The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 2,113
- 6,251
Watu zaidi ya laki 3 wanaifuatilia flight SPAR19 katika mtandao wa flight24 ndege USAF iliyombeba speaker wa USA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haja diverge wala kupindisha kitu kinaelekea Taiwan. Baada ya masa 4 au 5 kitu USAF SPAR19 itakua inatua TaiwanJaman mnaofatilia live pelosi hajafika tuuu...au ka diverge
Zaidi ya watu 200,000 wanaifuatilia ndege iliyombeba Nancy Pelosi kuelekea Taiwan
Ndege hiyo yenye Namba SPAR19 imilikiwayo na USAF
Hii imevunja rekodiiiView attachment 2311798
Bado masaa kama 4 hivi mbichi na mbivu zitajulikana.Jaman mnaofatilia live pelosi hajafika tuuu...au ka diverge
Kamama hakafika Bado ..?Bado masaa kama 4 hivi mbichi na mbivu zitajulikana.
Ha haa bado mkuu, ngoja nichek kamefika wapi, ila ni kama China italegeza maana naona U.S.A hawajatishwa na mikwaraKamama hakafika Bado ..?
Unaumwa sio bureNawe unavaa kobazi?
Jamaa ana chuki za wazi mkuu anaulizwa kingine analeta kingine haileti maanaSheikh mbona matusi tena?
Sasa si ndiyo uende uko uwe chakula cha missiles za China? Anyways, jokes aside, usikate tamaa pleaseWazipige tu maisha yenyewe nshakata nayo tamaa
Au China alijua tukio hili lazima lifuatiliwe ulimwenguni kote, so akaona afanye promo ya silaha zake? Hii itakuwa zaidi ya mara 1,000,000,000,000,000 ya Royo Tua.Sio Kwa beat hili la china sio poa ujue Leo nimeona matank yanayo eleza juu ya Maji na kutembea nchi kavu yamejazana, halafu hao ni kawaida yao kutoa matamko wasikupumbaze [emoji1787][emoji1787]View attachment 2311893
Ngoja tu tushangae, because mkwara aliochimbwa Marekani ni zaidi ya ule wa PutinWatu nawashangaa sana, hivi watu kwa akili zenu mnafikiri China atafanya nini hapo.
...according to flight tracker she is less than an hour from Taipei. The flight number is SPAR 19 if anyone wants to check (sina uhakika)!Taiwanese and Japanese media reporting 8x F-15 fighters and 5x tanker aircraft just took off from Okinawa. Only 385nm from Taiwan https://t.co/PB4lTQ1UQp
Nadhani China anamwona Mmarekani kama vile Mmarekani anavyomwona Osama Bin Laden (kama bado angali hai).kwa hiyo kuna mkataba wa kiongozi yoyote wa US asikanyage TAIWAN?.
😂😂