Marekani kujenga bandari Gaza ni kuzuga. Hana nia nzuri na Wapalestina

Marekani kujenga bandari Gaza ni kuzuga. Hana nia nzuri na Wapalestina

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Watu wanakufa sasa kwa njaa Gaza na kuna malori ya misaada kwa mamia kwenye mipaka ya Gaza ambayo yameshindwa kuingia huko kikwazo ikiwa ni ruhusa ya Israel.

Marekani kwa kujionesha kuwahurumia wanaokaribia kufa njaa imekuwa ikidondosha misaada michache ya michache ya chakula na sasa imesema inatarajia kujenga bandari ili kurahisisha ufikishwaji wa misaada huko.

Bandari hiyo inayotajwa kuwa ni ya muda haitaweza kuanza kazi mpaka baada ya miezi miwili pale itakapokamilika.

Kuna umuhimu gani wa kujenga bandari kupeleka misaada hapo baadae badala ya kuilazimisha Israel ifungue mipaka na kupitisha malori ya misaada ambayo yamekuwa kwenye foleni ya kusubiri muda mrefu.
 
Ni wahuni tu, na hiyo bandari ni ubunifu kwa ajili yakuisaidia Israel kupokea silaha kutoka mataifa washirika pamoja na marekani yenyewe kwasababu Houth wameziba njia ya awali iliyozoeleka(red see)
 
Watu wanakufa sasa kwa njaa Gaza na kuna malori ya misaada kwa mamia kwenye mipaka ya Gaza ambayo yameshindwa kuingia huko kikwazo ikiwa ni ruhusa ya Israel.

Marekani kwa kujionesha kuwahurumia wanaokaribia kufa njaa imekuwa ikidondosha misaada michache ya michache ya chakula na sasa imesema inatarajia kujenga bandari ili kurahisisha ufikishwaji wa misaada huko.

Bandari hiyo inayotajwa kuwa ni ya muda haitaweza kuanza kazi mpaka baada ya miezi miwili pale itakapokamilika.

Kuna umuhimu gani wa kujenga bandari kupeleka misaada hapo baadae badala ya kuilazimisha Israel ifungue mipaka na kupitisha malori ya misaada ambayo yamekuwa kwenye foleni ya kusubiri muda mrefu.
ni katika kuimarisha uwepo wao mashariki ya kati 🐒
 
Ni wahuni tu, na hiyo bandari ni ubunifu kwa ajili yakuisaidia Israel kupokea silaha kutoka mataifa washirika pamoja na marekani yenyewe kwasababu Houth wameziba njia ya awali iliyozoeleka(red see)
NI kitu kiko wazi kabisa.
Kwani wakijenga si ni lazima wapate ushirikiano na Israel.Sasa wanashindwa vipi kuwaambia misaada yetu tunapitisha Rafah au wacheni malori yapite.
 
ni katika kuimarisha uwepo wao mashariki ya kati 🐒
Wewe akili yako imekuwa kali kuona hizo njama lakini Mfalme Abdallah na Elsisi na serikali zao zote wameshindwa kuona na kukemea.Wameshindwa na Afrika kusini.
Mfalme Abdalla wa Jordan uhodari wake ni kushirikia kwenye ndege za kivita kudondosha vyakula .Ni akili za kibwege tu.
 
Wewe akili yako imekuwa kali kuona hizo njama lakini Mfalme Abdallah na Elsisi na serikali zao zote wameshindwa kuona na kukemea.Wameshindwa na Afrika kusini.
Mfalme Abdalla wa Jordan uhodari wake ni kushirikia kwenye ndege za kivita kudondosha vyakula .Ni akili za kibwege tu.
Abdel Fattah El-Sisi na King Abdullah,

ukiwaangalia usoni, na tones zao wakiongea but pia na body language zao,
utagundua kwamba wanaunga mkono na wanaupongeza mpango huo wa marekani lakini pia na uingereza kujenga makambi makubwa ya kijeshi huko Ghaza .....

hao majamaa wanawagwaya mno Hamasi. Hamas kwao ni kitisho kikubwa kwa wao kusalia madarakani na kutawala kwa Amani 🐒

wako radhi kuwasaidia marekani na uingereza kwa namna yoyote ili kutimiza azma yao hiyo ya kujiimarisha kijeshi huko ghaza 🐒

kwa kufanya hivyo ndipo sasa watakua na uhakika wa kutawala maeneo yao kwa uhakika na Amani zaidi, wakati Hamasi ikiwa dhaifu sana huko mashariki ya kati 🐒
 
