Sio rahisi wenye akili kisoda kuelewaKitu geopolitics. Alliances. Mnagawana uwajibikaji. Sio unaonekana mkorofi au kiherehere peke yako.
Marekani ina uwezo mkubwa sana kiuchumi, kiteknolojia na kijeshi lakini inatafuta uhalali wa kuambatana na wengine ili kuhalalisha mashambulizi dhidi ya “adui wa wote” (common enemy).
Sikutaka kuonesha shidaHakuna shida yeyote hapo..
Hakuna cha kubishana kuhusu Marekani. Unaweza kuainisha ushindi unavyotaka na kudai kwamba Marekani haina uwezo wa kishinda vita - isipokuwa kama ikitumia nyuklia! Sina cha kuongeza.Hakuna cha kommon enemy Americant anajijua licha yakua na yote hayo ila kwenye vita ya kweli hua hatoboi
Nandio maana katika historia ya Americant hakuna vita aloenda mwenyewe akashinda ukiachana na ile ya Japan tena alishinda baada ya kutumia nyuklia
Americant bila washirika na bila nyuklia hajawahi kushinda vita yeyote na popote pale duniani tokea kujuulikana kwake
Kiufupi Americant inaujua udhaifu wake isipokua na nyuklia ama isipokua na wakuongozana nae
Bisha kwa fact
Order ya kuishambuliwa Yemen imetolewa hospitali na mtu aliyekuwa anapimwa tezi dume, siyo tani.Jidanganyeni tu na alkasusu mnazokunywa masjid mbweha
Tunaendelea kubishana kwa hoja tu mwisho tutaelewanaHakuna cha kubishana kuhusu Marekani. Unaweza kuainisha ushindi unavyotaka na kudai kwamba Marekani haina uwezo wa kishinda vita - isipokuwa kama ikitumia nyuklia! Sina cha kuongeza.
Tuendelee kushuhudia Marekani ikishindwa tena katika vita hii - kama kweli itashindwa.
Mr uharo no 2Una lamba tu... Uongo sheikh wangu?
Ivi ni kwann USA na UK wasipitie hapo spain kuingia israel mpaka wazunguke kuingilia huku redsea?⚡️Yemen: Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kisiasa nchini #Yemen, Mahdi Al-Mashat:
Uchokozi usio na msingi wa Marekani-Kizayuni-Waingereza ni ukiukaji wa sheria zote na watalipa gharama.
Tutaendelea kuzuia meli za Israel au zile zinazoelekea Palestina inayokaliwa kwa mabavu, bila kujali uchokozi dhidi ya watu wa Yemeni.
Tunawawajibisha Wamarekani na Waingereza kwa ajili ya uwekaji kijeshi wa meli za kimataifa, na tutathibitisha kwamba Yemen ni "makaburi ya wavamizi"
Meli gani, inaitwaje na video iko wapi. Maana mashambulizi ya Marekani hata video tumeona na Yemen wenyewe wamepiga yowe hadi kudai watalipa kisasi (kwenye ndoto).Ngoja niombe kujua zaidi kwa swahiba wangu T14 Armata hii habari imekaaje hii?
Ukiona shoga USA anaenda kuuza kundu ujue kaambatana na shoga mwenzake UKHivi Marekani hawezi kupigana vita mpaka ashirikishe Uingereza?
Sawa. Mimi sikisii. Nina uhakika Marekani itatimiza malengo yake katika vita hii. Halafu kumbuka umbali kati ya Marekani na Yemen ni zaidi ya km 10,000.Tunaendelea kubishana kwa hoja tu mwisho tutaelewana
Anaepigana hapo sio marekani ni marekani kwaushirikiano na Uingereza
Marekani vita pekee aloenda yeye kama yeye ukitoa ile alotumia nyuklia kule japan ni ile ya somalia na vietnam na kote alikimbizwa
Ila acha tuone mwisho wa hii coalition itakuaje ila sioni wakiipiga yemen kama walishindwa mwaka 2014 sioni kama watakua na jipya mara hii
Mshenzi weweLimeufyata linaimbia chumbani chumbani kwake Allahu akbar. Limewaachia magaidi wa Kahama kulisifia humu jf.
Wakawashambulie na warusi kama wan aime maana wanaingamiza Ukrainh
Anglo-Saxon empire , washenzi Sana hawa watuUnabii wa Biblia unataja Uingereza na Marekani kama serikali moja.
Una lamba tu... Uongo sheikh wangu?Mr uharo no 2