Marekani: Iran imehusika kuangusha ndege ya Ukraine

Marekani: Iran imehusika kuangusha ndege ya Ukraine

Ata Iraq kipindi wanavima hukuskia ata askari mmoja wa Marekani akifa wakati kuna maelfu wa majeshi wa Marekani wamepoteza maisha na wengi wao hawana viungo, sasa utawezaje kuamini ya juzi, yaani unaimani kuwa majeshi ya US hawafi [emoji23], mnadanganywa na movie za marekani na Vietnam aiseeeeMiongoni mwa njama za kivita ni kuficha siri za kuuwawa kwa wanajeshi, Tramp hawezi kutangaza madhara coz alijipeleka bila idhini ya bunge kwa pamoja so angetangaza kama kafa askari ata mmoja basi angepoteza ushawishi wake View attachment 1317831View attachment 1317832

Sent using Jamii Forums mobile app

Mwanajeshi wa Marekani huwa na thamani sana, akifa mmoja hutangazwa kote, kwanza kipindi hiki Trump anatafutiwa kila aina ya kesi, kitu kama hiki hakiwezi kufichwa, Ayatolla mwenyewe alikiri kusikitishwa na hilo la makombora kutomuua hata mjeda mmoja wa Marekani.
 
.... mbona mwanzo Iran hao hao walisema ndege ilikuwa na mechanical fault na ili-delay kuruka kwa masaa kadhaa kabla ya tatizo kurekebishwa? Waajemi kweli ni washenzi! Kwa uongo nimewakubali!
 
Congress wanachokifanya ni maigizo ya democrats tu, azimio hilo halimzuii Trump kufanya mashambulizi dhidi ya Iran
Naona akili zinawarudi baada ya kichapo BREAKING: The House passed a war powers resolution that limits President Trump's ability to wage war in Iran. It blocks U.S. military force against Iran without Congress's approval or declaration of war. AJ+ on Twitter

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niambie ww hizo sheria zinasemaje?

Kwangu mm naamini Iran anashika kile Kibox ili US hasipike habari za uzushi na ndio maana anamshirikisha Ukraine ktk uchunguzi.

I

Taratibu ziko wazi mkuu.. na unazifahamu. Sema unajaribu kuzipuuza. Katika team ya investigators lazima kuwepo Manufacturer.. ili ajifunze kosa lake kama fault ni ya device. Iran hataki kumuhudisha Boeing cz anajua Boeing=USA=CIA.
 
Taratibu ziko wazi mkuu.. na unazifahamu. Sema unajaribu kuzipuuza. Katika team ya investigators lazima kuwepo Manufacturer.. ili ajifunze kosa lake kama fault ni ya device. Iran hataki kumuhudisha Boeing cz anajua Boeing=USA=CIA.
Si uzitaje kama zipo wazi?Mbona unazunguka kama dawa ya mbu ya kuchoma.
 
January 10, 2020
Toronto Canada

Iran plane crash investigation: what we know so far : Power & Politics

Iran's civil aviation authority has said it's following international rules and will allow other countries to participate in its investigation of a plane crash that killed 63 Canadians.


Source: CBC
 
Hivi inaingia akilini kwamba, ballistic missiles fired from Iran to hit American airbases in Iraq can suddenly change course in midair - zig zaged in Iranian airspace looking for unsignificant Ukranian Boeing 737 whose safety track records are highly questionable nowaday; wanamdanganya nani?

Kukurupuka kwa Trump maji yamekwisha mfika shingoni asianze kuwasingizia watu, Iran ingefahidika kivipi kwa kutungua ndege ya Ukraine - nani kawambieni Iran ina bifu na utawala wa Ukraine - leo nilimsikia Rais wa Ukraine akisema accident alisababishwa na masuala ya kiufundi na sio ugaidi au hujuma - baadae Uncle SAM kaigeuzia kibao Iran kwamba inahusika kwa kuangusha ndege ya Ukraine,

wanafikiri watu ni wajinga hawana uwezo wa kuanalyse kilicho tokea - ndege yenyewe ilipata tatizo wakati inaanza kupaa hadly 800 feet above ground, Ballistic missiles urushwa skywise sio kwenye surface hivyo madai ya Merikani kwamba ndege ilipigwa na B.Missiles ya Iran kwa bahati mbaya huo ni propaganda/upuuzi mtupu wenye lengo kuichafua Iran Kimataifa na wala siamini kama USA ndio ilihusika kutungua ndege ya Ukraine ili wajenge hoja kwa Mataifa kuilahumu Iran,

