mtimawachi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 2,108
- 3,155
Hao unaowaita halisi ndio hao hao wanaoinamishwaSasa ikiwa anapigana na mshoga wasio na silaha zaidi ya kuomba omba kwa watu vipi siku akipigana na wanaume halisi wasio omba omba silaha itakuwaje?
Kuna proxy gani wa kwenda kimpiganisha na China!?...besides kampuni nyingi za Marekani zimewekeza ChinaVita haiko hivyo.
Unahitaji proxies
Ni kweli, hapo kuna ujumbe jamaa ameufikisha. Wanadiplomasia wa China lazima wauchambue ujumbe una maana gani huu.Wenzetu hawakurupuki kuropoka kama yule wa Uganda, huenda kuna oda alipewa na wakuu ili akamilishe baadhi ya mambo ya kijeshi kwa ajili ya kuingia mzigoni.
Wenzetu hawakurupuki kwamba mmegombana leo au kutofautiana mtazamo basi asubuhi unatupa maguruneti, ni mipango ya muda ili kujua mwenzako ana nini na wewe uzalishe au kuagiza nini ili umvae.
Unaota wewe.Marekani hawezi thubutu kuingia vitani na China,angekuwa na hizo guts angeshaipiga Iran siku nyingi
Ni kweli China itapa vizuizi vikali katika hiyo OP yake anayo taka kufanya hapo Taiwan.General hajaambia waandishi wa habari wala hajayasema maneno yale in public. Kulingana na elimu yake, uzoefu, cheo na intelligence anayoweza access amefanya prediction muda wa vita ya Marekani na China ni 2025 na hapo ndio akaandika memo kwenda kwa maofisa. Alichokifanya ni kazi yake, kawaambia wanajeshi ambayo ndio kazi yao hiyo kukaa chonjo dhidi ya adui.
Hayo yangesemwa na Defence Secretary kwenye press conference ndio ungekuwa utata. Na uzuri wa US kuna uhuru wa habari hata memo ya siri inavuja na watu wanahoji au kuripoti. Hata China na Russia wanafanya assesment vizuri na kutoa mapendekezo ila hayatajwi hadharani.
Sio suala la kuiogofya China hili. Sio classified materials zile, memo ya mawazo ya mtu.
Na hiyo Taiwan haivamiwi kirahisi kama watu tunavyofikiria. Nchi inayotengeneza 40% ya microchips duniani sio ya kizembe na akili zao hazijalala hivyo na udogo wake. Na imezungukwa na maji, unahitaji one of the biggest naval landing operation kuwavamia fukwe zao zile na kusalimika anti ship missiles zao kwa kiasi fulani, sacrifice ya asilimia kadhaa ya kikosi cha kuvamia. Taiwan sio nchi ya China kupanga leo na ikavamia siku tatu zijazo, inahitaji wiki za maandalizi ambazo surveillance itaonyesha maandalizi hayo na Marekani itahamisha Pacific fleet kuja kazini (probability ni kubwa Marekani kuingilia kati)
Ili Marekani ichelewe kuingia Taiwan inabidi China iwe na navy kubwa kuliko sasa jambo ambalo wanakuja kasi, ila iwe na logistics nzuri zaidi. Pia Marekani ikomae kwenye microchips industry ijitosheleze ili isiogope source ya Taiwan kupotea. Yakitokea hayo mawili China inaweza vamia haraka ikapigana siku chache na kuingia Taiwan kukutana na resistance ya army kisha Marekani ikachelewa kurespond baadae ikaona haina haja sana kupigana na China (kama umuhimu wa Taiwan kwake umepungua). Hii scenario inategemeana ila inategemea ubeti kitu kimoja muhimu, response ya Marekani.
Ni maoni yangu
Nimeshaita HALISI so hawawezi kuwa kinyume chake. Bora ungeliniuliza"hao halisi ni akina nani? " hoja yako ingelikuwa na mantiki.Hao unaowaita halisi ndio hao hao wanaoinamishwa
Tusubiri tuone mkuu, Je ni kwamba maafisa wa Jeshi la Marekani hawafahamu madhara ya kuanzisha vita na taifa la kinyuklia au wameamua kupuuzia hilo?Marekani katafuta kibonde wa kumtolea matamko na kumtisha kwa vita ,angesema hivyo kwa Russia uone mchezo kama haujezwa mwaka huu.
Tuacheni masihara Russia anaogopwa sana na Marekani na hiyo ni kutokana na kwamba Marekani anaijua Urusi na anajua anateknolojia za Siri mno.
Mmarekani kwa Mchina: Marekani itapigana na china 2025
Mmarekani kwa Mrusi: Russia sio taifa la kulichezea na uamuzi wa kupigana ni Urusi ni kutotumia akili
Sitaki kuamini kama US hajipangi ipasavyo kwa Taiwan. Na hii itakuwa tofauti kabisa na kule kinachotokea Ukraine. Hii huenda ikawa ni piga nikupige, China ni lazima akubali ardhi yake pia imwage damu. Lazima vyuma vitue Hong Kong.General hajaambia waandishi wa habari wala hajayasema maneno yale in public. Kulingana na elimu yake, uzoefu, cheo na intelligence anayoweza access amefanya prediction muda wa vita ya Marekani na China ni 2025 na hapo ndio akaandika memo kwenda kwa maofisa. Alichokifanya ni kazi yake, kawaambia wanajeshi ambayo ndio kazi yao hiyo kukaa chonjo dhidi ya adui.
