Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati Urusi anaiba cremia Zelensky alikuwa muigizaji kama joti.Hii kauri inathibitisha wazi Zelensky ni mtu aliyewekwa na US kama kibaraka kutimiza malengo ya US! Hayuko kwa maslahi ya Ukraine.
Sasa amani ya nini wakati ameshapoteza raia, askari, pesa n.kSasa ina uhuru gani Kama mambo yake yanaamuliwa na USA
Mfano yeye angekuwa Rais angekubali?Sasa ina uhuru gani Kama mambo yake yanaamuliwa na USA
Nchi nyingi duniani hazipo huru, naweza sema 70% ya nchi zote duniani hazipo huru.Msemaji wa Ikulu ya Marekani John Kirby anasema kwa vile Ukraine ni taifa huru, huru na linalojitawala kikamilifu, Marekani haitamruhusu Rais Zelenskyy kukubali mipango yoyote ya amani iliyopendekezwa na ujumbe wa China mjini Moscow wiki hii.
John kirby bado ameelezea kuwa kuwa maamuzi yoyote yanayoihusu Ukraine yamekuwa yanafanywa na Washington anzia mwaka 2013.
Marekani ameshajichokea zake ,hana uwezo wa kumtia adabu mtu yeyote yule.Subiri wewe US hiyo vita ya Ukraine wameshapata mwanya kumtia mtu adabu na hawatamuacha ndio maana yake, tulieni dikteta akomeshwe
Marekani anawatoa kafara raia wa UkraineKweli US jana kasema kwa sasa hakuna kusitisha vita, ni mwendo wa kibano hadi kieleweke
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Msemaji wa Ikulu ya Marekani John Kirby anasema kwa vile Ukraine ni taifa huru, huru na linalojitawala kikamilifu, Marekani haitamruhusu Rais Zelenskyy kukubali mipango yoyote ya amani iliyopendekezwa na ujumbe wa China mjini Moscow wiki hii.
John kirby bado ameelezea kuwa kuwa maamuzi yoyote yanayoihusu Ukraine yamekuwa yanafanywa na Washington anzia mwaka 2013.
Izo mbinu ziko wapi mkuu mbona Kyiv walitimua mbio jeshi la urusi hadi leo wako pembeni pembeni huko mbinu zao ziliishia wapi? ule msururu wa vifaru karibu 64 ukubwa wake uliishia wapi, naona vimebaki maonyesho pale Kyiv
Soma hiyo twitter hapo juu nani aliyechoka, XI yupo Moscow anataka amani yeye na Putin lakin mnyama anasema hapana waendeleeMarekani ameshajichokea zake ,hana uwezo wa kumtia adabu mtu yeyote yule.
Tumswalie mtume kijumbe muhammad.Siku akili ikimuingia atashtuka nchi yote ni jangwa na magofu, kule middle east na Iran China kaenda kupatanisha, jana Assad baada ya kumaliza ziara yake Moscow kaenda mojakwamoja dubai, dunia hii bila ya hawa mashoga ingelikua na amani sana, huyu shetani atashindwa inshaAllah
Kama Tanzania inaweza kukataa, Ukraine itashindwa vipi ?Hana jeuri ya kukataa laa sivyo hapewi dollars
Hakika sheitwani wa kwenye maandiko matakatifu ndiyo huyuhuyu USA,hakuna mwingineSiku akili ikimuingia atashtuka nchi yote ni jangwa na magofu, kule middle east na Iran China kaenda kupatanisha, jana Assad baada ya kumaliza ziara yake Moscow kaenda mojakwamoja dubai, dunia hii bila ya hawa mashoga ingelikua na amani sana, huyu shetani atashindwa inshaAllah
XI anawaonea huruma raia wa Ulaya kwa namna wanavyopelekewa moto na jeshi katili la Putin.Soma hiyo twitter hapo juu nani aliyechoka, XI yupo Moscow anataka amani yeye na Putin lakin mnyama anasema hapana waendelee
Tumswalie mtume kwa mara nyingine tena.Hakika sheitwani wa kwenye maandiko matakatifu ndiyo huyuhuyu USA,hakuna mwingine
Tanzania imeweza kukataa nini?Kama Tanzania inaweza kukataa, Ukraine itashindwa vipi ?
Kwa iyo misaada ya USA unaipenda alafu unaiombea ianguke , kweli Tanzania ina watu wenye akili ndogo sanaSiku akili ikimuingia atashtuka nchi yote ni jangwa na magofu, kule middle east na Iran China kaenda kupatanisha, jana Assad baada ya kumaliza ziara yake Moscow kaenda mojakwamoja dubai, dunia hii bila ya hawa mashoga ingelikua na amani sana, huyu shetani atashindwa inshaAllah
Kukataa misaada ya fedha za mmarekaniTanzania imeweza kukataa nini?