Marekani kujenga bandari Gaza ni kuzuga. Hana nia nzuri na Wapalestina

Marekani kujenga bandari Gaza ni kuzuga. Hana nia nzuri na Wapalestina

Watu wanakufa sasa kwa njaa Gaza na kuna malori ya misaada kwa mamia kwenye mipaka ya Gaza ambayo yameshindwa kuingia huko kikwazo ikiwa ni ruhusa ya Israel.

Marekani kwa kujionesha kuwahurumia wanaokaribia kufa njaa imekuwa ikidondosha misaada michache ya michache ya chakula na sasa imesema inatarajia kujenga bandari ili kurahisisha ufikishwaji wa misaada huko.

Bandari hiyo inayotajwa kuwa ni ya muda haitaweza kuanza kazi mpaka baada ya miezi miwili pale itakapokamilika.

Kuna umuhimu gani wa kujenga bandari kupeleka misaada hapo baadae badala ya kuilazimisha Israel ifungue mipaka na kupitisha malori ya misaada ambayo yamekuwa kwenye foleni ya kusubiri muda mrefu.
Tatizo ni uporaji wa chakula hicho unaofanywa na kundi la HAMAS. Kumbuka kwamba HAMAS sio walengwa wa misaada hiyo ila wao kama wapiganaji dhidi ya IDF wanatumia ubabe wa kunyang'anya na kuteka malori yanayosafirisha chakula na vifaa tiba hivyo. Ukileta fyoko-fyoko wanakulamba kichwa chap na kama Dereva na Wahudumu ni watu chini ya wa UN, HAMAS fasta wanasema ni kazi ya IDF.
 
Tatizo ni uporaji wa chakula hicho unaofanywa na kundi la HAMAS. Kumbuka kwamba HAMAS sio walengwa wa misaada hiyo ila wao kama wapiganaji dhidi ya IDF wanatumia ubabe wa kunyang'anya na kuteka malori yanayosafirisha chakula na vifaa tiba hivyo. Ukileta fyoko-fyoko wanakulamba kichwa chap na kama Dereva na Wahudumu ni watu chini ya wa UN, HAMAS fasta wanasema ni kazi ya IDF.
maelezo hayo ni kusema vita imekuwa kali.Kila mmoja ni mjanja kuliko mwenzake.
Hatimae mshindi atakuwa Hamas.
 
maelezo hayo ni kusema vita imekuwa kali.Kila mmoja ni mjanja kuliko mwenzake.
Hatimae mshindi atakuwa Hamas.
Ni suala la muda tuu; kitaeleweka. Ila Wapalestina walitarajia kupata walau faraja kutoka kwa wapiganaji wa HAMAS ambao wanadai kuwapigania Wapalestina.
 
Watu wanakufa sasa kwa njaa Gaza na kuna malori ya misaada kwa mamia kwenye mipaka ya Gaza ambayo yameshindwa kuingia huko kikwazo ikiwa ni ruhusa ya Israel.

Marekani kwa kujionesha kuwahurumia wanaokaribia kufa njaa imekuwa ikidondosha misaada michache ya michache ya chakula na sasa imesema inatarajia kujenga bandari ili kurahisisha ufikishwaji wa misaada huko.

Bandari hiyo inayotajwa kuwa ni ya muda haitaweza kuanza kazi mpaka baada ya miezi miwili pale itakapokamilika.

Kuna umuhimu gani wa kujenga bandari kupeleka misaada hapo baadae badala ya kuilazimisha Israel ifungue mipaka na kupitisha malori ya misaada ambayo yamekuwa kwenye foleni ya kusubiri muda mrefu.
Marekani hana ubavu wa kuilazimisha Israeli
 
wewe ni mpumbavu,nenda kajielimishe zaidi kabla ya kubwabwaja!Hujui kuwa Gaza iko under blockade for dacades?Yaani Israel ndio imekuwa ikiamua nini kifanyike gaza,kabla hata ya hiyo oct 7,Israel imekuwa ikicontrol kila kinachoingia Gaza!
Israel imezuia hadi mradi wa uwanja wa ndege Gaza halafu unaleta porojo hapa!Shwain!
Halafu eti israel wanasema mtu wa Gaza akita kusafiri kwenda ng'ambo basi aende kwanza Egypt ndio apande ndege huko!
upuuzi gani huo?
Israeli ana control gaza ili kudhibiti ugaidi
 
