The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Hii inaleta ujumbe kuwa kama watu wakiamua kuichakaza hiyo nchi ya kizayuni wanaichakaza vibaya sana.Wayahudi waliopo Tel Aviv wanasikilizia maumivu na kujificha chini ya mashimo,ila wayahudi weusi wa Liwale,Ifakara,Nzega mpaka huko Itigi,wanakaza mafuvu na kusema hakuna madhara,
Yahudi alimtesa Yesu na kumsulubu,hivyo nae achapike tu.
Wanapiga simu kusikiliza kama ni salama kuibuka juu.Iko siku wakati wanasikiliza jawabu linatua jengine kutoka kwa Hizbullah na mara jengine kutoka Syria.Wayahudi waliopo Tel Aviv wanasikilizia maumivu na kujificha chini ya mashimo,ila wayahudi weusi wa Liwale,Ifakara,Nzega mpaka huko Itigi,wanakaza mafuvu na kusema hakuna madhara,
Yahudi alimtesa Yesu na kumsulubu,hivyo nae achapike tu.
Kaa kimya kuficha upumbavu wako,unatia aibu na viswali vyako vya kipumbavu,hujajishtukia tu bado kua umeshageuka kituko hapa?Umeulizwa swali,jibu.
Sasa hivi Yahudi hata akitaka kunywa maji tu,ni lazima kwanza ruhusa itoke US.Hii inaleta ujumbe kuwa kama watu wakiamua kuichakaza hiyo nchi ya kizayuni wanaichakaza vibaya sana.
Ila USA,UK na Germany wanaibeba sana hii nchi.
Ngojea tusikie watasemaje.
Hiki kipindi waarabu waligoma kuwa wanyonge aisee.Sasa hivi Yahudi hata akitaka kunywa maji tu,ni lazima kwanza ruhusa itoke US.
Marekani na Washirika wake wamepeleka zana nyingi mashariki ya kati kwa lengo la kuikinga Israel dhidi ya Makombora toka Iran na Yemeni leo tumeshuhudia Israel imepeta kipigo cha aibu makombora yamesafiri Kilomita 2000 toka Yemen Hadi kwenda kuichakaza TelAviv.. Netanyahoo mavi yanagonge kyupi mda huu..π
π¨ BREAKING
The Yemeni Armed Forces Successfully attacked a vital facility in Tel Aviv with a Ballistic Missile type Hatem-2.
The Israeli Air Defense Systems weren't able to intercept it. The missile reportedly traveled 2,000 kilometers in 15 minutes, impacting around 06h30 am
View attachment 3096208View attachment 3096209
Sasa mifumo ya Ulinzi ya kazi gani wakati dude limeshapigiwa mahesabu limeonekana linaenda kudondokea majanini?Unaangalia Al Jazeera ya kwa mtogole
Yani wamerusha ili mradi lifike tu bila kupata targets. Na akili za Hamas wa Mpanda mashariki wa JF wanapongezana kispoti.πππSasa mifumo ya Ulinzi ya kazi gani wakati dude limeshapigiwa mahesabu limeonekana linaenda kudondokea majanini?
Houth wanazjijua akili zenu kwamba Kombora hata likidindokea majanini lazima mjae misikitini kushangili na kula na kunyea, basi wakaona ili wawafurahishe na Iran aone hela yake inatumika vizuri basi kuliko litunguliwe, bora walielekeze lidondekee sehemu isiyo na watu, wakilenga maeneo ya watu litatunguliwa juu kwa juu.
Wakaamua kulenga manyasi na kweli mmeripuka kwa vigelele π€£π€£π€£View attachment 3096264View attachment 3096265View attachment 3096266View attachment 3096267View attachment 3096269
Mumeo kasalimika kwenye hilo shambulizi? Kwa hiyo umeachwa mjane?Mkijibiwa msije mkaanza kulia Israel anaua wanawake na watoto
Hawa jamaa huwa jamaa ukijaribu kuwachukulia na kuwaelewa kama binaadam wengine utaishia kuvurugikiwa na akili tu. Ili kwenda nao inabidi uwachukulie kama kundi lenye mahitaji maalumYani wamerusha ili mradi lifike tu bila kupata targets. Na akili za Hamas wa Mpanda mashariki wa JF wanapongezana kispoti.πππ
Wafanyiwe mpango waungwe TASAF.πHawa jamaa huwa jamaa ukijaribu kuwachukulia na kuwaelewa kama binaadam wengine utaishia kuvurugikiwa na akili tu. Ili kwenda nao inabidi uwachukulie kama kundi lenye mahitaji maalum
Haiaminiki hilo.Pamoja na hivyo huo moshi pekee unasababisha shinikizo la damu.Na kauli kwamba kombora kutoka Yemen kutamkwa na vyombo vya habari kutoka Israel nalo linatisha wakati Yemen wala haipakani naoSasa mifumo ya Ulinzi ya kazi gani wakati dude limeshapigiwa mahesabu limeonekana linaenda kudondokea majanini?
Houth wanazjijua akili zenu kwamba Kombora hata likidindokea majanini lazima mjae misikitini kushangili na kula na kunyea, basi wakaona ili wawafurahishe na Iran aone hela yake inatumika vizuri basi kuliko litunguliwe, bora walielekeze lidondekee sehemu isiyo na watu, wakilenga maeneo ya watu litatunguliwa juu kwa juu.
Wakaamua kulenga manyasi na kweli mmeripuka kwa vigelele π€£π€£π€£View attachment 3096264View attachment 3096265View attachment 3096266View attachment 3096267View attachment 3096269
Wenye uhitaji maalum ni hawa huku.Hawa jamaa huwa jamaa ukijaribu kuwachukulia na kuwaelewa kama binaadam wengine utaishia kuvurugikiwa na akili tu. Ili kwenda nao inabidi uwachukulie kama kundi lenye mahitaji maalum
Hapo wamerusha jiwe?Hii vita Israel imeshindwa,I akuaje Taifa teule linapigana vita mwaka mzima tena Taifa lenye teknolojia ya juu,wasomi wakubwa sapoti kubwa toka Kwa watawala dunia unakuja kusumbuliwa na wavaa ma Panjabi tena Kwa mawe
Hapo wamerusha jiwe?
Hizo ni tafsiri za kujidunisha.Silaha wanazo na wanazitumia.Kutaka kuwaonesha ni wa hali duni ni kutafuta waungwe mkono na watu wasiotumia akili zao vizuri.Haijalishi hivi Israel unaweza fananisha na wapalestina? Palestina kumi ndio Israel Moja!
Ustazi bwana yaan kakaaa weee kaona aaah acha nitafute uongo niko hapa aljazira sijaona chochote
Vita na mapigano sio mchongo!Lamamayeeee hii HAPA HABARI.
NA IMEANDIKWA NA CHOMBO CHA ISRAEL WENYEWE.
HOUTHI KALIPUA KATIKATI YA ISRAEL NA MLIPUKO UMESIKIKA.
AYA BISHENI NA HAPAπππππView attachment 3096225View attachment 3096226