichekesho Kama hivi hua mnabonyeza ngapi ?
Haya mvivu was kutafuta habari nikusaidie, ila inabidi uijue lugha ya malkia, hii nakupa in nukuu toka aljazeera! Unaweza kuingia mwenyewe BBC na utaikuta habari hii!

Russia: Hypersonic missiles used in Ukraine​

Russia has used its newest Kinzhal hypersonic missiles for the first time in Ukraine on Friday to destroy a weapons storage site in the country’s west, the defence ministry said.

Moscow has never before admitted using the high-precision weapon in combat, and state news agency RIA Novosti said it was the first use of the Kinzhal hypersonic weapons during the conflict in Ukraine.

“The Kinzhal aviation missile system with hypersonic aeroballistic missiles destroyed a large underground warehouse containing missiles and aviation ammunition in the village of Deliatyn in the Ivano-Frankivsk region”, the Russian defence ministry said.

Baada ya muziki huu Zelensky alianza kulilia mazungumzo SASA bila kuchelewa ya amani na urusi!! Kwa Sasa halilii tena silaha za magharibi Bali anamlilia Putin akubali mazungumzo naye!!
Putin Jana alihutubia walihutubia wananchi wake malengo yote lazimayafikiwe! 1. Ukraine itangaze kutojiuga na NATO milele, na iliweke hill katiba yake. Ikubali kuwa neutral na isiruhusu nchi yoyote kuweka kambi yake nchini ukraine. 2.
Ikubali kuwelewa mipaka juu ya aina ya silaha inayoruhusiwa nayo 3. Iitambue Cremea ni sehemuya Urusi. 4. Iyatambue rasmi yaliyojtenga kuwa ni mataifa huru.
Kusema ukweli hayo ni masharti magumu sana! Inabidi MTU apigwe sana ndiyo ayakubali!! maana sana!
 
Back
Top Bottom