Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haendi popoteeeeeTayari imeshathibitika kuwa Pelos atatua Taiwani leo hii.
Maoni yangu: China hana cha kufanya zaidi ya Povu na kuchimba bit lisilo na athari yoyote ile
Ukiona Marekani kaamua hiyo Safari ujue tayari Ameshajiridhisha kuwa hakuna lolote zaidi ya mikwala ya hapa na pale. Pia China historia haimbebi linapokuja kusimamia kile anachokiongea tofauti na Russia au Marekani wanavyofanya. Kimsingi China ni Muoga na pia sidhani kama ana ubavu kihiiiivyo.
Kwani huoni kinachowapata wanao isaidia ukraine ....pia jua kuna vitu vinaendelea utazidi kuona onyo la mrusi linavyo fanya kazi day to daySioni ajabu China hatofanya lolote, mbona Putin alisema atakayeisaidia Ukraine atajutia maisha yake? Je watu hawaisaidii? Na amefanya nini? Sitashangaa China endapo hatofanya lolote lile.
Kwan US kinampata nin mkuu!!??Kwani huoni kinachowapata wanao isaidia ukraine ....pia jua kuna vitu vinaendelea utazidi kuona onyo la mrusi linavyo fanya kazi day to day
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]mwanamme ameshasema Sasa hao macho madogo wafanye wanachoona wanaweza waonyweshwe shughuli.
Basi wewe akili hauna ...usa ndiyo inakwenda kupoteza vibaya kuliko nchi yoyote ...kupoteza nguvu ya dola ya marekani kuwa ndiyo pesa pekee ya dunia peke yake hilo ni pigo kubwa sanaKwan US kinampata nin mkuu!!??
Kuna mijamaa ilijishaua sana huku niliwaambia mmareksni haogopi vitisho ,waliponda sana haya sasa tuone mchina atafanya nn
Wanajijambisha tu kuwapa furaha wamarekani wa tandale. Hakuna safari hapo kwani akienda na ndege ha jeshi ndio hawezi kushambuliwa?? Pro USA siku hizi imekuwa mijinga sana kwasababu ya Putin
Tuna msubiri huyo bibiSerikali ya Marekani kupitia msemaji wa Ikulu, imesema kuwa haiogopi, wala haitafuata maelekezo ya China.
Pia China haipaswi kujawa gadhabu kwa ziara ya Spika wa Bunge, kwani Marekani kjna mgawanyo wa Madaraka na Serikali haiwezi ingilia maamuzi ya Spika
Spika wa Marekani atasafiri kwa ndege ya jeshi, na jeshi la Marekani na serikali imesema itahakikisha usalama wa Nancy wakati wa kutua na kupaa, na akiwepo Taiwan.
Pia imesema kuwa inategemea China kugadhabishwa na kujaribu fanya lolote.
Imesema itaendelea kufanya mawasiliano na China ila Nancy hatazuiwa kwenda Taiwan
Je, nini kimebadilika ghafla, maana kwenye ratiba Taiwan haikuwepo, ila imekuja ghafla badala ya kwenda South Korea kutokea Singapore, ataenda kulala Taiwan.
... sana sana atakachofanya China baada ya Nancy kuondoka ni kurusha ndege mbili tatu za kijeshi juu ya anga la Taiwan kama Tanganyika ifanyavyo juu ya Zanzibar halafu mchezo unakuwa umeishia hapo!
Hii issue ya Pelosi kwenda Taiwan ni kumpa adhabu China kwa ku-support Urusi kwa kukiuka vikwazo vyote vya Marekani na kuongeza biashara maradufu na Urusi kwa kununua mafuta na gas zaidi hata kabla ya vikwazo.
Pia China na Russia kujipanga kuiondoa Dollar kwenye biashara Kati Yao, USA ana hasira na China.
Naam Naam [emoji38]Umaarufu wote wa ziara ya Pelos upo kwenye ziara ya Taiwan toka wiki kadhaa nyuma, halafu wewe unasema Taiwan haikuepo kwenye ratiba.
Huko kwingine anazuga tu ila kiini ni Taiwani.
Ndio aende Sasa tuone [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna mijamaa ilijishaua sana huku niliwaambia mmareksni haogopi vitisho ,waliponda sana haya sasa tuone mchina atafanya nn