Abdel Fattah El-Sisi na King Abdullah,

ukiwaangalia usoni, na tones zao wakiongea but pia na body language zao,
utagundua kwamba wanaunga mkono na wanaupongeza mpango huo wa marekani lakini pia na uingereza kujenga makambi makubwa ya kijeshi huko Ghaza .....

hao majamaa wanawagwaya mno Hamasi. Hamas kwao ni kitisho kikubwa kwa wao kusalia madarakani na kutawala kwa Amani 🐒

wako radhi kuwasaidia marekani na uingereza kwa namna yoyote ili kutimiza azma yao hiyo ya kujiimarisha kijeshi huko ghaza 🐒

kwa kufanya hivyo ndipo sasa watakua na uhakika wa kutawala maeneo yao kwa uhakika na Amani zaidi, wakati Hamasi ikiwa dhaifu sana huko mashariki ya kati 🐒
Hakuna namna nyengine ya kutafsriri ukimya wa ,Elsisi,mfalme Abdallah na Muhamad bin Suleimani wa Saudia isipokuwa hivyo kwamba wanaunga mkono kiaina kushindwa kwa Hamas kwa maslahi ya mabeberu
 
Watu wanakufa sasa kwa njaa Gaza na kuna malori ya misaada kwa mamia kwenye mipaka ya Gaza ambayo yameshindwa kuingia huko kikwazo ikiwa ni ruhusa ya Israel.

Marekani kwa kujionesha kuwahurumia wanaokaribia kufa njaa imekuwa ikidondosha misaada michache ya michache ya chakula na sasa imesema inatarajia kujenga bandari ili kurahisisha ufikishwaji wa misaada huko.

Bandari hiyo inayotajwa kuwa ni ya muda haitaweza kuanza kazi mpaka baada ya miezi miwili pale itakapokamilika.

Kuna umuhimu gani wa kujenga bandari kupeleka misaada hapo baadae badala ya kuilazimisha Israel ifungue mipaka na kupitisha malori ya misaada ambayo yamekuwa kwenye foleni ya kusubiri muda mrefu.
waislam ni watu wajinga sana , hamjawai jiuliza kwann Hamas anakusanya kodi hapo Gaza ila halet maendeleo ?
 
Watu wanakufa sasa kwa njaa Gaza na kuna malori ya misaada kwa mamia kwenye mipaka ya Gaza ambayo yameshindwa kuingia huko kikwazo ikiwa ni ruhusa ya Israel.

Marekani kwa kujionesha kuwahurumia wanaokaribia kufa njaa imekuwa ikidondosha misaada michache ya michache ya chakula na sasa imesema inatarajia kujenga bandari ili kurahisisha ufikishwaji wa misaada huko.

Bandari hiyo inayotajwa kuwa ni ya muda haitaweza kuanza kazi mpaka baada ya miezi miwili pale itakapokamilika.

Kuna umuhimu gani wa kujenga bandari kupeleka misaada hapo baadae badala ya kuilazimisha Israel ifungue mipaka na kupitisha malori ya misaada ambayo yamekuwa kwenye foleni ya kusubiri muda mrefu.
Kati ya wewe na wapalestina nani anajua umuhimu wa msada wa wamarekani na jamii nyingine zisizo waislamu?
Hiyo bandari ni msaada mkubwa kwa watu wanaoteseka kutokana na ujinga wa watu aina yako.
 
Hili balaa linalo wakumba wapalestina likawe funzo na darasa tosha kwao, viongozi wakuu wa hamas wanatoa amri na vitisho wakiwa mbali kabisa huku wanakula bata na familia zao lakini wanao hangaika na kuteseka ni wao wanao tumwa kama mbwa, waarabu wenzao wamebaki kupiga kelele kama mbwa koko anae mbwekea mtu na hawezi kumng'ata hadi waafrika kusini ndio wana jitutumua kutaka kuwatetea, kama hawata jifunza kwa hili ndio basi tena
 
waislam ni watu wajinga sana , hamjawai jiuliza kwann Hamas anakusanya kodi hapo Gaza ila halet maendeleo ?
wewe ni mpumbavu,nenda kajielimishe zaidi kabla ya kubwabwaja!Hujui kuwa Gaza iko under blockade for dacades?Yaani Israel ndio imekuwa ikiamua nini kifanyike gaza,kabla hata ya hiyo oct 7,Israel imekuwa ikicontrol kila kinachoingia Gaza!
Israel imezuia hadi mradi wa uwanja wa ndege Gaza halafu unaleta porojo hapa!Shwain!
Halafu eti israel wanasema mtu wa Gaza akita kusafiri kwenda ng'ambo basi aende kwanza Egypt ndio apande ndege huko!
upuuzi gani huo?
 
