SI KWELI Marekani na DRC wakubaliana katika mikataba ya madini adimu na ulinzi

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Je ccm wanasemaje kuhusu swala la uchaguzi wazidi kubaka demokrasia waingie mkataba na USA
 
kagame akae mguu sawa hii miaka miwili haiishi yatamkuta ya Sadam,tena kigezo cha kumtoa roho itakuwa ni uroho wa madaraka...ila nitafurahi yakimkuta hayo
 
Tulimwambia tsekekedi akitaka kuwarejesha m23 Rwanda awape wamarekani migodi Kongo mashariki.
Si unaona wale magaidi wa msumbiji walivyopotezwa kwa sababu marekani anachimba madini kule
 
Nakuunga mkono kabisa kwa hili

iko hivi, Wazungu wakiona inakuwa ngumu kuingia nchi za watu, huwa wanawatumia waasi kwa kuwapa silaha na msaada wa kijeshi ili kupambana na serikali iliyoko madarakani.. nyie mnapambana huku, wao wanabeba madini hao wanasepa
 
sawa mkuu asante kwa maoni yako
 
Cobalt na cotan ni madini muhimu sana kwa Elon musk kutengenezea magari yake ya umeme Tesla na pia kwenye maroketi na ma satellite yao.
Na musk na Trump ni wafanyabiashara yule mtu mrefu sijui atakimbilia wapi.
Kanali nanga anaenda kuwa nanga safari hii
 
Ujasiri anaupata kutoka mataifa makubwa yenye ushawishi kisiasa na kiuchumi (USA)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…