SI KWELI Marekani na DRC wakubaliana katika mikataba ya madini adimu na ulinzi

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Mabeberu hawawezi kumuacha salama aisee, intelijensia yao ipo juu sana na watafanya kila namna kumshusha chini kama ya kipindi kile kwa Gadafi
 
Ndo hitaji lake kwa sasa. Uwwzekano mkubwa kapunjwa.
Alternatively, aorganise achimbe mwenyewe awauzie faida aitumie kuimarisha usalama wake, na hii ndo best alternative but it needs brain to implement. Hiyo brain anayo?
Hapo ndio kipengele mkuu na swala hili linaibua hoja nyingi hasa katika siasa za kimataifa na kama ujuavyo pale Congo ni lango kubwa la kiuchumi kupitia zile rasilimali za madini
 
Kazi ya kuwaondoa waasi si wangepewa JWTZ,wiki tu wangeondolewa wote
 
Hayo madini anayaiba Kagame kwa muda mrefu sasa, na ndio yanatumika kama fimbo ya kuwapiga wazaire.
Kumpa Marekani ina maana kumkimbiza Kagame kutoka kwenye hayo madini.
Maana nyingine Kagame amenyang'anywa uwezo wa kuuwafadhili M23.
Agreed mkuu, kiukweli suluhisho sijui lini litapatikana juu ya mzozo huu
 
Hayo madini anayaiba Kagame kwa muda mrefu sasa, na ndio yanatumika kama fimbo ya kuwapiga wazaire.
Kumpa Marekani ina maana kumkimbiza Kagame kutoka kwenye hayo madini.
Maana nyingine Kagame amenyang'anywa uwezo wa kuuwafadhili M23.
Yes na hako ndio ka akili kidoogo kalikotumika ni kwamba kama Kagame anawapata madini kupitia proxy ni bora wao wawape moja kwa moja ,kwa kifupi Kagame yatamkuta mambo muda si mrefu
 
Unapata amani lakini kiwango kikubwa cha madini kinaenda Marekani

Japo sipuuziii suala la Amani Kongo, ila Marekani ni mastermind anajua kuchanga karata zake vizuri

WIN WIN SITUATION HAPA ANAYEFAIDIKA NI MMAREKANI.....

BAADAE HUKO UTASIKIA MAREKANI INA HIFADHI KUBWA YA MADINI ADIMU IKIWEMO HAYO YA KUTENGENEZEA VIFAA VYA KIELEKTRONIKI
Unataka raia wa DRC waendelee kufa? Tshekedi kashaona majirani zake wote hawana nguvu za kupambana na M23,bora agawe madini kwa mmarekani apate ulinzi wa watu wake, au mnapenda wakongo waendelee kufa kisa eti uzalendo wasigawe madini yao kwa wazungu(jiwe aliharibu uwezo wenu wa kufikiri,kila kitu mnamuona mzungu hafai)
 
HUU MSTARI HAPO JUU HUJAUONA...''Japo sipuuziii suala la Amani Kongo''
 
Unapata amani lakini kiwango kikubwa cha madini kinaenda Marekani

Japo sipuuziii suala la Amani Kongo, ila Marekani ni mastermind anajua kuchanga karata zake vizuri
Kwani angekaa nayo hivyo ktk hali hii ambayo yanaibiwa na Kagame kwa kejeli na mauaji ya wakongo ingeongeza nini! Bora amani kwanza mengine watajadiliana. Kwani ni congo pekee ktk Afrika au duniani itakayokuwa imefanya jambo la ajabu. Vipi kuhusu Ukraine, south Africa wanufaika ni akina nani, nchi zenye mafuta nk.. bora Kagame afukuzwe kwanza ili kuondoa dharau zake siyo tu kwa Afrika bali pia kwa dunia.
 
Ndio maana humshangaa MTU anaechukia waarabu,adui wa mtu mweusi ni mzungu
Duuuh,sasa hao si walewale tu wote?
unadhani ingekuwa kwenu si wangepewa waarabu mbuzi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…