Kishimbe wa Kishimbe
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 5,566
- 5,477
DUH!
... but no one mentioned!
[emoji109] [emoji28] [emoji3577]
... but no one mentioned!
[emoji109] [emoji28] [emoji3577]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KATIBA YA US IMECHEZEWA AU HIJACHEZEWA?
Manake hamna aliye mkubwa zaidi ya KATIBA.
Na sisi sijui tuwawekee vikwazo walomuibia kura Trump,ila tuache tu maana nyani haoni kundule kwa sababu kundule lipo upande ambao kisogo kipo.
Huyu jamaa kama kuna kitu alivutishwa akiwa mtoto,kha,
Yeye anatumia Twitter kama platform yake ya kujieleza sasa kwanini umfungie?Kwani amezuiwa kujieleza? Mbona vyombo vya habari viko naye kila mahali anapoenda!...
Zipo za aina nyingi sana, mfano kuna demokrasia ya vyama Vingi na demokrasia ya vyama viwili kama Ilivyo kwao, vipi sisi leo tukianza kuwalazimisha wawe na utitiri wa vyama vya siasa kama sisi?
Yeye anatumia Twitter kama platform yake ya kujieleza sasa kwanini umfungie?
Husimchangulie mtu ajielezee sehemu gani,mwache aongee sehemu yoyote anayo jisikia yupo comfortable,NDIO UHURU WENYEWE HUO WANAO UHUBIRI.
Nimekwambia SIMJUI,ILA NINACHOJUA HAMNA ALIYE JUU YA KATIBA.Inabidi useme imechezewa na nani ili swali lako liweze kujibika
Nimekwambia SIMJUI,ILA NINACHOJUA HAMNA ALIYE JUU YA KATIBA.
Aliyevuruga ni Tundu Lissu mpaka akafungiwa kwa week moja campaign zake.Kupitia akaunti yake ya Twitter, Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje, Mike Pompeo ameandika "Kuna matokeo ya kuingilia mchakato wa kidemokrasia. Kuanzia leo, tunaweka vizuizi vya visa kwa wale wanaohusika na uvurugaji wa uchaguzi nchini Tanzania. Tunabaki kujitolea kufanya kazi pamoja kuendeleza demokrasia na ustawi wa pande zote kwa nchi zetu zote mbili."....
Atakayetangaza kazi hana.Habari kama hii haitosikika TBC.
Sasa kwani ni serikai ya Trump iliyomfungia Trump account yake ya twitter? 😁Upuuuuzi.......mtupu.
Wanahamasisha uhuru wa kujieleza,huku wameifungia acc ya twitter ya Trump.
Wanacho kihamasisha wao hawakiishi,wadeal na hali yao wanaiyoipitia sasa baada ya uchaguzi.
Kuna jambo kubwa litaikumba Marekani.Haya Pompeo ameyaongea akijua what will happen to America.Watch this👇.Kupitia akaunti yake ya Twitter, Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje, Mike Pompeo ameandika "Kuna matokeo ya kuingilia mchakato wa kidemokrasia. Kuanzia leo, tunaweka vizuizi vya visa kwa wale wanaohusika na uvurugaji wa uchaguzi nchini Tanzania. Tunabaki kujitolea kufanya kazi pamoja kuendeleza demokrasia na ustawi wa pande zote kwa nchi zetu zote mbili."....
Mkuu wakimpiga pini kabudi na Mpango hata wewe utaadhirika maana hao ndo watembeza bakuri kule IMF na WB.please note,flyover ya ubungo na barabara za mwendo kasi jijini Dar es salaam ni pesa ya WBVikwazo gani vitakavyowaadhiri? Vyakutokwenda Marekani au hospital kutibiwa?
Zipo za aina nyingi sana, mfano kuna demokrasia ya vyama Vingi na demokrasia ya vyama viwili kama Ilivyo kwao, vipi sisi leo tukianza kuwalazimisha wawe na utitiri wa vyama vya siasa kama sisi?