Tetesi: Marekani Kuishambulia Iran muda wowote kutoka sasa

IRAN KWA SASA HAWEZI KUFUNGA MLANGO WA HORMUZ COZ BADO ANAENDELEZA BIASHARA YA KUUZA MAFUTA KAMA KAWAIDA, JUZI CHINA [emoji630] KAENDA KUCHUKUA MAFUTA NA MMELI WAKE UMEONEKANA, HUYO IRAN USIFANANIZE NA UPUUZI, HAO IZRAILI WAWAMALIZE HAMAS KWANZA
Anamuuzia Nani?! CHINA,leta ushahidi tuone?!
Wakati nchi zote zile 8 zilizositishiwa msamaha wa kununua mafuta ya Iran zimesitisha,labda unaizungumzia Tanzania ndo mnunuzi
 
Ata Tz haiwezi kununua pia coz wako under control mkuu
Anamuuzia Nani?! CHINA,leta ushahidi tuone?!
Wakati nchi zote zile 8 zilizositishiwa msamaha wa kununua mafuta ya Iran zimesitisha,labda unaizungumzia Tanzania ndo mnunuzi
 
Siyo kweli sema mmarekani ni mbabe tu.
 
Kwahiyo Zanzibar ni waarabu.
Wewe nawe wawapi?
 
Anamuuzia Nani?! CHINA,leta ushahidi tuone?!
Wakati nchi zote zile 8 zilizositishiwa msamaha wa kununua mafuta ya Iran zimesitisha,labda unaizungumzia Tanzania ndo mnunuzi
Sjui unataka nn tena mkuu, ushahidi huo apo, alaf pia India na Turkey [emoji1250] wanaendelea kununua huko
 
mwenye meli kasema wafanyakazi waliona 'flying objects' kabala kulipuka...na hakuna mines,machoko wa marekani wanang'ang'ania ni mines na video yao waliyoedit adobe
 
mwenye meli kasema wafanyakazi waliona 'flying objects' kabala kulipuka...na hakuna mines,machoko wa marekani wanang'ang'ania ni mines na video yao waliyoedit adobe
Kwani huwezi kuchangia bila matusi?!
 
Uzi umepoteza maana kuna watoto wa kiume wanachambana humu, mara udini, ushoga, nk eti kisa vita ya kupiganishwa humu jamvini
 
TRAMP ANATAKA MAZUNGUMZO YARUDI KWENYE MEZA HUKO BAADA YA MELI ZA MAFUTA KUCHOMWA [emoji23][emoji23][emoji23], KUFELI KWENGINE
 

Attachments

  • Screenshot_20190614-204647.jpeg
    78.5 KB · Views: 16
  • Screenshot_20190614-204717.jpeg
    80.7 KB · Views: 17
Tafuta pesa Mtanzania, hizi habari za kahawani hazitakusaidia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…