hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Sindio hapo [emoji38][emoji38]Mawasiliano ya nini??---- mtu Muoga utamuona tu!![emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sindio hapo [emoji38][emoji38]Mawasiliano ya nini??---- mtu Muoga utamuona tu!![emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Asipokwenda itakuwa aibu sana na akienda itakuwa aibu kubwa Sana Kwa china ,Anaona aibu kuback off watamwona kaogopa, kwenda pia hana hakika na yajayo, basi yuko njia panda
Wewe unazungumzia ratiba ya juzi , mwenzio Anaongelea kabla ya hiyo juzi Ratiba ilikuwepo kitambo na watu tulikuwa tume shaanza kujadili humuPunguza ujuaji, kwenye ratiba ya juzi kabla hajaondoka WDC Taiwan haikuwepo
Wapo tayari kwa loloteJe, nini kimebadilika ghafla, maana kwenye ratiba Taiwan haikuwepo, ila imekuja ghafla badala ya kwenda South Korea kutokea Singapore, ataenda kulala Taiwan.
USA wanatapa tapa tu watajua hawajui tuone Sasa huyo Nancy akienda tumeshachoka matamkoHii issue ya Pelosi kwenda Taiwan ni kumpa adhabu China kwa ku-support Urusi kwa kukiuka vikwazo vyote vya Marekani na kuongeza biashara maradufu na Urusi kwa kununua mafuta na gas zaidi hata kabla ya vikwazo.
Pia China na Russia kujipanga kuiondoa Dollar kwenye biashara Kati Yao, USA ana hasira na China.
Marekani Biden aliogopa kuingia kwa Nancy Taiwan, hatujui kimetokea nini hadi imebadilika[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Asipokwenda itakuwa aibu sana na akienda itakuwa aibu kubwa Sana Kwa china ,
I bet Nancy haendi china Hawawezi kukubali huo ujinga Endapo wakikubali basi wajue fika kuwa ndio watakuwa wameikosa Taiwan jumla
Wasipokwenda lazima watapoteza ushawishi wa kisiasa na upepo utazidi kuhamia Kwa Russia na china so hii safari ni muhimu kwao ktk kurejesha nguvu ya ushawishi.Marekani Biden aliogopa kuingia kwa Nancy Taiwan, hatujui kimetokea nini hadi imebadilika
Mara Jumatano mara Jumanne....Ila Taiwan wamethibitisha anakuja leo na wako tayari kutoa ulinzi 👇
View attachment 2311634View attachment 2311635View attachment 2311636
Yani hapa patamu sana.... Ngoja tusubiri tuone hili policha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Asipokwenda itakuwa aibu sana na akienda itakuwa aibu kubwa Sana Kwa china ,
I bet Nancy haendi china Hawawezi kukubali huo ujinga Endapo wakikubali basi wajue fika kuwa ndio watakuwa wameikosa Taiwan jumla
Marekani keshaapa ataingia Taiwan na washirika wake wamesema watamsaidia TaiwanWasipokwenda lazima watapoteza ushawishi wa kisiasa na upepo utazidi kuhamia Kwa Russia na china so hii safari ni muhimu kwao ktk kurejesha nguvu ya ushawishi.
Na ni muhimu Kwa china kuizuia Ili waweze kujitangaza Zaidi kimataifa kuwa wao ni wababe wapya Duniani kama ilivyo Kwa Russia now
Ili?Ni wakati sasa wa Puttin kuonyesha yeye ni rafiki wa China.
Kwa hiyo Marekani ndiye mwamuzi wa nchi zingine? Mbona Russia anapoivamia Ukraine, wanasema yenyewe ni sovereign state?
US ndiye chanzo cha ugaidi duniani
Marekani keshaapa ataingia Taiwan na washirika wake wamesema watamsaidia Taiwan
Anasema kuna dokomenti muhimu eti kaisahau California 🙂Bado hajafika tu Taiwani?
Hapo kwenye kumsaidia ndo pagumu sio rahisi kama unavofikiri
Hao watu wanaosema tangulia tuko nyuma yako, ni hatari sana kwa afyaMarekani keshaapa ataingia Taiwan na washirika wake wamesema watamsaidia Taiwan