Marekani kuhakikisha Pelosi anatua salama Taiwan

Marekani kuhakikisha Pelosi anatua salama Taiwan

Je China ipo tayari kuendelea kuwa mnyonge mbele ya US?? China ana mipango gani?? Je kuna vita inakwenda kutokea??

China sio wajinga mpaka kukataza ziara ya pelosi kwenda Taiwan lazima kuna jambo la siri. Tuendelee kusubir tuone nani atakua kidume.
 
Je China ipo tayari kuendelea kuwa mnyonge mbele ya US?? China ana mipango gani?? Je kuna vita inakwenda kutokea??

China sio wajinga mpaka kukataza ziara ya pelosi kwenda Taiwan lazima kuna jambo la siri. Tuendelee kusubir tuone nani atakua kidume.
... sana sana atakachofanya China baada ya Nancy kuondoka ni kurusha ndege mbili tatu za kijeshi juu ya anga la Taiwan kama Tanganyika ifanyavyo juu ya Zanzibar halafu mchezo unakuwa umeishia hapo!
 
Marekani ni aina ya mataifa yanayostawi kwenye mizozo na vita; bila chokochoko huko nje, mle ndani huwa hapakaliko.

They are trying to distract themselves from internal problems
Kuna muvi walicheza kuhusu hii dhana

Lakini ina ukweli mazee, mfano naona kipindi cha JPM tuliunganishwa na imani kwake, na kuwa na maadui wa nje hao 'mabeberu'

Baadaye ikaja korona, It works!
 
Katika mgogoro ambao utaigharimu Afrika basi ni huu. Maisha yetu ya kila siku yanategemea bidhaa za China kwa kiasi kikubwa. Imagine China awekewe vikwqzo vya kiuchumi kama alivowekewa urusi walahi Africa itaangamia.
Bara hili limekosa viongozi wenye uthubutu Wanachojua wao ni ufisadi na kuomba omba kwa wakubwa, Ndio mana kina Makroni wanatutukana mbele ya wake zetu Tena nyumbani kwetu dadeki
Ukiwaza short term unaona kama ni madhara

Ila ukiwaza mbaki zaidi unaiona faida yake nayo inakuja kwenye kujitegemea. Mi nadhani hata wasomi wa ndani hawatumiki vema sababu utaalamu wote tunaununua ukiwa ulishatengenezwa bidhaa nje. Kwa sasa hatuna uhaba wa elimu bali uhaba wa masoko ya bidhaa zetu.

Fikiria tu mfano viatu na nguo; watengenezaji wa viatu wanapata tabu katika kushindana bei na mitumba, je lini tutaacha kusapoti kuwa dampo tu.?
 
Hii issue ya Pelosi kwenda Taiwan ni kumpa adhabu China kwa ku-support Urusi kwa kukiuka vikwazo vyote vya Marekani na kuongeza biashara maradufu na Urusi kwa kununua mafuta na gas zaidi hata kabla ya vikwazo.

Pia China na Russia kujipanga kuiondoa Dollar kwenye biashara Kati Yao, USA ana hasira na China.
 
Hii issue ya Pelosi kwenda Taiwan ni kumpa adhabu China kwa ku-support Urusi kwa kukiuka vikwazo vyote vya Marekani na kuongeza biashara maradufu na Urusi kwa kununua mafuta na gas zaidi hata kabla ya vikwazo.
Kwa hiyo Marekani ndiye mwamuzi wa nchi zingine? Mbona Russia anapoivamia Ukraine, wanasema yenyewe ni sovereign state?

US ndiye chanzo cha ugaidi duniani
 
Hii issue ya Pelosi kwenda Taiwan ni kumpa adhabu China kwa ku-support Urusi kwa kukiuka vikwazo vyote vya Marekani na kuongeza biashara maradufu na Urusi kwa kununua mafuta na gas zaidi hata kabla ya vikwazo.

Pia China na Russia kujipanga kuiondoa Dollar kwenye biashara Kati Yao, USA ana hasira na China.
Download the applicationRT News

2 Aug, 2022 06:05
HomeWorld News

China issues warning over possible Pelosi visit to Taiwan​

Beijing is “fully prepared to respond” if US House Speaker Nancy Pelosi travels to Taiwan, China’s UN envoy says

Permanent representative of China to the United Nations, Zhang Jun © AFP / Kena Betancur
A possible visit of US House Speaker Nancy Pelosi to the self-governed island of Taiwan would undermine relations between China and the US, Beijing’s Ambassador to the UN, Zhang Jun, has said.

Media reports have suggested that Pelosi, who is third in line to the US presidency, could land in Taiwan on Tuesday, becoming the most high-ranking American official to visit the island since 1997.

“Such a visit is apparently dangerous and provocative,” Zhang Jun said during a briefing on Monday. Among other things, it would “send a wrong signal to the separatist elements” in Taiwan, infringe on China’s sovereignty and territorial integrity, threaten peace and stability in the region, and “undermine the relationship between China and the US,” he added.

“China is fully prepared to respond. If the US insists on making the visit, China will take firm and strong measures to safeguard its national sovereignty and territorial integrity, and the US has to bear all the serious consequences arising thereof,” the envoy warned.

====
Ebu tuone kama adhabu itatekelezeka!!
 
Una akili za kitoto sana,ww unafikiri wamarekani wanatupenda sana nin[emoji848],yaan wanataman wangebaki hata wenyewe
Kwahiyo wewe ndio unawapenda mkuu. Hii dunia inaendeshwa katika mfumo wa mwenye nguvu ndio mlaji wewe. Unafikir hata kama ungekuwa wewe usingefanya anayofanya mkuu.

Sema jamaa sio vitu vyote wanaingia kichwa kichwa wanapiga hesabu za faida zaid ya hasara na ndio maana walijiondoa Afghanistan.
 
Back
Top Bottom