Marekani kuhakikisha Pelosi anatua salama Taiwan

Marekani kuhakikisha Pelosi anatua salama Taiwan

....Marekani huwa ni jeuri wa kurudi nyuma, na macho madogo huwa hawapendi dharau hasa kwenye masuala yanayohusu usalama na maslahi yao. Tusubiri tutaona nani JOGOO na nani Mtetea.
Hapo mtetea hujauona tuu? Hata mchonyo wake huuoni?
 
Hataenda Taiwan si kwa woga ila kwa kuepuka madhara yake kwa dunia
 
Utakua mvaa kobazi tu ndo maana una reasoning ya hovyo... akitua Taiwan nakufwata hapo mtambani na mlinzi wangu akupakue kidogo akili itulie.
Wavaa kobazi wameingiaje mbona una chuki za kithenge sana pambana na hoja usitaje watu fulani kwani ukimtaja baba ako au mama ako Kuna shida gani mpaka utaje wavaa kobazi
 
Wavaa kobazi wameingiaje mbona una chuki za kithenge sana pambana na hoja usitaje watu fulani kwani ukimtaja baba ako au mama ako Kuna shida gani mpaka utaje wavaa kobazi
Nawe unavaa kobazi?
 
Hata watume bomu la nuclear hawataishambulia hiyo ndege labda waizuie isitue lakini kuishambulia hawawezi.
Ila huyo spika naye ana roho ngumu maana ni sawa na kurudha rudha shilingi juu ya tundu la choo.
Sasahivi dunia zima macho kodo, wanamwangalia supa pawa wa zamani za kale anavyoweweseka na biti alilochimbiwa. Aibu nyingine hizi ni za kujitakia🤣🤣🤣
 
Serikali ya Marekani kupitia msemaji wa Ikulu, imesema kuwa haiogopi, wala haitafuata maelekezo ya China.

Pia China haipaswi kujawa gadhabu kwa ziara ya Spika wa Bunge, kwani Marekani kjna mgawanyo wa Madaraka na Serikali haiwezi ingilia maamuzi ya Spika

Spika wa Marekani atasafiri kwa ndege ya jeshi, na jeshi la Marekani na serikali imesema itahakikisha usalama wa Nancy wakati wa kutua na kupaa, na akiwepo Taiwan.

Pia imesema kuwa inategemea China kugadhabishwa na kujaribu fanya lolote.

Imesema itaendelea kufanya mawasiliano na China ila Nancy hatazuiwa kwenda Taiwan

Je, nini kimebadilika ghafla, maana kwenye ratiba Taiwan haikuwepo, ila imekuja ghafla badala ya kwenda South Korea kutokea Singapore, ataenda kulala Taiwan.
Hahaaaa😉😉
 
Back
Top Bottom