Marekani kujenga bandari Gaza ni kuzuga. Hana nia nzuri na Wapalestina

Marekani kujenga bandari Gaza ni kuzuga. Hana nia nzuri na Wapalestina

Huu mgogoro una utata mwingi sana. Pande zote mbili zina visasi vya balaa. Mmarekani yeye anajulikana ni mnafiki aliyekubuhu na hana huruma hata chembe. Hakuna kitu mmarekani atafanya bila kujua atanufaika vipi. Tukiachana na mambo ya Gaza hata huku Afrika madini yetu yanachotwa na mmarekani kwa mikataba ya kilaghai. Hakuna mkataba nchi zetu zimesaini na mmarekani ukawa na maslahi kwa nchi zetu.
 
Unaendeshwa na hisia za kitoto kama ambavyo umedhani tu unaongea na mtoto.Sina cha kukusaidia zaidi ya kukushauri ujifunze kukubali ulegevu wako na kutumia akili nyingi.
Nimeshaelewa najadili na mtu wa namna gani so acha nipite kushoto tu!Usiku mwema!
 
Huu mgogoro una utata mwingi sana. Pande zote mbili zina visasi vya balaa. Mmarekani yeye anajulikana ni mnafiki aliyekubuhu na hana huruma hata chembe. Hakuna kitu mmarekani atafanya bila kujua atanufaika vipi. Tukiachana na mambo ya Gaza hata huku Afrika madini yetu yanachotwa na mmarekani kwa mikataba ya kilaghai. Hakuna mkataba nchi zetu zimesaini na mmarekani ukawa na maslahi kwa nchi zetu.
Ni kweli hilo lipo ila lakini inasikitisha zaidi kwamba wasomi wetu/wataalam wetu ambao ndo tuliwategemea watuepushe na janga hili lakini badala yake ndo wamekuwa vinara wa kututweza na kusaini hiyo Mikataba ya Kilaghai. Very sad.
 
Ni kweli hilo lipo ila lakini inasikitisha zaidi kwamba wasomi wetu/wataalam wetu ambao ndo tuliwategemea watuepushe na janga hili lakini badala yake ndo wamekuwa vinara wa kututweza na kusaini hiyo Mikataba ya Kilaghai. Very sad.
Mkuu kweli wasomi wetu wanakera ila kuna muda mwingine ni hatari sana kwao kuwavimbia mabeberu. Hawa jamaa ukiwavimbia sana wasipokuua basi watahakikisha wanakupiga fitina moja balaa. Mabeberu kudili nao inahitaji kujitoa sana. CCM wanajitahidi sana kwenda nao sawa.
 
Ni kweli hilo lipo ila lakini inasikitisha zaidi kwamba wasomi wetu/wataalam wetu ambao ndo tuliwategemea watuepushe na janga hili lakini badala yake ndo wamekuwa vinara wa kututweza na kusaini hiyo Mikataba ya Kilaghai. Very sad.
Mkuu kweli wasomi wetu wanakera ila kuna muda mwingine ni hatari sana kwao kuwavimbia mabeberu. Hawa jamaa ukiwavimbia sana wasipokuua basi watahakikisha wanakupiga fitina moja balaa. Mabeberu kudili nao inahitaji kujitoa sana. CCM wanajitahidi sana kwenda nao sawa.
 
Mkuu kweli wasomi wetu wanakera ila kuna muda mwingine ni hatari sana kwao kuwavimbia mabeberu. Hawa jamaa ukiwavimbia sana wasipokuua basi watahakikisha wanakupiga fitina moja balaa. Mabeberu kudili nao inahitaji kujitoa sana. CCM wanajitahidi sana kwenda nao sawa.
OK. Lakini bado hata CCM yenyewe hawajatulia yan wapo-wapo tu na maneno meeengi.
 