Hayo yangesemwa na Defence Secretary kwenye press conference ndio ungekuwa utata. Na uzuri wa US kuna uhuru wa habari hata memo ya siri inavuja na watu wanahoji au kuripoti. Hata China na Russia wanafanya assesment vizuri na kutoa mapendekezo ila hayatajwi hadharani.
Sio suala la kuiogofya China hili. Sio classified materials zile, memo ya mawazo ya mtu.
Na hiyo Taiwan haivamiwi kirahisi kama watu tunavyofikiria. Nchi inayotengeneza 40% ya microchips duniani sio ya kizembe na akili zao hazijalala hivyo na udogo wake. Na imezungukwa na maji, unahitaji one of the biggest naval landing operation kuwavamia fukwe zao zile na kusalimika anti ship missiles zao kwa kiasi fulani, sacrifice ya asilimia kadhaa ya kikosi cha kuvamia. Taiwan sio nchi ya China kupanga leo na ikavamia siku tatu zijazo, inahitaji wiki za maandalizi ambazo surveillance itaonyesha maandalizi hayo na Marekani itahamisha Pacific fleet kuja kazini (probability ni kubwa Marekani kuingilia kati)
Ili Marekani ichelewe kuingia Taiwan inabidi China iwe na navy kubwa kuliko sasa jambo ambalo wanakuja kasi, ila iwe na logistics nzuri zaidi. Pia Marekani ikomae kwenye microchips industry ijitosheleze ili isiogope source ya Taiwan kupotea. Yakitokea hayo mawili China inaweza vamia haraka ikapigana siku chache na kuingia Taiwan kukutana na resistance ya army kisha Marekani ikachelewa kurespond baadae ikaona haina haja sana kupigana na China (kama umuhimu wa Taiwan kwake umepungua). Hii scenario inategemeana ila inategemea ubeti kitu kimoja muhimu, response ya Marekani.
Ni maoni yangu
Afiche ujinga wake sio.!Kwamba China ishambulie urusi aisee sio lazima ukoment ili upunguze kujiaibisha.
Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Haya mataifa makubwa ya kikomunisti yana tabia za kumega ardhi, nchi ndogondogo zinajihami mno dhidi yao.Ndo maana Japan anajenga Base karibu na Taiwan
Ni kweli kabisa kuwa China ana wakati mgumu kuhusu swala la Taiwan, lakini je tiafa la marekani hali fahamu madhara ya kuanzisha vita na taifa la kinyuklia?Sitaki kuamini kama US hajipangi ipasavyo kwa Taiwan. Na hii itakuwa tofauti kabisa na kule kinachotokea Ukraine. Hii huenda ikawa ni piga nikupige, China ni lazima akubali ardhi yake pia imwage damu. Lazima vyuma vitue Hong Kong.
Hiki ni kipindi ambacho ambacho Taiwan atajisuka sana kiulinzi eneo la anga na majini. Marekani hanaga show mbovu kwenye masuala ya hujuma kama hizi.
Swala la China na mataifa yaliyo na mgogoro na yeye wa kimipaka haina uhusiano na ukomunisti wao maana hii ni historia ya miaka mingi sana toka kipindi cha falme zao na kipindi cha ukoloni.Haya mataifa makubwa ya kikomunisti yana tabia za kumega ardhi, nchi ndogondogo zinajihami mno dhidi yao.
Hapo Taiwan kuna siku kitawaka tu. Na hii kwa namna zote Taiwan ameshajiandaa, usipojiandaa kwa kutafuta washirika wa kuwa karibu yako kuna siku watakuvamia na watachukua eneo lako.
1. Russia alisema atakayemsaidia Ukraine atakutana na mkono mzito, kila leo misaada inaenda Ukraine. Kwanini Russia asimchape US?Marekani katafuta kibonde wa kumtolea matamko na kumtisha kwa vita ,angesema hivyo kwa Russia uone mchezo kama haujezwa mwaka huu.
Tuacheni masihara Russia anaogopwa sana na Marekani na hiyo ni kutokana na kwamba Marekani anaijua Urusi na anajua anateknolojia za Siri mno.
Mmarekani kwa Mchina: Marekani itapigana na china 2025
Mmarekani kwa Mrusi: Russia sio taifa la kulichezea na uamuzi wa kupigana ni Urusi ni kutotumia akili
Hio bajeti sio kwa ajili ya ndani nchini mwake ni pamoja na kwenye base zake1. Russia alisema atakayemsaidia Ukraine atakutana na mkono mzito, kila leo misaada inaenda Ukraine. Kwanini Russia asimchape US?
2. Biden alisema Russia akiivamia tu Ukraine wanalipua bomba la mafuta, na ni kweli US aliripua hilo bomba.
US tusimchukulie wa mchezo mchezo. Mtu ambae kila kona ya dunia yupo ameweka base, na takribani miaka 50 sasa kila mwaka ana vita na operations kibao anazifanya, jamaa yupo vizuri.
Sasa hivi amekiwasha huko Ukraine. Na bado vile vile alikuwa tayari kukiwasha Taiwan dhidi ya China. Nitajie mjinga gani hapa duniani anaweza akawa na guts kama hizi?.
Leo hii Iran, S.Korea pawake moto, unafikiri Russia anaweza kunyanyua miguu yake kuwasaidia hao? Lakini US anaweza akapambana huko Ukraine, Taiwan pia akapeleka misaada, na bado uko Korea au Japan kukinuka akapeleka misaada na majeshi kupambana.
Nenda google, bajeti ya ulinzi ya US, chukua bajeti za ulinzi z UK German France, China, Russia, Canada n.k zijumrishe kwa pamoja na hawafiki nusu ya bajeti ya ulinzi jamaa.