Marekani imetwanga maji kwenye kinu: Silaha walizopenyeza Ukraine hivi karibuni zimeteketezwa

Marekani imetwanga maji kwenye kinu: Silaha walizopenyeza Ukraine hivi karibuni zimeteketezwa

Use of hypersonic weapons warning to NATO: Correspondent​

Al Jazeera’s Dorsa Jabbari reporting from Moscow said the use hypersonic weapons by Russia was “significant” and a warning to NATO countries.

“This is yet another very significant and dangerous reminder that this country is willing to use whatever it has militarily to achieve its goals there in Ukraine.”
 
Hakuna ndege wewe Russia wanatumia tu makombora ya masafa marefu ya hypersonic sonic missiles anga la Ukraine hawataki kutumia ndege mmarekani na majeshi ya NATO wamemwambia hatufungi anga liko wazi Rusha ndege zako za kivita tukuonyeshe cha mtema kuni kabaki ohh mimi narusha makombora ya masafa marefu ya hypersonic missiles propaganda kibao arushe ndege za kivita kama yeye kidume kweli kwenye anga la Ukraine.
Wanaume wamemwambia anga liko wazi rusha
Duh hii habari umeipatia wapi mkuu
 
Marekani hoi! Silaha walizojinadi kupeleka Ukraine hivi karibuni na kuzificha kwenye ghala LA silaha lililojengwa kwenye kambi ya jeshi, ghala lililochimbiwa chini (underground), zimeteketezwa zote hats kabla hazijaanza kusambazwa kwa walengwa!!
Iko hivi: Urusi kwa kutumia silaha Kali iitwayo Hypersonic glide missiles, silaha iendayo kasi Mara kumi kuliko kasi ya sauti! inayoweza kupenya ulinzi wa aina yoyote wa anga, imeshambulia ghala kubwa la maficho ya silaha lililochimbiwa chini sana ya ardhi na kuziharibu kabisa!! Hiyo ndiyo ya Rais Zelensky kuja na ombi LA kutaka mazungumzo ya amani ya haraka sana na urusi!! Alivimbishwa kichwa Sasa naona akili imeanza kurudi! Hiyo ndiyo Urusi!! Ukimwona Biden anagoma kujaribu kuweka no fly zone huko Ukraine mweleweni!!

Kwamba wamarekani na intelligence yoote walionao hawakuona, na uzoefu woote walionao hakuna, wakavundike silaha zoote kwenye handaki moja punguza wanzuki mkuu ni hatare saana
 
Haya mvivu was kutafuta habari nikusaidie, ila inabidi uijue lugha ya malkia, hii nakupa in nukuu toka aljazeera! Unaweza kuingia mwenyewe BBC na utaikuta habari hii!

Russia: Hypersonic missiles used in Ukraine​

Russia has used its newest Kinzhal hypersonic missiles for the first time in Ukraine on Friday to destroy a weapons storage site in the country’s west, the defence ministry said.

Moscow has never before admitted using the high-precision weapon in combat, and state news agency RIA Novosti said it was the first use of the Kinzhal hypersonic weapons during the conflict in Ukraine.

“The Kinzhal aviation missile system with hypersonic aeroballistic missiles destroyed a large underground warehouse containing missiles and aviation ammunition in the village of Deliatyn in the Ivano-Frankivsk region”, the Russian defence ministry said.

Baada ya muziki huu Zelensky alianza kulilia mazungumzo SASA bila kuchelewa ya amani na urusi!! Kwa Sasa halilii tena silaha za magharibi Bali anamlilia Putin akubali mazungumzo naye!!
Putin Jana alihutubia walihutubia wananchi wake malengo yote lazimayafikiwe! 1. Ukraine itangaze kutojiuga na NATO milele, na iliweke hill katiba yake. Ikubali kuwa neutral na isiruhusu nchi yoyote kuweka kambi yake nchini ukraine. 2.
Ikubali kuwelewa mipaka juu ya aina ya silaha inayoruhusiwa nayo 3. Iitambue Cremea ni sehemuya Urusi. 4. Iyatambue rasmi yaliyojtenga kuwa ni mataifa huru.
Kusema ukweli hayo ni masharti magumu sana! Inabidi MTU apigwe sana ndiyo ayakubali!! maana sana!

Na atapigwa sana
 
Marekani hoi! Silaha walizojinadi kupeleka Ukraine hivi karibuni na kuzificha kwenye ghala LA silaha lililojengwa kwenye kambi ya jeshi, ghala lililochimbiwa chini (underground), zimeteketezwa zote hats kabla hazijaanza kusambazwa kwa walengwa!!
Iko hivi: Urusi kwa kutumia silaha Kali iitwayo Hypersonic glide missiles, silaha iendayo kasi Mara kumi kuliko kasi ya sauti! inayoweza kupenya ulinzi wa aina yoyote wa anga, imeshambulia ghala kubwa la maficho ya silaha lililochimbiwa chini sana ya ardhi na kuziharibu kabisa!! Hiyo ndiyo ya Rais Zelensky kuja na ombi LA kutaka mazungumzo ya amani ya haraka sana na urusi!! Alivimbishwa kichwa Sasa naona akili imeanza kurudi! Hiyo ndiyo Urusi!! Ukimwona Biden anagoma kujaribu kuweka no fly zone huko Ukraine mweleweni!!
Putini kanipaa rahaaa sana leo General mmoja naona cnn hapa anasema russia imetumia siraha hiyo kujaribu kutuma clear massage kwa Nato na USA DON'T TRY ME
 
Huyu jamaa ni kiazi asikupotezee mda mkuu
Mbona makombora yaliyoangamiza kambi ya jeshi karibu na mpaka was Poland yalirushwa na ndege? Ingia mtandao uhakiki hilo!!
Tumia akili kidogo tu, kama Urusi harushi ndege kwa nin kila siku Zelensky anazililia nchi za NATO ziweke no fly zone!! Au kinachoendelea?
 