Mkuu kweli wasomi wetu wanakera ila kuna muda mwingine ni hatari sana kwao kuwavimbia mabeberu. Hawa jamaa ukiwavimbia sana wasipokuua basi watahakikisha wanakupiga fitina moja balaa. Mabeberu kudili nao inahitaji kujitoa sana. CCM wanajitahidi sana kwenda nao sawa.
Ni hatari
 
Watu wanakufa sasa kwa njaa Gaza na kuna malori ya misaada kwa mamia kwenye mipaka ya Gaza ambayo yameshindwa kuingia huko kikwazo ikiwa ni ruhusa ya Israel.

Marekani kwa kujionesha kuwahurumia wanaokaribia kufa njaa imekuwa ikidondosha misaada michache ya michache ya chakula na sasa imesema inatarajia kujenga bandari ili kurahisisha ufikishwaji wa misaada huko.

Bandari hiyo inayotajwa kuwa ni ya muda haitaweza kuanza kazi mpaka baada ya miezi miwili pale itakapokamilika.

Kuna umuhimu gani wa kujenga bandari kupeleka misaada hapo baadae badala ya kuilazimisha Israel ifungue mipaka na kupitisha malori ya misaada ambayo yamekuwa kwenye foleni ya kusubiri muda mrefu.
Okay! Wewe mwenye nia nzuri umefanya nini kusaidia wapalestina?!
 
Watu wanakufa sasa kwa njaa Gaza na kuna malori ya misaada kwa mamia kwenye mipaka ya Gaza ambayo yameshindwa kuingia huko kikwazo ikiwa ni ruhusa ya Israel.

Marekani kwa kujionesha kuwahurumia wanaokaribia kufa njaa imekuwa ikidondosha misaada michache ya michache ya chakula na sasa imesema inatarajia kujenga bandari ili kurahisisha ufikishwaji wa misaada huko.

Bandari hiyo inayotajwa kuwa ni ya muda haitaweza kuanza kazi mpaka baada ya miezi miwili pale itakapokamilika.

Kuna umuhimu gani wa kujenga bandari kupeleka misaada hapo baadae badala ya kuilazimisha Israel ifungue mipaka na kupitisha malori ya misaada ambayo yamekuwa kwenye foleni ya kusubiri muda mrefu.
😀😀Leo umetepeta? Unaongea kwa upoole! Zile Tambo za IDF hawataingiza Gaza majeshi watakiona Cha mtema kuni hazipo tena anyway wote sisi ni binadamu ndo maana hata Hamas walipoingia kuuwa watu kule Israel bila kujali ni wayahudi au la!(maana waliua Hadi watanzania ) tulipiga Sana kelele nyie mlishangilia
 
Life is a game - no strings attached dating is its rules
Live Women
 
Mnalia lia nini si mlisema hamas anapeleka moto 😁😁 ungekuwa wa maana kama ungeongelea drc na sudan
 
Israeli ni dola huru ina haki ya kujilinda dhidi ya ugaidi pale inaposhambuliwa
Vp kuhusu Palestina,wenyewe hawana haki ya kujilinda?Ila Israel ndio mwenye hiyo haki tu!
kabla ya oct 7,wapalestina wamekuwa wakiuwawa na Israel huko occupied west bank,kwa mwaka jana pekee kabla ya oct 7,walikuwa wameuwawa wapalestina 234!Lakini pia Israel kila uchwao,wamekuwa wakiongeza settlements katika ardhi ya wapalestina,mbona hayo hamsemi?

Hiyo haki ya kujilinda imetengenezwa na international community na ni hiyo hiyo community imeona war on Gaza sio self defense but a collective punishment that could amount to genocide!
 
Marekani angekuwa na nia ya kuwasaidia Wapalestina angeishinikiza Israel kusitisha vita.
Kwani Hamas hawataki vita? Mm nachojua Hamas walianzisha vita October 7 na walitegemea Israel angejibu. Kwa hiyo tuache wapigane tusubili mshindi
 
Back
Top Bottom