Marekani imetwanga maji kwenye kinu: Silaha walizopenyeza Ukraine hivi karibuni zimeteketezwa

Marekani imetwanga maji kwenye kinu: Silaha walizopenyeza Ukraine hivi karibuni zimeteketezwa

Russia: Hypersonic missiles used in Ukraine​

Russia has used its newest Kinzhal hypersonic missiles for the first time in Ukraine on Friday to destroy a weapons storage site in the country’s west, the defence ministry said.

Moscow has never before admitted using the high-precision weapon in combat, and state news agency RIA Novosti said it was the first use of the Kinzhal hypersonic weapons during the conflict in Ukraine.

“The Kinzhal aviation missile system with hypersonic aeroballistic missiles destroyed a large underground warehouse containing missiles and aviation ammunition in the village of Deliatyn in the Ivano-Frankivsk region”, the Russian defence ministry said.

Haya nimekuwekea hiyo taarabu hapo juu uiimbe mwenyewe!! Ila inabidi uijue lugha ya malkia!!
 
Hii sasa fix
👇👇👇Hapa umeambiwa uingie Google uone
Ingia Google uitafute habari hii BBC au Aljazeera!
Sasa mie nakusaidia

SmartSelect_20220319-193123_Chrome.jpg
SmartSelect_20220319-193151_Chrome.jpg
Screenshot_20220319-193244_Chrome.jpg
SmartSelect_20220319-193313_Chrome.jpg
Screenshot_20220319-193536_Chrome.jpg
Screenshot_20220319-193619_Chrome.jpg
Screenshot_20220319-193725_Chrome.jpg
Screenshot_20220319-194005_Chrome.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndege zinazoshambulia Ukraine zinatambaa??
Hakuna ndege wewe Russia wanatumia tu makombora ya masafa marefu ya hypersonic sonic missiles anga la Ukraine hawataki kutumia ndege mmarekani na majeshi ya NATO wamemwambia hatufungi anga liko wazi Rusha ndege zako za kivita tukuonyeshe cha mtema kuni kabaki ohh mimi narusha makombora ya masafa marefu ya hypersonic missiles propaganda kibao arushe ndege za kivita kama yeye kidume kweli kwenye anga la Ukraine.
Wanaume wamemwambia anga liko wazi rusha
 
Lengo pia no kuzionya NATO kuwa hatupo hapa kucheza, malengo yote lazima yatimie, weka pua yako mbali!

Use of hypersonic weapons warning to NATO: Correspondent​

Al Jazeera’s Dorsa Jabbari reporting from Moscow said the use hypersonic weapons by Russia was “significant” and a warning to NATO countries.

“This is yet another very significant and dangerous reminder that this country is willing to use whatever it has militarily to achieve its goals there in Ukraine.”

Kwa wasiojua ni kwamba Urusi ndio Taifa lenye hypersonic missiles. Marekani bado anafanyia kazi kujaribu kupata silaha hizo. China ndio nchi inayoifuatia Urusi kwa kuonesha mafanikio Fulani kwenye majaribio ya silaha hizo. Hivi karibuni Korea ya kaskazini pia imefanya majaribio ya silaha hizo kwa Mara ya kwanza!
Itachukua miaka kadhaa kwa nchi hizi kufanikiwa kuwa na silaha hizi! Urusi ilianza mapema sana utafiti wa silaha hizi na iliwachukua miaka 15 kufanikiwa kabisa!!
 
Hakuna ndege wewe Russia wanatumia tu makombora ya masafa marefu ya hypersonic sonic missiles anga la Ukraine hawataki kutumia ndege mmarekani na majeshi ya NATO wamemwambia hatufungi anga liko wazi Rusha ndege zako za kivita tukuonyeshe cha mtema kuni kabaki ohh mimi narusha makombora ya masafa marefu ya hypersonic missiles propaganda kibao arushe ndege za kivita kama yeye kidume kweli kwenye anga la Ukraine.
Wanaume wamemwambia anga liko wazi rusha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa kila siku BBC anatuambia idadi ya ndege zinazoangushwa na Ukraine kumbe ni fix??
 
