Marekani na Israel ni mataifa tofauti yenye baadhi ya siri za pamoja, bila kulijua hilo, Iran au yeyote dhidi yao, ni mfu atembeaye!

Ungeuonyesha huo uwezo wa Iran kuigeuza Israel kuwa majivu angalau ungejitendea haki. Ni ndoto ya miongo mingi ya Iran kuifuta Israel, je ni kipi imekifanya hadi sasa ambacho kina angalau hizo dalili?

Tarehe 1 Oktoba ulikuwa pangoni?

Israel kipi imefanya ambacho kinaonesha ana dalili ya kumshinda Iran?
 
Sio kwa taifa kama Iran mzee!
Hizo mbinu zimefanikiwa kwa wanamgambo tu.
 
Madhara ya kuhudhuria Masjid na kuacha kufanya swala ndiyo haya, unajikuta unaiona dunia katika uhalisia wake ma kuuongea ukweli kama ulivyo ingawa ni mchungu.

Aya ya kwanza kabisa Iko wazi:

"Hili si suala la ushabiki wala kiimani."

Kumbe yako na Masjid au dini yanatokea wapi?

Hivi unaweza kuonyesha popote nilipowahi kuandika au kushabikia dini yoyote?

"Kwamba wewe ni mfia dini usidhani ni kila mtu!"
 
Aya ya kwanza kabisa Iko wazi:

"Hili si suala la ushabiki wala kiimani."

Kumbe yako na Masjid au dini yanatokea wapi?

Hivi unaweza kuonyesha popote nilipowahi kuandika au kushabikia dini yoyote?

"Kwamba wewe ni mfia dini usidhani ni kila mtu!"
Usitoke kwenye moody, leo umekuja vizuri, endelea kutiririka
 
Mkuu alikuwa nayo nafasi hiyo angekomaa sasa na kabla ya kushambuliwa.

Tatizo kubwa ametulia aguswe kwanza Ili ajibu.
😂😂😂😂
Hivi karibuni NATO walikuwa wanaangalia uwezekano wa kumruhusu Ukraine kutumia silaha za NATO kushambulia ndani ya Russia, nadhani unajua Russia amejibu nini!

Kwanini Russia isifanye inachotaka kufanya sasa kabla ya kusubiri Ukraine apate kibali cha kuishambulia Kremlin?

Pia, NATO wamekuwa wakitoa misaada ya kijeshi kwa Ukraine, military bases za NATO hapo Ulaya zinajulikana, kwanini Russia asiingie tu mazima kupigania survival yake?
Maana nia ya NATO ni kuidhoofisha Russia kadiri inavyowezekana, na Russia analijua hili?
Kwanini Russia asitangaze vita moja kwa moja na NATO?
 
Usitoke kwenye moody, leo umekuja vizuri, endelea kutiririka

Mkuu, kulikoni nitoke kwenye mood? Sijawahi wala haiwezi kutokea. Hili nalo kifua mbele nikikuomba uthibitisho, hauta upata.

Nimekuomba kwa dhati yàngu kunionyesha andiko langu moja tu lolote nikishabikia dini ndani au nje ya JF.

"Ikikupendeza tafadhali."
 
Kwani wamesharudi kwa Mungu? Kama bado inamaana kuna uwezekano akabutuliwa na Muajemi, sio?
 
Iran bado hajapata sababu ya kufanya hivi.
Au mkongwe unaona ipo sababu ya Iran kuingia kwenye vita moja kwa moja dhidi ya Israel?

Mkuu unaona hapa:



Unaona pana salama hapo?

Ukayaona na haya:

"Ya kwamba watakusaka pamoja kukuondoa wao duniani bila kujali muda wala gharama. Ya kuwa kwenye hilo tangia mataifa yao yamekuwapo kwenye hilo hawajawahi kushindwa!

Yale yale ya akina Osama bin Laden, Mula Omari, General Farrah Aideed, Saddam Hussein, Muamar Gaddafi nk."


Mkuu Iran alibakiwa na option #2 pekee Kwa mawazo yangu.
 
Mpuuzie tu mkongwe, huyo mtu kwake yeye kila mtu anayeikosoa Israel ni Muislam!
 
Kila niki search unakuja ule uzi wa "Kula tunda kimasihara"
 
Muajemi nae yupo vizuri ana uzoefu mkubwa sana kwenye mambo ya vita
 
Kila niki search unakuja ule uzi wa "Kula tunda kimasihara"

Bila shaka hiyo ina maana unathibitisha kuwa umekosa popote nilipowahi kuandika kwa niaba ya dini wala kushabikia dini yoyote.
 
Wewe ni mtu ambaye huamini ktk mabadiliko.. Bwana mdogo amini usiamini mambo hubadilika. Kukalriri na kutojiamini ni ujinga kama ujinga mwingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…