Russia: Hypersonic missiles used in Ukraine​

Russia has used its newest Kinzhal hypersonic missiles for the first time in Ukraine on Friday to destroy a weapons storage site in the country’s west, the defence ministry said.

Moscow has never before admitted using the high-precision weapon in combat, and state news agency RIA Novosti said it was the first use of the Kinzhal hypersonic weapons during the conflict in Ukraine.

“The Kinzhal aviation missile system with hypersonic aeroballistic missiles destroyed a large underground warehouse containing missiles and aviation ammunition in the village of Deliatyn in the Ivano-Frankivsk region”, the Russian defence ministry said.

Haya nimekuwekea hiyo taarabu hapo juu uiimbe mwenyewe!! Ila inabidi uijue lugha ya malkia!!
Source sio BBC bali ni Russian defence ministry. It could be true or not true kwamba wamelipua ghala la silaha chini ya ardhi. BBC wamenukuu tu.
 
Marekani hoi! Silaha walizojinadi kupeleka Ukraine hivi karibuni na kuzificha kwenye ghala LA silaha lililojengwa kwenye kambi ya jeshi, ghala lililochimbiwa chini (underground), zimeteketezwa zote hats kabla hazijaanza kusambazwa kwa walengwa!!
Iko hivi: Urusi kwa kutumia silaha Kali iitwayo Hypersonic glide missiles, silaha iendayo kasi Mara kumi kuliko kasi ya sauti! inayoweza kupenya ulinzi wa aina yoyote wa anga, imeshambulia ghala kubwa la maficho ya silaha lililochimbiwa chini sana ya ardhi na kuziharibu kabisa!! Hiyo ndiyo ya Rais Zelensky kuja na ombi LA kutaka mazungumzo ya amani ya haraka sana na urusi!! Alivimbishwa kichwa Sasa naona akili imeanza kurudi! Hiyo ndiyo Urusi!! Ukimwona Biden anagoma kujaribu kuweka no fly zone huko Ukraine mweleweni!!
Ametaka mazungumzo kwa sababu hata askari wa Urusi wengi nao wanakufa..
 
Marekani hoi! Silaha walizojinadi kupeleka Ukraine hivi karibuni na kuzificha kwenye ghala LA silaha lililojengwa kwenye kambi ya jeshi, ghala lililochimbiwa chini (underground), zimeteketezwa zote hats kabla hazijaanza kusambazwa kwa walengwa!!
Iko hivi: Urusi kwa kutumia silaha Kali iitwayo Hypersonic glide missiles, silaha iendayo kasi Mara kumi kuliko kasi ya sauti! inayoweza kupenya ulinzi wa aina yoyote wa anga, imeshambulia ghala kubwa la maficho ya silaha lililochimbiwa chini sana ya ardhi na kuziharibu kabisa!! Hiyo ndiyo ya Rais Zelensky kuja na ombi LA kutaka mazungumzo ya amani ya haraka sana na urusi!! Alivimbishwa kichwa Sasa naona akili imeanza kurudi! Hiyo ndiyo Urusi!! Ukimwona Biden anagoma kujaribu kuweka no fly zone huko Ukraine mweleweni!!
hiyo imemchanganya sana biden,mpaka anampigia magoti china awe upande wake na kumwambia mambo aliyowafanyia trump wao hawayatambui,na pia hawatambui uhuru wa taiwan..
 
Bro huyu jamaa ni mtu mzima na senior Sana humu. Ilakichwa chake ni kitupu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Haya mvivu was kutafuta habari nikusaidie, ila inabidi uijue lugha ya malkia, hii nakupa in nukuu toka aljazeera! Unaweza kuingia mwenyewe BBC na utaikuta habari hii!

Russia: Hypersonic missiles used in Ukraine​

Russia has used its newest Kinzhal hypersonic missiles for the first time in Ukraine on Friday to destroy a weapons storage site in the country’s west, the defence ministry said.

Moscow has never before admitted using the high-precision weapon in combat, and state news agency RIA Novosti said it was the first use of the Kinzhal hypersonic weapons during the conflict in Ukraine.

“The Kinzhal aviation missile system with hypersonic aeroballistic missiles destroyed a large underground warehouse containing missiles and aviation ammunition in the village of Deliatyn in the Ivano-Frankivsk region”, the Russian defence ministry said.

Baada ya muziki huu Zelensky alianza kulilia mazungumzo SASA bila kuchelewa ya amani na urusi!! Kwa Sasa halilii tena silaha za magharibi Bali anamlilia Putin akubali mazungumzo naye!!
Putin Jana alihutubia walihutubia wananchi wake malengo yote lazimayafikiwe! 1. Ukraine itangaze kutojiuga na NATO milele, na iliweke hill katiba yake. Ikubali kuwa neutral na isiruhusu nchi yoyote kuweka kambi yake nchini ukraine. 2.
Ikubali kuwelewa mipaka juu ya aina ya silaha inayoruhusiwa nayo 3. Iitambue Cremea ni sehemuya Urusi. 4. Iyatambue rasmi yaliyojtenga kuwa ni mataifa huru.
Kusema ukweli hayo ni masharti magumu sana! Inabidi MTU apigwe sana ndiyo ayakubali!! maana sana!
kayataka mwenyewe,kaharibu nchi na kuua watu wake,ndo anataka mazungumzo..
 
Back
Top Bottom