Tukumbuke kwamba airspace ya Iran hiko impregnable hakuna Ndege, drones na missiles zinaweza kukatiza anga la Iran bila ya kutunguliwa na a formidable Iranian integrated Air defense Systems, kumbuka mwaka jana Iran ilivyo tungua one of the most sophisticated USA Drones, Iran si Taifa la kuchukuliwa kimzaa mzaa hata kidogo.
Duh! utakuta hupo hapa kwa mtogore na unafanya anlysis ya kufa mtu kuwazidi hata C.I.A hongera mkuu.
 
Hivi inaingia akilini kwamba, ballistic missiles fired from Iran to hit American airbases in Iraq can suddenly change course in midair - zig zaged in Iranian airspace looking for unsignificant Ukranian Boeing 737 whose safety track records are highly questionable nowaday; wanamdanganya nani?

Kukurupuka kwa Trump maji yamekwisha mfika shingoni asianze kuwasingizia watu, Iran ingefahidika kivipi kwa kutungua ndege ya Ukraine - nani kawambieni Iran ina bifu na utawala wa Ukraine - leo nilimsikia Rais wa Ukraine akisema accident alisababishwa na masuala ya kiufundi na sio ugaidi au hujuma - baadae Uncle SAM kaigeuzia kibao Iran kwamba inahusika kwa kuangusha ndege ya Ukraine,

wanafikiri watu ni wajinga hawana uwezo wa kuanalyse kilicho tokea - ndege yenyewe ilipata tatizo wakati inaanza kupaa hadly 800 feet above ground, Ballistic missiles urushwa skywise sio kwenye surface hivyo madai ya Merikani kwamba ndege ilipigwa na B.Missiles ya Iran kwa bahati mbaya huo ni propaganda/upuuzi mtupu wenye lengo kuichafua Iran Kimataifa na wala siamini kama USA ndio ilihusika kutungua ndege ya Ukraine ili wajenge hoja kwa Mataifa kuilahumu Iran,

Tukumbuke kwamba airspace ya Iran hiko impregnable hakuna Ndege, drones na missiles zinaweza kukatiza anga la Iran bila ya kutunguliwa na a formidable Iranian integrated Air defense Systems, kumbuka mwaka jana Iran ilivyo tungua one of the most sophisticated USA Drones, Iran si Taifa la kuchukuliwa kimzaa mzaa hata kidogo.
Aibu naona Mimi,kila siku nakwambia unajifanya unajua sana kila kitu na neno lako ndio ukweli na sheria bila kusahau unaendeshwa sana na hisia na mahaba ya kidini unakataa. Sasa leo ndio umeshushuliwa sijui Sura yako utaiweka wapi hapa Jukwaani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.... mbona mwanzo Iran hao hao walisema ndege ilikuwa na mechanical fault na ili-delay kuruka kwa masaa kadhaa kabla ya tatizo kurekebishwa? Waajemi kweli ni washenzi! Kwa uongo nimewakubali!
Hawa ni devil incarnates, waliitungua kimakosa, wakaanza kusingizia vitu vya uongo, mara ngede ilikuwa na shida, mara black box imeharibika. Wakati huo Mmarekani kasema kwa ushahidi wa Salelite ndege ilipigwa makombora mawili, pressure ilivyozidi muajemi hakuna namna basi kakubali lakini akijijitetea hii ilitokana na tension iliyosababishwa na USA. Hii inatoa picha kuwa kama Tehran ambapo ndio centre ya intelligence na vifaa vya kijeshi , hawawezi kutofautisha kati ya ndege ya kivita na ndege ya abiria iliyotokea hapo hapo Tehran basi kuna shida kubwa ipo somewhere.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom