Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Huyo kichwan hamna kitu, huenda haya mambo kaanza kuyafatilia hiivi majuzi baada ya Russia kuanzisha hii operation ya kijeshi .Miaka 25 Urusi anawahubiria wokovu Ukraine hawakushika hata Aya moja wakaendelea kufukia vichwa vyao chini ya mchanga,,,,,acha tuu washikishwe adabu.
USA huko Syria,somalia, Afghan walipovamia kibari nao hawana.
URUSI Jana wamesitisha uuzwaji Gas Kwa Poland na Bulgaria .Jamaa ana mikwara saana, alisema mtu akiingilia Ukraine kuipa msaada yeye ataipiga hiyo nchi, mbona hatupi hata kopo hapo UK, France, German? US tusiitaje kabisa.
na NATO pia walidai hawata ruhusu Ukraine ivamiwe but badala yake wakasepa.Jamaa ana mikwara saana, alisema mtu akiingilia Ukraine kuipa msaada yeye ataipiga hiyo nchi, mbona hatupi hata kopo hapo UK, France, German? US tusiitaje kabisa.
kwa taarifa yako tokea wiki ya kwanza ya vita, Russia kaweka no fly zone pale, hakuna ndege inayokatisha kwa sababu kasambaratisha mifumo ya anga ya ukraine!Na mrusi size yake ni Ukraine mwezi wa tatu huu kamasi zinamtoka,
Ajitutumue kuweka no fly zone ili kuzuia Ukraine asipate msaada na akina Boris wasiweze kutua kyiv au ajitutumua kumshambulia Marekani ili akome kumsaidia Ukraine asiishie kutoa maonyo tu.
Acha ushamba na ujuaji hakuna silaha zinazo perekwa Ukraine kwa ndege,silaha zote zinazo pelekwa Ukraine hupelekwa kwa njia ya tirein na barabara kupitia poland na Romania.Na mrusi size yake ni Ukraine mwezi wa tatu huu kamasi zinamtoka,
Ajitutumue kuweka no fly zone ili kuzuia Ukraine asipate msaada na akina Boris wasiweze kutua kyiv au ajitutumua kumshambulia Marekani ili akome kumsaidia Ukraine asiishie kutoa maonyo tu.
Pesa,pesa pesa,ujinga wa kiwango cha digrii,kombora linazuiliwa na pesa?,Mkuu Vita ni sayansi siyo kuwa na silaha! Uchumi wa Russia huwezi kuulinganisha na uchumi wa US.
Bila kuwa na uchumi imara huwezi kupigana vita ukashinda kiwepesi.
Hiyo license ya kuuwa watu ilitolewa pia kwa marekani kuuwa watu Iraq,libya,na Afghanistan,Kwako Russia kuivamia nchi nyingine na kufanya mauaji na uharibifu wa kila aina ni sawa ?!. Lazima utakuwa na kasoro kichwani. Nani kampa Russia license ya kuua watu wa mataifa mengine, na kuwapangia lifestyle anayoitaka yeye Russia ?!.
Nani kakwambia kuwa na uchumi mkubwa ndio nguvu za kijeshi?? Kwa akili zako finyu unahisi UFARANSA anaweza kumpiga URUSI?? maana hao France wana uchumi mkubwa.Mkuu Vita ni sayansi siyo kuwa na silaha! Uchumi wa Russia huwezi kuulinganisha na uchumi wa US.
Bila kuwa na uchumi imara huwezi kupigana vita ukashinda kiwepesi.
Wewe uzijui nchi zenye kuundq siraha.......kwa kadili zinapokuwa vitani ndiyo nguvu ya kuunda siraha zinaongezekq hivyo urussi itaongeza bajeti ya jeshi kwenye kuunda na kuzarisha siraha kwa wingiKwa strategy hiyo Marekani anaweza kufanikiwa! Yeye atakachofanya ni ku prolong hiyo vita.Russia atatumia silaha zake zote mpaka atafikia hatua ya kukata tamaa na huenda mwishoni akaomba poo.
Akiomba poo ndipo Warusi wataambiwa lazima Putin apelekwe the Hague kwa uharifu wa kivita na huenda Russia ilipe gharama za uharibifu alioufanya Ukrane.
Nawaza lakini!
Madikteta wanamikwara mbuzi ebya hatariJamaa ana mikwara saana, alisema mtu akiingilia Ukraine kuipa msaada yeye ataipiga hiyo nchi, mbona hatupi hata kopo hapo UK, France, German? US tusiitaje kabisa.
Sababu marekani haishiwi silaha [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwa strategy hiyo Marekani anaweza kufanikiwa! Yeye atakachofanya ni ku prolong hiyo vita.Russia atatumia silaha zake zote mpaka atafikia hatua ya kukata tamaa na huenda mwishoni akaomba poo.
