Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutopendwa kwingine tunakutafuta wenyewe.Wanakulitafuta wanakulipata .Hivyo tuwewapoleMabeberu Hayatupendi 😀😁😂😅😃😃😁😂🤣😅😄😄😃
Ndiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu
Hiyo hali itawaepuka wapiga vigelegele hivyo ungezeni juhudi katika kupiga vigelegele.Inaogopesha. Hadi sisi CCM kindakindaki tutakiona cha moto
Wait ongeza nyingine tano.sisi tunajiweza hakuna wakutusumbua ..Mambo ya mitano tena hayo
Ndiosasa unataka kulazimisha kwamba tuna covid au? hatuna covid na ndo ukweli na tuliwachallenge kwan uongo?
Inabidi Kabudi akawakodolee mimacho hao mabeberu........Haya sasa tumeanza kusoma namba.Kitenge aliendaga huko mwaka juzi, akapiga picha na video kibao ametunza kwenye gallery ya simu.
Anapost Moja moja.
Degree ya heshima kutoka Chuo hiko UchinaWe mtu umenikumbusha! Huyo Abasi ni dkt wa kitu gani dunia hii? Naona kama ni bonge la sanii vile! Sijawahi kusikia akijibu maswali kwa ufahamu, badala yake hujibu kwa kukumbuka aliyoambiwa.
Kwa taarifa yako: Siyo wakenya wamesema. Ni wamarekani. Najua english ni tatizo lako. Pole sana. Mwombe mtu akutafsirie. Sijasema watu walale nyumbani tu. Nchi inatakiwa kuwa wazi kwenye takwimu.Sasa ulitaka Rais Magufuli afanye nini? Kwani wakenya wameanza leo kusema TZ kuna corona? Kwa hiyo kama kuna corona tulale majumbani kwetu. Halafu lini wewe umemsifia Rais Magufuli kwenye issue ya Corona?? Peleka Ukenya wako huko!! Hangaika na Kunyaland yako.
Hujasoma kwa sababu tatizo lako ni kiingereza.Source yako inatokea kenya!
Huyu jamaa msanii sana. Kwanza watz hawapewi visa ya 5-year. Juzi nimerenew visa na mbona hawakunikatalia? Ingawa visa zimepigwa ban, ila kuna namna unafanya unakwenda kwenye interview kama kawaida.Source yako inatokea kenya!