Marekani kuhakikisha Pelosi anatua salama Taiwan

Wanataka population ibaki 500 million hahaha
 
Thubutu. Marekani aibu nyingine anajitengenezea mwenyewe. Naona upo kwenye ndoto. Angalia usijikojolee tu
Utakua mvaa kobazi tu ndo maana una reasoning ya hovyo... akitua Taiwan nakufwata hapo mtambani na mlinzi wangu akupakue kidogo akili itulie.
 
Inategea na situation, mtu ameshakukataa mapema peupe hakutaki umtembelee. Huwaga hakjna safari za kulazimisha kama hii ya sasa
Hawawezi kuishambulia labda wanachoweza kufanya ni kutuma ndege za kivita kuizuía isitue.
Wewe unahisi mfano putin anaweza kupiga bomu aliko raisi wa Ukraine?
Hakuna mtu anayetaka vita ya ajabu ajabu hasa kipindi hiki ambapo uchumi wa dunia unapita kwenye mtikisiko
 
Pamoja na mikwala Yote kutoka serikali ya china, huyu bibi anaonekana kitoyumba. Kuna uwezekano mkubwa Perosi akatua Taipei.

Hawa jamaa ni wababe Kweli. Cha ajabu, viongozi wote wa Republican na Democrat wanamuunga mkono.

Anyway, time will tell.
 
Katika mgogoro ambao utaigharimu Afrika basi ni huu. Maisha yetu ya kila siku yanategemea bidhaa za China kwa kiasi kikubwa. Imagine China awekewe vikwqzo vya kiuchumi kama alivowekewa urusi walahi Africa itaangamia...
Siyo kwa china na taiwani labda useme china na usa [emoji631] zikipigana vita ...ila kama china kuipiga taiwani hiyo ni issu ndogo tu kwa china ...maana china kwenye kupiga wahalifu haina cha haki za binadamu siyo kama urusi
 
Wametuma ndege na meli 👇

 
Katika mgogoro ambao utaigharimu Afrika basi ni huu. Maisha yetu ya kila siku yanategemea bidhaa za China kwa kiasi kikubwa. Imagine China awekewe vikwqzo vya kiuchumi kama alivowekewa urusi walahi Africa itaangamia...
China kuwekewa vikwazo vya uchumi ilo jambo sahau kwenye hii dunia hayupo mwenye kufanya ivyo kampuni kubwa zote unazozijua za marekani zimewekeza china kwa mabilioni ya dola kuliko walivyowekeza nyumbani kwao kama alishindwa trump biden awez fanya uwo ujinga kamwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…