Akiomba poo ndipo Warusi wataambiwa lazima Putin apelekwe the Hague kwa uharifu wa kivita na huenda Russia ilipe gharama za uharibifu alioufanya Ukrane.
Nawaza lakini!
Huku wanamlipa zaidi ya $900 kwa siku ya gas [emoji618] halafu unasema hana uchumi imara upo serious kweli [emoji3][emoji3]Mkuu Vita ni sayansi siyo kuwa na silaha! Uchumi wa Russia huwezi kuulinganisha na uchumi wa US.
Bila kuwa na uchumi imara huwezi kupigana vita ukashinda kiwepesi.
Vp bashite?Wamarekani ni wabaya! Wameamua kuingia vitani na Urusi kwa kutumia nguvu zao zote kwa maana ya zana za kivita na pesa, lakini hawako tayari kumwaga hata damu ya mtu mmoja wa Marekani hadi tone la mwisho la damu ya watu wa ukraine!!
Marekani hawajali Ukraine ikiangamizwa na Urusi, wanachohitaji tu ni kwamba wanajeshi wa Ukraine watumike kufikia malengo ya Marekani ya kuidhoofisha Urusi, bila kujali watamwaga damu kiasi gani cha watu wa Ukraine katika kufikia hilo lengo la Marekani.
Kwa mtazamo wa Marekani, damu ya askari mmoja wa Marekani ina thamani kuliko damu ya watu wote wa Ukraine!
Marekani hayuko tayari kupigana ana kwa ana na Urusi lakini yuko tayari kupigana na Urusi kwa kutumia damu ya watu wa Ukraine!! Kwa bahati mbaya sana rais wa ukraine hana jinsi ya kujinasua katika mtego huo!!
Ambacho umeamua kutokukitazama ni kuwa, urusi anaangalia silaha zinavyoingizwa na mahali wanapoziweka halafu anaziangamiza zote!! Hata usiku wa kuamkia leo ameangamiza silaha lukuki toka nchi za magharibi. Si muda mrefu mabeberu wataona njia wanayotumia haina tija na watalazimika kuacha!! Si rahisi Urusi kukubali kushindwa!!Kwa strategy hiyo Marekani anaweza kufanikiwa! Yeye atakachofanya ni ku prolong hiyo vita.Russia atatumia silaha zake zote mpaka atafikia hatua ya kukata tamaa na huenda mwishoni akaomba poo.
Akiomba poo ndipo Warusi wataambiwa lazima Putin apelekwe the Hague kwa uharifu wa kivita na huenda Russia ilipe gharama za uharibifu alioufanya Ukrane.
Nawaza lakini!
Sasa akiishia kugharamia utengenezaji wa silaha tu vipi mahitaji mengine ya wananchi wake itafanyaje?Wewe uzijui nchi zenye kuundq siraha.......kwa kadili zinapokuwa vitani ndiyo nguvu ya kuunda siraha zinaongezekq hivyo urussi itaongeza bajeti ya jeshi kwenye kuunda na kuzarisha siraha kwa wingi
Ana huo uwezo wa kufunga anga au unacoment kufurahisha nafsi yako tu[emoji2][emoji2]kwa taarifa yako tokea wiki ya kwanza ya vita, Russia kaweka no fly zone pale, hakuna ndege inayokatisha kwa sababu kasambaratisha mifumo ya anga ya ukraine!
hao kina boris walienda kwa treni, sio kwa ndege
Ni kweli kabisa!Ambacho umeamua kutokukitazama ni kuwa, urusi anaangalia silaha zinavyoingizwa na mahali wanapoziweka halafu anaziangamiza zote!! Hata usiku wa kuamkia leo ameangamiza silaha lukuki toka nchi za magharibi. Si muda mrefu mabeberu wataona njia wanayotumia haina tija na watalazimika kuacha!! Si rahisi Urusi kukubali kushindwa!!
Ni kweli uchumi wa urusi ni mdogo ukilinganisha na marekani, lakini wamejipanga kwa kuzingatia ukweli huo. Mkakati wa kuua uchumi wa urusi kwa ghafla tayari umeshashindwa. Urusi waliliona hilo mapema wakaamua kuuza gesi na maffuta yao kwa ruble!!Mkuu Vita ni sayansi siyo kuwa na silaha! Uchumi wa Russia huwezi kuulinganisha na uchumi wa US.
Bila kuwa na uchumi imara huwezi kupigana vita ukashinda kiwepesi.
Usidanganywe na propaganda za nchi za magharibi!! Kila siku ndege za urusi zinaruka na kufanya mashambulizi kibao. Urusi kama haijatawala anga la ukraine kwaq nini ukraine kila siku ilikiuwa inalilia NO FLY ZONE?Ana huo uwezo wa kufunga anga au unacoment kufurahisha nafsi yako tu[emoji2][emoji2]View attachment 2202664