Sasa km bandari inajengwa kwa ajili ya israeli kupokea silaha kwa mataifa rafiki

Iyo bahari ya shamu ina umuhimu gani?
Marekani na Israel wanamuheshimu sana Hizbullah.
Vita vikaichanganya ana uwezo mkubwa wa kuzipiga meli zote zinazoelekea Israel bandari ya Haifa tena kwa uhakika kabisaj tofauti na Houth ambao mara nyingi wanapiga meli tofauti.
 
Nilikuwa namuelimisha huyo ndugu yako ambaye hata hajui bahari ya shamu inakalia wapi

Israeli na USA hawezi kuogopa magaidi ya hezbollah

Kwasababu ndani ya nchi yao hawana ushawishi wanategemea pesa za wa persia kuendesha vita visivyokuwa na mbele wala nyuma

Viongozi wa serkali na wananchi wa lebanon hawajawahi kutaka vita na israeli

Vita ili iwe na nguvu lazima asilimia kubwa ya wananchi waunge mkono
Marekani na Israel wanamuheshimu sana Hizbullah.
Vita vikaichanganya ana uwezo mkubwa wa kuzipiga meli zote zinazoelekea Israel bandari ya Haifa tena kwa uhakika kabisaj tofauti na Houth ambao mara nyingi wanapiga meli tofauti.
 
wewe ni mpumbavu,nenda kajielimishe zaidi kabla ya kubwabwaja!Hujui kuwa Gaza iko under blockade for dacades?Yaani Israel ndio imekuwa ikiamua nini kifanyike gaza,kabla hata ya hiyo oct 7,Israel imekuwa ikicontrol kila kinachoingia Gaza!
Israel imezuia hadi mradi wa uwanja wa ndege Gaza halafu unaleta porojo hapa!Shwain!
Halafu eti israel wanasema mtu wa Gaza akita kusafiri kwenda ng'ambo basi aende kwanza Egypt ndio apande ndege huko!
upuuzi gani huo?
Ndiyo malipo ya kumchokoza usiyemuweza.
 
Marekani na Israel wanamuheshimu sana Hizbullah.
Vita vikaichanganya ana uwezo mkubwa wa kuzipiga meli zote zinazoelekea Israel bandari ya Haifa tena kwa uhakika kabisaj tofauti na Houth ambao mara nyingi wanapiga meli tofauti.
Ndiyo nani huwa anakudanganya utudanganye hivyo?
 
Marekani angekuwa na nia ya kuwasaidia Wapalestina angeishinikiza Israel kusitisha vita.
Bila Mateka kuachiwa? Marekani hajawahi kuwa mjinga kama nyie wa upande wa pili
 
Watu wanakufa sasa kwa njaa Gaza na kuna malori ya misaada kwa mamia kwenye mipaka ya Gaza ambayo yameshindwa kuingia huko kikwazo ikiwa ni ruhusa ya Israel.

Marekani kwa kujionesha kuwahurumia wanaokaribia kufa njaa imekuwa ikidondosha misaada michache ya michache ya chakula na sasa imesema inatarajia kujenga bandari ili kurahisisha ufikishwaji wa misaada huko.

Bandari hiyo inayotajwa kuwa ni ya muda haitaweza kuanza kazi mpaka baada ya miezi miwili pale itakapokamilika.

Kuna umuhimu gani wa kujenga bandari kupeleka misaada hapo baadae badala ya kuilazimisha Israel ifungue mipaka na kupitisha malori ya misaada ambayo yamekuwa kwenye foleni ya kusubiri muda mrefu.
Hakuna bandari inayojengwa Gaza, hayo majambazi yanaenda kuchimba visima vya gesi, wametumia msamiati wa bandari ili wakianza uchimbaji wa visima vya gesi wasipate watu wa kuwahoji wakidhania kinachojengwa ni bandari.
 
Back
Top Bottom