Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Soma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenzao wanakubali yaishe wanaweka silaha chini wao wanajipa moyo
Tango pori kubwa kabisa hiliMpaka sasa wanajeshi zaidi ya 30,000 wa urusi wamekufa huku wa Ukraine wakiwa ni 7000
USA ni kigeugeuhiyo imemchanganya sana biden,mpaka anampigia magoti china awe upande wake na kumwambia mambo aliyowafanyia trump wao hawayatambui,na pia hawatambui uhuru wa taiwan..
Sijui unaishi wapi kama upo duniani basi mengi kuhusu kinachoendelea huko kimekupitaHakuna ndege wewe Russia wanatumia tu makombora ya masafa marefu ya hypersonic sonic missiles anga la Ukraine hawataki kutumia ndege mmarekani na majeshi ya NATO wamemwambia hatufungi anga liko wazi Rusha ndege zako za kivita tukuonyeshe cha mtema kuni kabaki ohh mimi narusha makombora ya masafa marefu ya hypersonic missiles propaganda kibao arushe ndege za kivita kama yeye kidume kweli kwenye anga la Ukraine.
Wanaume wamemwambia anga liko wazi rusha
Ukraine limekuwa dampo la siraha za zamani wamechoka kuyatunza, urusi nae kayapeleka mengi ya zamani, oparetion ikiisha huko lazima vifunguliwe viwanda vingi vya kuchakata vyuma chakavuCanada pia imechanganyikiwa! Imesema imepeleka silaha nyingi Sana Ukraine mpaka imeishiwa silaha za kupeleka huko na haitapeleka téna!!
Mimi nasema pelekeni tu, mwisho wake mtauona!!
Usikute wameisha tawanyika tayari hypersonic asije akatua uwanja wa mazoeziUzi mtamu sana huu NATO walianza kufanya mazoezi sasa sijui yameishia wapi?
@MK254 taarifa hii unayo?
angalia kwa hioo link wametangaza aljzeera msikate bure
Mkuu marekani kaweka mtego ili mrusi akitumia ndege zake za kivita mpya anazojidai aweze kuzisoma ili ajue madhaifu yake kwa mantiki hiyo mrusi harushi ndege mpya na marekani hawezi gusa mguu wake bila kujua madhaifu ya ndege za mrusiBiden yuko sahihi
Kagoma kuweka no fly zone anataka mrusi arushe ndege zake amuonyeshe cha mtema kuni kupitia silaha zake mbona Mrusi harushi ndege pamoja na kuambiwa kuwa ruksa kurusha ndege?
Unaongea kama vile upo kwenye ghala la silaha la US. Unao uhakika gani kwamba hawana? Hapo umekalisha saburi hapo kwa mtogole unatukaanga tu.Lengo pia no kuzionya NATO kuwa hatupo hapa kucheza, malengo yote lazima yatimie, weka pua yako mbali!
Use of hypersonic weapons warning to NATO: Correspondent
Al Jazeera’s Dorsa Jabbari reporting from Moscow said the use hypersonic weapons by Russia was “significant” and a warning to NATO countries.
“This is yet another very significant and dangerous reminder that this country is willing to use whatever it has militarily to achieve its goals there in Ukraine.”
Kwa wasiojua ni kwamba Urusi ndio Taifa lenye hypersonic missiles. Marekani bado anafanyia kazi kujaribu kupata silaha hizo. China ndio nchi inayoifuatia Urusi kwa kuonesha mafanikio Fulani kwenye majaribio ya silaha hizo. Hivi karibuni Korea ya kaskazini pia imefanya majaribio ya silaha hizo kwa Mara ya kwanza!
Itachukua miaka kadhaa kwa nchi hizi kufanikiwa kuwa na silaha hizi! Urusi ilianza mapema sana utafiti wa silaha hizi na iliwachukua miaka 15 kufanikiwa kabisa!!
Za kitambo hizoNi kweli, kuna silaha zilikuwa kwenye mahandaki zimelipuliwa.
Ila ndo sijui kama zilipelekwa na USA ama ni za tokea zamani za Ukraine
Jiulize umesikia Ukrain wakikanusha hicho kipondo?...ndio uelewe kwamba wanakula bakora za maana hasa.Source sio BBC bali ni Russian defence ministry. It could be true or not true kwamba wamelipua ghala la silaha chini ya ardhi. BBC wamenukuu tu.
Hii ni propaganda ya vita!! Imelenga kuwachota mbumbumbu wa propaganda za vita!!