Marekani: Iran imehusika kuangusha ndege ya Ukraine

Marekani: Iran imehusika kuangusha ndege ya Ukraine

Believe me hii ndege ilikuwa hit by missile,ila sema kwa bahat mbaya. Iran wanajua sema wanahide.Hata wao wanajuta mioyoni mwao. I think it is time Iran waseme Sorry kwa raia waliokufa.
Iran walitunguliwa ndege yao ya kiraia na US mwaka 1988 .flight 655 kwa bahati mbaya...ilikuwa majonzi makubwa. Sasa nao wamefanya lilelike kwa Ukrain kwa makosa..watajielezaje
 
Haingii akilini Iran auwe wananchi wake zaidi ya 80 waliokua abiria ndani ya hiyo ndege.marekani acheni kufanya watu hatuna akili. Ayatulaah kaza hapohapo hawa wanatafuta pa kitokeaa
Mkuu njoo tena usome maoni yako hapa!
 
Hata mimi nafikiria hivyo. Too sad. Watu wasio na kosa lolote wamekufa. Iran lazima ahide hii. Maana kishasema black boxes zimeharibika. I believe this in not true. Iam strongly conviced that,the plane was hit by one of the Missiles.
Mi nashaur watumie nuclear km ya iroshima ikibidi
 
Hivi kipindi kile US walivyotungua ile ya ndege ya abiria ya Iran walilipa kama kiasi gani hivi?

dodge

..masuala ya US vs Iran ni tofauti.

..ndege iliyotunguliwa ni ya Ukraine.

..na taifa hilo halina ugomvi au mgogoro na Iran.

..zaidi, ni ndege ya KIRAIA.
 
Mimi nimeuliza US alivyotungu ya Iran alilipa kiasi gani?

Maana inshu ni ile ile Ndege ya Abiria ndio imetunguliwa'friendly fire' haijalishi nani katungua.
..masuala ya US vs Iran ni tofauti.

..ndege iliyotunguliwa ni ya Ukraine.

..na taifa hilo halina ugomvi au mgogoro na Iran.

dodge
 
Kwa upande wangu ninacho kihisi ni hichi..

A Military Sacrifice :
US huwa ina tabia ya kuweka insiders in every potential angle in this world. So US tayari walikuwa na taarifa kamili ya tukio husika kabla ya tukio lenyewe kutokea. Sasa basi, walichoamua kukifanya ni kumuacha Iran afanye retaliation ambayo dunia nzima itaitambua.

while wao(US) wakii-mask retaliation yao ambayo ni kuipiga boeing 737 - 800 ndege ambayo walijua fika kuwa ina wa Iran wa kutosha pamoja na 'raia wa mataifa mengine' ili kumtengenezea Iran maadui. Na hiyo retaliation waliipanga kwa picha ambayo itakuwa na uhusiano wa moja kwa moja na retaliation ya adui wao(Iran),na final conlusion ikiwa ni kumrushia shutuma Iran ili aonekane ruthless in every aspect.

Ni mtazamo tu! Wapinzani msijenge chuki.. 😊
 
Mimi nimeuliza US alivyotungu ya Iran alilipa kiasi gani?

Maana inshu ni ile ile Ndege ya Abiria ndio imetunguliwa'friendly fire' haijalishi nani katungua.

dodge

..sijui alilipa kiasi gani.

..lakini yeyeto anayetungua ndege ya abiria anapaswa kuwalipa waathirika.
 
MPYA: Waziri Mkuu wa Canada, Justin Trudeau amesema taarifa zao za kiintelijensia zinaonyesha kuwa Ndege iliyoanguka juzi ndhini Irani na kuua watu 176 wakiwemo raia 63 wa Canada ilitunguliwa na Iran

> Rais Trump pia amedai ana wasiwasi na chanzo cha ajali hiyo
Ulitarajia USA na UK wasemeje? Kwamba ndege za boeng ni mbovu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom