Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,356
- 38,922
Lini imekataa?Kukataa misaada ya fedha za mmarekani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lini imekataa?Kukataa misaada ya fedha za mmarekani
Tangu wakati wa Magufuli hadi leo hii.Lini imekataa?
Yaani china inaonea huruma Ulaya kweli umezidiwa na Uputini na udiktetaXI anawaonea huruma raia wa Ulaya kwa namna wanavyopelekewa moto na jeshi katili la Putin.
Na marekani akiendekeza fyoko fyoko atashangaa bomu limeanguka NY
Hata ingekuwa wewe ungemsikiliza anayezima moto pamoja na wewe au ulisikilize lile li rafiki la muunguza nyumba yako?Sasa ina uhuru gani Kama mambo yake yanaamuliwa na USA
Msemaji wa Ikulu ya Marekani John Kirby anasema kwa vile Ukraine ni taifa huru, huru na linalojitawala kikamilifu, Marekani haitamruhusu Rais Zelenskyy kukubali mipango yoyote ya amani iliyopendekezwa na ujumbe wa China mjini Moscow wiki hii.
John kirby bado ameelezea kuwa kuwa maamuzi yoyote yanayoihusu Ukraine yamekuwa yanafanywa na Washington anzia mwaka 2013.
Marekani imechanganyikiwa na inaogopa sanaaaa huu umoja unaojengwa wa Russia na chinaKama ni nchi huru, Marekani ina haki gani ya kumpangia asikubali au kukubali chochote...
Hiyo itakuwa mbaya kwa USA kwasababu China ataingia waziwazi na kuwa upande wa RussiaKweli US jana kasema kwa sasa hakuna kusitisha vita, ni mwendo wa kibano hadi kieleweke
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kwani hakukuwa na referendums? Acha propaganda za west mkuu.Mtu amebadilisha katiba kwa nguvu aendelee kubaki madarakani unasema sio dikteta,
Kwani sisi tumemlazimisha alete, kwanza analeta msaada gani, sisi misaada tunaiona ya China tu kuanzia barabara, Mashule, Miradi ya majumba, mikopo bank, miradi ya maji nk, au unazumguzia ARVKwa iyo misaada ya USA unaipenda alafu unaiombea ianguke , kweli Tanzania ina watu wenye akili ndogo sana
Nguvu ya marekani ya kuitawala dunia imefika mwisho na vita hii itakavyozidi kuendelea ndio itakuwa mbaya zaidi kwa marekaniPutin alihojiwa na mwandish i mmoja wa habari akaulizwa .
Kwanini hii vita au operashen haikuanza 2014 ? . Akajibu wao urusi walikua bado kumalizia kujiandaa hasa kwenye mifumo ya pesa na silahà kama hypersonic missile .kwa sababu wakifanya hivyo watawekèwa vikwaxo kila aina na kama hamjajiandaa basi mtaathirika pakubwa sana. Ndio maana tumewekewa vikwazo vingi kuliko ncbi yoyote lakini bado havijatuathiri vikwazo hivyo kwa vile tulifanya maandalizi kabla . Kuhusu silaha tunazo za kutosha na zakisasa kuliko taifa lolote .
Kwaifupi imechanganyikiwa, anajua kabisa uwezo wa kimshinda mrusi kwenye hii vita hana na vita ikimalizwa ktk hali hii ni aibu kubwa kwake. USA INATIA HURUMA SANA"John kirby bado ameelezea kuwa kuwa maamuzi yoyote yanayoihusu Ukraine yamekuwa yanafanywa na Washington anzia mwaka 2013."
Kwa kauli hii bado mnasema wasikubali wakat tena maamuz mnawafanyia nyie muachen yeye ajue mbivu na mbichi
Huyo atakuwa ni Mmarekani wa Buza!!!taarifa yake inapingana unaita nchi huru yenye maamuzi yake alafu unasema hatutaruhusu iamue sasa huo uhuru na maamuzi yako wapi
Ungeomba sababu za ukraine pamoja na uhuru huo 2023 ,walikabidhi baadhi ya mambo Yao WashingtonSasa ina uhuru gani Kama mambo yake yanaamuliwa na USA
Duh balaa. Tuombe Mungu vita hii iishe.Putin alihojiwa na mwandish i mmoja wa habari akaulizwa .
Kwanini hii vita au operashen haikuanza 2014 ? . Akajibu wao urusi walikua bado kumalizia kujiandaa hasa kwenye mifumo ya pesa na silahà kama hypersonic missile .kwa sababu wakifanya hivyo watawekèwa vikwaxo kila aina na kama hamjajiandaa basi mtaathirika pakubwa sana. Ndio maana tumewekewa vikwazo vingi kuliko ncbi yoyote lakini bado havijatuathiri vikwazo hivyo kwa vile tulifanya maandalizi kabla . Kuhusu silaha tunazo za kutosha na zakisasa kuliko taifa lolote .
My friend. Uko kwenye dunia hii kweli. Nenda Urusi tapata jibu.Putin sio dikteta sema ni mtu anaeongoza kwa haki always mwanadamu ndivyo alivyo pale utakapo fanya haki au kumwambia ukweli lazima akuone mbaya
Referendum iliyojaa uchocheze wa putin aendelee kubaki madarakani, nani anapiga kura duniani kiongozi abaki madarakani milele? kiongozi wa upinzani urusi mpaka leo kamueka jela hamtoi, putin ni mfano madiktea waliokubuhu ulimwnguniKwani hakukuwa na referendums? Acha propaganda za west mkuu.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mashirika ya kijasusi na usalama wa nchi kuna vipindi huwa wanawaweka viongozi madarakani kimkakati kama alivyowekwa rais wa China na Urusi. Wanaangalia nani anaweza kuwavusha ktk matatiza yanayowakabili ktk kipindi hicho. Marekani mwenyewe anayehubili demokrasia huwa anajenga urafiki na madikteta anapoona kuna maslahiReferendum iliyojaa uchocheze wa putin aendelee kubaki madarakani, nani anapiga kura duniani kiongozi abaki madarakani milele? kiongozi wa upinzani urusi mpaka leo kamueka jela hamtoi, putin ni mfano madiktea waliokubuhu ulimwnguni