Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Anayekulipa ndiye boss wakoShida Sio kumsikiliza,shida ni kwamba unaamuriwa Cha kufanya na huna Cha kusema!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anayekulipa ndiye boss wakoShida Sio kumsikiliza,shida ni kwamba unaamuriwa Cha kufanya na huna Cha kusema!
Kwahiyo tumekubaliana Ukraine ni kibaraka wa US?Anayekulipa ndiye boss wako
Taifa gani huru halina mamlaka ya kujitafutia Amani??Msemaji wa Ikulu ya Marekani John Kirby anasema kwa vile Ukraine ni taifa huru, huru na linalojitawala kikamilifu, Marekani haitamruhusu Rais Zelenskyy kukubali mipango yoyote ya amani iliyopendekezwa na ujumbe wa China mjini Moscow wiki hii.
John kirby bado ameelezea kuwa kuwa maamuzi yoyote yanayoihusu Ukraine yamekuwa yanafanywa na Washington anzia mwaka 2013.
Kama ndivyo mnavyoamini kuwa China imetulia kuhusu Taiwan basi mna akili ndogo sanaaaDictatorship countries ndio zinataka uhusiano na US zaidi, ndio maana china hafurukuti kufanya chochote ata akiambiwa Taiwan haimuhusu anatulia zake tu,
SahihiDictatorship countries ndio zinataka uhusiano na US zaidi, ndio maana china hafurukuti kufanya chochote ata akiambiwa Taiwan haimuhusu anatulia zake tu,
Sergei Lavrov naye anasema kuwa kuwa ili Vita vikome, lazima maeneo yaliyo nyakuliwa na Russia kutoka Ukraine yatambuliwe na jamii ya kimataifa kuwa ni maeneo ya Russia, mashtaka dhidi ya Putin yafutwe, luhgha ya kurusi ipewe hadhi,....Kweli US jana kasema kwa sasa hakuna kusitisha vita, ni mwendo wa kibano hadi kieleweke
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kaangalie kazi ya blackwaters ni ipi na kwanini haijapata mikasa mingi ya hovyoHata USA alitumia kundi lake la blackwaters kule Iraq. Au kipindi icho ulikua huna akili au ulikua hujazaliwa?
Msemaji wa Ikulu ya Marekani John Kirby anasema kwa vile Ukraine ni taifa huru, huru na linalojitawala kikamilifu, Marekani haitamruhusu Rais Zelenskyy kukubali mipango yoyote ya amani iliyopendekezwa na ujumbe wa China mjini Moscow wiki hii.
John kirby bado ameelezea kuwa kuwa maamuzi yoyote yanayoihusu Ukraine yamekuwa yanafanywa na Washington anzia mwaka 2013.
Sasa ina uhuru gani Kama mambo yake yanaamuliwa na USA
Hahahahahah utachekesha walionuna. Tangazeni vita mje front urusiAlikuwa ndani sasa yuko nje huko bakhmut na kikundi chake cha kukodi taaban nafsi yake ata jesh hana
Msemaji wa Ikulu ya Marekani John Kirby anasema kwa vile Ukraine ni taifa huru, huru na linalojitawala kikamilifu, Marekani haitamruhusu Rais Zelenskyy kukubali mipango yoyote ya amani iliyopendekezwa na ujumbe wa China mjini Moscow wiki hii.
John kirby bado ameelezea kuwa kuwa maamuzi yoyote yanayoihusu Ukraine yamekuwa yanafanywa na Washington anzia mwaka 2013.
Putin sio dikteta sema ni mtu anaeongoza kwa haki always mwanadamu ndivyo alivyo pale utakapo fanya haki au kumwambia ukweli lazima akuone mbaya
Sasa kama ni Taifa huru linalopaswa kujiamulia mambo yake
Kwanini Mmarekani anasema haitaruhusu ikubaliane na mpango wa China huko sio kuingilia mambo ya Ukraine pia kama wenyewe wakiukubali huo mpango.
Yule mpinzani anatakiwa anyongwe hadharani ni msalitiReferendum iliyojaa uchocheze wa putin aendelee kubaki madarakani, nani anapiga kura duniani kiongozi abaki madarakani milele? kiongozi wa upinzani urusi mpaka leo kamueka jela hamtoi, putin ni mfano madiktea waliokubuhu ulimwnguni
PROPAGANDA tupu PUT IN analinda amani ya UKRAINE na DUNIA kwaujumlaYaani wanaomsupport mrusi kuna muda wanarukwa na akili kwa kujivua ubinaadam.... Putin ni Gaidi zaidi ya Osama
Dawa ya msaliti ni kifo tuMtu wapinzani wake wote wa kweli wanaanguka kutoka maghorofani, wanakula sumu ya polonium na wengine wanaishia jela unasema sio dikteta!