Hakuna ndege wewe Russia wanatumia tu makombora ya masafa marefu ya hypersonic sonic missiles anga la Ukraine hawataki kutumia ndege mmarekani na majeshi ya NATO wamemwambia hatufungi anga liko wazi Rusha ndege zako za kivita tukuonyeshe cha mtema kuni kabaki ohh mimi narusha makombora ya masafa marefu ya hypersonic missiles propaganda kibao arushe ndege za kivita kama yeye kidume kweli kwenye anga la Ukraine.
Wanaume wamemwambia anga liko wazi rusha
Mbona makombora yaliyoangamiza kambi ya jeshi karibu na mpaka was Poland yalirushwa na ndege? Ingia mtandao uhakiki hilo!!
Tumia akili kidogo tu, kama Urusi harushi ndege kwa nin kila siku Zelensky anazililia nchi za NATO ziweke no fly zone!! Au kinachoendelea?
 
Hakuna ndege wewe Russia wanatumia tu makombora ya masafa marefu ya hypersonic sonic missiles anga la Ukraine hawataki kutumia ndege mmarekani na majeshi ya NATO wamemwambia hatufungi anga liko wazi Rusha ndege zako za kivita tukuonyeshe cha mtema kuni kabaki ohh mimi narusha makombora ya masafa marefu ya hypersonic missiles propaganda kibao arushe ndege za kivita kama yeye kidume kweli kwenye anga la Ukraine.
Wanaume wamemwambia anga liko wazi rusha
Mwenzio mu-Amerika ameshavutwa kende amebaki kulia lia tu na kujamba jamba na kundi lao la NATO
 
Mbona makombora yaliyoangamiza kambi ya jeshi karibu na mpaka was Poland yalirushwa na ndege? Ingia mtandao uhakiki hilo!!
Tumia akili kidogo tu, kama Urusi harushi ndege kwa nin kila siku Zelensky anazililia nchi za NATO ziweke no fly zone!! Au kinachoendelea?
Halafu bila ndege ule msafara wa vifaru unalindwaje
 
Propaganda hizo wewe !mtapigika
Hayo makombora ya haipasoniki ni nouma, Marekani mwenyewe anayaelewa na anatamani ayapate hata kesho.

Bahati mbaya hajawa na teknolojia ya kuyatengeneza. Kila akifanya jaribio, jaribio linafeli. Kesha jaribu mara tatu lakini anaambulia kula 'zero'. Mpaka wamekata tamaa.

Kisha leo anasikia Kidume Putin kalitumia kabisa kwenye uwanja wa vita Ukraine 🤣😂😅

SmartSelect_20220319-195556_Chrome.jpg

SmartSelect_20220319-195631_Chrome.jpg
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] duh basi Ukraine atashinda [emoji1316][emoji1316][emoji1316]
Kama ni hivyo kwa nini analilia mazungumzo, si awaangamize wote na kuikomboa Creamea na kuyarudisha majimbo yaliyojitenga!!
Ukweli ni kwamba maji yamezidi unga! Askari wengi wa Ukraine wamezingirwa na hakuna namna ya kuwafikishia msaada!
 
Marekani hoi! Silaha walizojinadi kupeleka Ukraine hivi karibuni na kuzificha kwenye ghala LA silaha lililojengwa kwenye kambi ya jeshi, ghala lililochimbiwa chini (underground), zimeteketezwa zote hats kabla hazijaanza kusambazwa kwa walengwa!!
Iko hivi: Urusi kwa kutumia silaha Kali iitwayo Hypersonic glide missiles, silaha iendayo kasi Mara kumi kuliko kasi ya sauti! inayoweza kupenya ulinzi wa aina yoyote wa anga, imeshambulia ghala kubwa la maficho ya silaha lililochimbiwa chini sana ya ardhi na kuziharibu kabisa!! Hiyo ndiyo ya Rais Zelensky kuja na ombi LA kutaka mazungumzo ya amani ya haraka sana na urusi!! Alivimbishwa kichwa Sasa naona akili imeanza kurudi! Hiyo ndiyo Urusi!! Ukimwona Biden anagoma kujaribu kuweka no fly zone huko Ukraine mweleweni!!
Zelenskyy ni mjinga sana. Yaani unakubali kupigana na taifa kubwa ka Russia?
 
Back
Top Bottom