waislam ni watu wajinga sana , hamjawai jiuliza kwann Hamas anakusanya kodi hapo Gaza ila halet maendeleo ?
Wewe ndo mjinga Gaza city ilikua nzuri kuliko jiji la Dar es salaam, na pia ndani ya miaka miwili baada ya vita kuisha itaipiku pia.....ilikua na hospitali za rufaa zinazo zidi muhimbili hospitali 7, vyuo vikuu 4, barabara zilikua na taa kuliko za hapa kwetu, mbona mpaka leo huja hoji naendeleo ya dar.
 
Watu wanakufa sasa kwa njaa Gaza na kuna malori ya misaada kwa mamia kwenye mipaka ya Gaza ambayo yameshindwa kuingia huko kikwazo ikiwa ni ruhusa ya Israel.

Marekani kwa kujionesha kuwahurumia wanaokaribia kufa njaa imekuwa ikidondosha misaada michache ya michache ya chakula na sasa imesema inatarajia kujenga bandari ili kurahisisha ufikishwaji wa misaada huko.

Bandari hiyo inayotajwa kuwa ni ya muda haitaweza kuanza kazi mpaka baada ya miezi miwili pale itakapokamilika.

Kuna umuhimu gani wa kujenga bandari kupeleka misaada hapo baadae badala ya kuilazimisha Israel ifungue mipaka na kupitisha malori ya misaada ambayo yamekuwa kwenye foleni ya kusubiri muda mrefu.
Marekani angekuwa na nia ya kuwasaidia Wapalestina angeishinikiza Israel kusitisha vita.
 
Watu wanakufa sasa kwa njaa Gaza na kuna malori ya misaada kwa mamia kwenye mipaka ya Gaza ambayo yameshindwa kuingia huko kikwazo ikiwa ni ruhusa ya Israel.

Marekani kwa kujionesha kuwahurumia wanaokaribia kufa njaa imekuwa ikidondosha misaada michache ya michache ya chakula na sasa imesema inatarajia kujenga bandari ili kurahisisha ufikishwaji wa misaada huko.

Bandari hiyo inayotajwa kuwa ni ya muda haitaweza kuanza kazi mpaka baada ya miezi miwili pale itakapokamilika.

Kuna umuhimu gani wa kujenga bandari kupeleka misaada hapo baadae badala ya kuilazimisha Israel ifungue mipaka na kupitisha malori ya misaada ambayo yamekuwa kwenye foleni ya kusubiri muda mrefu.
Ukiona manyoya, ujue kaisha huyo!
Ilipangwa iwe hivyo, piga ua, hamisha watu kaskazini Gaza, zuia misaada kutoka Egypt, sasa, wanakuja kujenga bandari ya "muda" Ghaza! Gaza ndio, imeenda hiyo, wajomba hawatatoka, may be baada ya miaka 500!
Hapo wataweka military base, mafuta yatachimbwa,
 
NI kitu kiko wazi kabisa.
Kwani wakijenga si ni lazima wapate ushirikiano na Israel.Sasa wanashindwa vipi kuwaambia misaada yetu tunapitisha Rafah au wacheni malori yapi

NI kitu kiko wazi kabisa.
Kwani wakijenga si ni lazima wapate ushirikiano na Israel.Sasa wanashindwa vipi kuwaambia misaada yetu tunapitisha Rafah au wacheni malori yapite.
Wanacheza na akili za watu,wanapoteza muda ili kuipa Israel fursa zaidi yakutimiza malengo yao.
 
Kati ya wewe na wapalestina nani anajua umuhimu wa msada wa wamarekani na jamii nyingine zisizo waislamu?
Hiyo bandari ni msaada mkubwa kwa watu wanaoteseka kutokana na ujinga wa watu aina yako.
Ingekuwa hao wapalestina ndio wameomba wakapewa ingekuwa kama unavyosema
Kumbe uamuzi ni wa Marekani ujue kuna ajenda ya siri.
si nini mnajali demokrasia.Basi wangeulizwa watu wa Gaza wanachokitaka na naamini wangesema mayahudi waondoke ndio kipaumbele chao.
 
Back
Top Bottom